Kama haya ni Maelekezo ya kocha Basi Afukuzwe sio kocha uyu na kama ni uwezo wa wachezaj Basi hatuna team

abdulhamis

JF-Expert Member
Aug 2, 2019
1,436
2,292
Yanga katuroga Nan? Haiwezekan uongozi na Benchi la ufundi wanashindwa kuelewa Mapungufu yako wap

Kwa jinsi wachezaji wanavyo cheza wa yanga ni dhahir kabisa team haiko Sawa mfano mechi ya Leo team haikutulia kabisa yani kila ikikaba inatera mpira bila kuangalia wapi mpira unapigwa

Wachezaj wa yanga hawana utulivu Kabisa yani ni piga piga tu mpaka mtu unaona Aibu kuangalia team yako

Kama yanga inavyo cheza ni Maelekezo ya kocha Basi kaze hafai kuitwa kocha kabisa

Na kama ni uwezo wa wachezaj Basi team yetu ni mbovu sijapata kuona
 
Mkuu, umewahi kucheza Mpira? Shida ya timu yetu ni namba 8 na 10! Hatuna professional players Wa hizo namba.. Mbaya zaidi hakuna usajili tena!

Huu sio muda wa kumlaumu kocha, ingawa kwa bahati mbaya sana mashabiki wengi hatujui mpira! Then mpira unamambo mengi sana nje ya haya yanayoonekana kwa macho ya kawaida.
 
Mkuu, umewahi kucheza Mpira? Shida ya timu yetu ni namba 8 na 10! Hatuna professional players Wa hizo namba.. Mbaya zaidi hakuna usajili tena!

Huu sio muda wa kumlaumu kocha, ingawa kwa bahati mbaya sana mashabiki wengi hatujui mpira! Then mpira unamambo mengi sana nje ya haya yanayoonekana kwa macho ya kawaida.
Hata ukimchukua chama pale yanga hachez kwanza wachezaj wetu Wana presha balaaa
 
Mkuu, umewahi kucheza Mpira? Shida ya timu yetu ni namba 8 na 10! Hatuna professional players Wa hizo namba.. Mbaya zaidi hakuna usajili tena!

Huu sio muda wa kumlaumu kocha, ingawa kwa bahati mbaya sana mashabiki wengi hatujui mpira! Then mpira unamambo mengi sana nje ya haya yanayoonekana kwa macho ya kawaida.
namba nane mkongwe yupo Haruna Niyonzima hajawai kumuamini na kumvumilia kama wachezaji wengine akaona uwezo wake.
 
Yanga katuroga Nan? Haiwezekan uongozi na Benchi la ufundi wanashindwa kuelewa Mapungufu yako wap

Kwa jinsi wachezaji wanavyo cheza wa yanga ni dhahir kabisa team haiko Sawa mfano mechi ya Leo team haikutulia kabisa yani kila ikikaba inatera mpira bila kuangalia wapi mpira unapigwa

Wachezaj wa yanga hawana utulivu Kabisa yani ni piga piga tu mpaka mtu unaona Aibu kuangalia team yako

Kama yanga inavyo cheza ni Maelekezo ya kocha Basi kaze hafai kuitwa kocha kabisa

Na kama ni uwezo wa wachezaj Basi team yetu ni mbovu sijapata kuona
Yaani mnashangaza kweli, timu inaongoza ligi na kocha ni huyu huyu leo mnasema hamna kocha? Mambo gani hayo ndugu zangu? Matokeo ya mechi moja yasitutoe relini jamani. Tuwe na subira mambo Mazrui yaja
 
Mkuu, umewahi kucheza Mpira? Shida ya timu yetu ni namba 8 na 10! Hatuna professional players Wa hizo namba.. Mbaya zaidi hakuna usajili tena!

Huu sio muda wa kumlaumu kocha, ingawa kwa bahati mbaya sana mashabiki wengi hatujui mpira! Then mpira unamambo mengi sana nje ya haya yanayoonekana kwa macho ya kawaida.
Mkuu si hamia simba maana unaujua mpira karibu kwenye mpira biriani,
 
Mkuu, umewahi kucheza Mpira? Shida ya timu yetu ni namba 8 na 10! Hatuna professional players Wa hizo namba.. Mbaya zaidi hakuna usajili tena!

Huu sio muda wa kumlaumu kocha, ingawa kwa bahati mbaya sana mashabiki wengi hatujui mpira! Then mpira unamambo mengi sana nje ya haya yanayoonekana kwa macho ya kawaida.
Kaka umesema kweli but hata hivyo kocha anatumia mfumo wa 4-4-2, ambao kwa Morden football ni rahisi kuzuliwa na kuharibiwa shape lake, na ndo maana hata kocha kama el-chol hua anapata shida sana pale athletic Madrid.

NAWASILISHA
 
Mkuu, umewahi kucheza Mpira? Shida ya timu yetu ni namba 8 na 10! Hatuna professional players Wa hizo namba.. Mbaya zaidi hakuna usajili tena!

Huu sio muda wa kumlaumu kocha, ingawa kwa bahati mbaya sana mashabiki wengi hatujui mpira! Then mpira unamambo mengi sana nje ya haya yanayoonekana kwa macho ya kawaida.
Tulimaliza mzunguko tukiwa na hao hao na kuwa timu tishio timu yenye kutengeneza nafasi timu ya ushindani hasa

Leo ghafla timu imekuwa tia maji tia maji

Binafs naona uongozi tatizo inawezekana kuna mawali au mambo matatu

1.uongoz
2.mdhamini
3.malipo ya wachezaji


Katika haya naamini sinashaka na uwezo wa wqchezaji
 
Yanga katuroga Nan? Haiwezekan uongozi na Benchi la ufundi wanashindwa kuelewa Mapungufu yako wap

Kwa jinsi wachezaji wanavyo cheza wa yanga ni dhahir kabisa team haiko Sawa mfano mechi ya Leo team haikutulia kabisa yani kila ikikaba inatera mpira bila kuangalia wapi mpira unapigwa

Wachezaj wa yanga hawana utulivu Kabisa yani ni piga piga tu mpaka mtu unaona Aibu kuangalia team yako

Kama yanga inavyo cheza ni Maelekezo ya kocha Basi kaze hafai kuitwa kocha kabisa

Na kama ni uwezo wa wachezaj Basi team yetu ni mbovu sijapata kuona
Mkuu unavyosema wachezaji wanapigapiga kwani wameanza leo? na hata point za kuongoza si zimetokana na pigapiga hiyohiyo ni kuvumilia tu tumeipenda wenyewe ingekuwa tungehama.
 
Binafsi nafikiri lawama zianzie kwa viongozi wetu, lazima tukubali mafanikio ya timu Moira hayaji kimiujiza tu unahitaji uwekezaji na muda wa kutosha.

Leo tumeshuhudia kiasi gani wachezaji wetu walivyo na presha kubwa, walichokua wanatamani ni Mpira uingie nyavuni japo Mara moja tu kwa namna yoyote point tatu zipatikane na sio kucheza Mpira. Sio kwa butubutu ile aiseee

Kikosi chetu na mwalimu wanahitaji muda wa kujijenga na kutengeneza falsafa na kupata combination bora angalau baada ya miaka miwili tuwe na timu bora sasa.

Leo tunawaona simba wanavyofanya mambo makubwa walijipa muda wakatengeneza kikosi na sas wanateleza tu.

Binafsi leo nakiri kwa yanga yetu hii hebu tuache kutazamia sana ubingwa badala mwalimu ajenge timu tuone wanacheza kama timu na soka safi angalau mpaka msimu ujao yakifanyika mabadiliko machache tu tuwe na timu bora sana.
 
Back
Top Bottom