MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,011
- 16,748
Nimejaribu Kuwasihi mno wasifanye wanachotaka Kukifanya kwa Kitendo cha Haji Manara wakanionya ninyamaze vinginevyo nami pia watanijumuisha katika Kafara lao Kubwa wanaloenda kulifanya kwa Usaliti mkubwa na Dharau dhidi ya Simba SC.
Na Kilichonitisha zaidi kuna Wazee Wawili kati ya hawa Wazee Wanne ndiyo walishiriki katika kufanya Kafara baya na la Hatari ambalo lilitoa Uhai wa Wasaliti wa Simba SC Kundi la Simba Taliban wakiongozwa na Marehemu Ngumi Jiwe kwa kusababisha Ajali mbaya ya Basi lao Mkoani Singida wakielekea Kuisaliti Simba SC Mkoani Kagera ilipokuwa ikicheza na Kagera Sugar.
Maneno yao ya mwisho Kwangu Mightier ni kwamba ama nitegemee kuna Mtu anaenda kuwa Taahira au Marehemu Siku si nyingi na Salama yake awatafute Viongozi wa Simba SC na Mzee Mmoja wa Magomeni awaombe Radhi upesi ndani ya Siku 7 tu kutoka hii leo.
Yanga SC kuna Mtu mmeshamponza.
Na Kilichonitisha zaidi kuna Wazee Wawili kati ya hawa Wazee Wanne ndiyo walishiriki katika kufanya Kafara baya na la Hatari ambalo lilitoa Uhai wa Wasaliti wa Simba SC Kundi la Simba Taliban wakiongozwa na Marehemu Ngumi Jiwe kwa kusababisha Ajali mbaya ya Basi lao Mkoani Singida wakielekea Kuisaliti Simba SC Mkoani Kagera ilipokuwa ikicheza na Kagera Sugar.
Maneno yao ya mwisho Kwangu Mightier ni kwamba ama nitegemee kuna Mtu anaenda kuwa Taahira au Marehemu Siku si nyingi na Salama yake awatafute Viongozi wa Simba SC na Mzee Mmoja wa Magomeni awaombe Radhi upesi ndani ya Siku 7 tu kutoka hii leo.
Yanga SC kuna Mtu mmeshamponza.