tramadol
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 5,383
- 4,317
Tanzania inanipa shida kuielewa hasa unapokutana na viongozi maofisini kwa sura zao ni wapole,wakarimu,waungwana,wacheshi na maneno na ahadi za asali.
Kwa kinachoendelea Sasa kwa viongozi wetu nachanganyikiwa na ukweli wenyewe!!
Huwezi amini ukiwa unasikiliza redio au kuangalia TV kuhusu wao.
Nini kifanyike haya yasitokee,ni udhaifu wa Katiba zetu au ujinga wetu,au ni upambe tu usiokuwa na mtazamo wa kina au ni njaa zetu??
Kwa kinachoendelea Sasa kwa viongozi wetu nachanganyikiwa na ukweli wenyewe!!
Huwezi amini ukiwa unasikiliza redio au kuangalia TV kuhusu wao.
Nini kifanyike haya yasitokee,ni udhaifu wa Katiba zetu au ujinga wetu,au ni upambe tu usiokuwa na mtazamo wa kina au ni njaa zetu??