- Thread starter
- #41
Nikweli hapo umenenaMjadala wa Katiba Mpya unaanza Kwa Mimi Na Wewe kujadiliana bila ya matusi wala kashfa
Nikweli hapo umenenaMjadala wa Katiba Mpya unaanza Kwa Mimi Na Wewe kujadiliana bila ya matusi wala kashfa
Huwenda ulisoma enzi za Giza ndio maana kwako kila kitu ni sawa.Sheria zipi zimevunjwa?,unaimba ka juha bitch!
Point of the seasonKuanzisha mjadala wa Katiba Mpya Ni kuanzisha FuJo Za wakati wa Jakaya
Kuna watu watataka uanzie ulipoishia wakati kuna watu watataka uanzie kwenye Rasimu ya Warioba kuna wengine wataibuka uanze upya kabisa
Magu tuletee Reli ya kisasa, mabarabara,stgler gauge, Na mengineyo
Hizo Vurugu Za Kisiasa wanaziweza kina Jakaya WeWe Ni Mtu wa kazi tu
hapana mkuu, hii mada ni kuisoma tu maana yajayo yanakasirishaKumbuka kale kamsemo "uwoga wako = umasikini wako ".....
Tena mbaya zaidi unapojifanya mcha Mungu kila wakati na katamko kauongo uongo eti tumtangulize Mungu mbele huo ni unafiki mkubwa , MTU unajifahamu kabisa kuwa uliapa kwa kutumia msaafu na ukaahidi kuwa utailinda na kuiheshimu katiba ya nchi baada ya kiapo unazuka na mambo ya ajabu ajabu yasio endana na kiapo chako.Uzalendo wa kutowasikiliza unaowaongoza wanataka nini ni wa kuchunguzwa sana, ni uzalendo uliojaa utamu mdomoni tu ila ndani ni shida tu
Hivi ni vitu visivyokuwa mbadala,yani huwezi kusema ukiwa na majani ya chai na maji tu inatosha sukari sio muhimu Tunataka, na ni haki yetu kuwa navyo vyoteKuanzisha mjadala wa Katiba Mpya Ni kuanzisha FuJo Za wakati wa Jakaya
Kuna watu watataka uanzie ulipoishia wakati kuna watu watataka uanzie kwenye Rasimu ya Warioba kuna wengine wataibuka uanze upya kabisa
Magu tuletee Reli ya kisasa, mabarabara,stgler gauge, Na mengineyo
Hizo Vurugu Za Kisiasa wanaziweza kina Jakaya WeWe Ni Mtu wa kazi tu
Hivi ni vitu visivyokuwa mbadala,yani huwezi kusema ukiwa na majani ya chai na maji tu inatosha sukari sio muhimu Tunataka, na ni haki yetu kuwa navyo vyote