Ryzen
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 7,305
- 8,655
Whats Up wanafamilia wa JF
Ee bwana katika maisha kuna kipindi inatokea haupo katika mahusiano kwa sababu kadha wa kadha either kwa kukosa mwenza sahihi, kukataliwa(Inatokea).. au kuona mahusiano haya Nafasi kwa wakati husika kwako!
Kwa Mfano mimi sipo katika mahusiano kwa sababu kwa kipindi kirefu sijavutiwa na mwanamke! Je wewe ni kwanini haupo katika Mahusiano??
Pamoja na Kwamba hatuwi katika mahusiano kuna changamoto lazima tunakutana nazo kwa mfano wale jamaa wa nyegezi wanazidi unashindwa ukawapunguze wapi!
Je unakutana na Changamoto gani kwa kuwa Single?
Tiririka!
Ee bwana katika maisha kuna kipindi inatokea haupo katika mahusiano kwa sababu kadha wa kadha either kwa kukosa mwenza sahihi, kukataliwa(Inatokea).. au kuona mahusiano haya Nafasi kwa wakati husika kwako!
Kwa Mfano mimi sipo katika mahusiano kwa sababu kwa kipindi kirefu sijavutiwa na mwanamke! Je wewe ni kwanini haupo katika Mahusiano??
Pamoja na Kwamba hatuwi katika mahusiano kuna changamoto lazima tunakutana nazo kwa mfano wale jamaa wa nyegezi wanazidi unashindwa ukawapunguze wapi!
Je unakutana na Changamoto gani kwa kuwa Single?
Tiririka!