Kama hatuwezi kubuni vitu mbona tuna mafundi wa kukarabati hivyo vitu

Masalu Jacob

JF-Expert Member
Jul 26, 2017
948
1,092
Inauma ila utafanya nini bwashee!

Eti watu wanaagiza magari, majenereta, mafriji na vitu au vifaa mbalimbali vya kutumia nishati ya umeme kutoka nje ya nchi aidha vikiwa vipya kabisa au vilivyotumika kidogo.

Ajabu iliyopo bwashee hivyo vitu vikiharibika vinarekebishwa au kutengenezwa hapa hapa nchini na ndio teknolojia sasa walizonunua ng'ambo.

Halafu kuwa watu tena kikundi cha watu wachache wanasema hatuwezi kuwa na teknolojia mfano wa hizo, mara ooh sisi masikini hatuwezi kubuni au kufanya kama wa ng'ambo na maneno kedekede.

Mbona kila mtaa au eneo karibu yako kuna fundi wa hivyo vitu.

Kweli watu wana macho hawaoni na wana masikio hawasikii.

Bwashee twende tukanywe miti shamba hospitali mijini ni miradi ya walee bwashee
 
Ninaowaombea rehema marehemu wote walifariki, watu waliomwagiwa tindikali na mateso wanayoendelea kuyapata na laana iwe juu ya yeyote aliyeshiriki , kuhamasisha, kushawishi ama kushabikia kwa njia yoyote uhalifu huo mkubwa dhidi ya binadamu wasio na hatia
 
Ninaowaombea rehema marehemu wote walifariki, watu waliomwagiwa tindikali na mateso wanayoendelea kuyapata na laana iwe juu ya yeyote aliyeshiriki , kuhamasisha, kushawishi ama kushabikia kwa njia yoyote uhalifu huo mkubwa dhidi ya binadamu wasio na hatia
Upo sawa bwashee au mtandao kichwani hakuna, teh teh.

Majini mnakazi sana
 
Inauma ila utafanya nini bwashee!

Eti watu wanaagiza magari, majenereta, mafriji na vitu au vifaa mbalimbali vya kutumia nishati ya umeme kutoka nje ya nchi aidha vikiwa vipya kabisa au vilivyotumika kidogo.

Ajabu iliyopo bwashee hivyo vitu vikiharibika vinarekebishwa au kutengenezwa hapa hapa nchini na ndio teknolojia sasa walizonunua ng'ambo.

Halafu kuwa watu tena kikundi cha watu wachache wanasema hatuwezi kuwa na teknolojia mfano wa hizo, mara ooh sisi masikini hatuwezi kubuni au kufanya kama wa ng'ambo na maneno kedekede.

Mbona kila mtaa au eneo karibu yako kuna fundi wa hivyo vitu.

Kweli watu wana macho hawaoni na wana masikio hawasikii.

Bwashee twende tukanywe miti shamba hospitali mijini ni miradi ya walee bwashee
Tatizo hatuzingatii "Research and Development".

Huwezi kutengeneza gari kama BMW bila world class R&D.

Ila, unaweza kuleta ubishi ukalielewa na kulirekebisha likiharibika.
 
Inauma ila utafanya nini bwashee!

Eti watu wanaagiza magari, majenereta, mafriji na vitu au vifaa mbalimbali vya kutumia nishati ya umeme kutoka nje ya nchi aidha vikiwa vipya kabisa au vilivyotumika kidogo.

Ajabu iliyopo bwashee hivyo vitu vikiharibika vinarekebishwa au kutengenezwa hapa hapa nchini na ndio teknolojia sasa walizonunua ng'ambo.

Halafu kuwa watu tena kikundi cha watu wachache wanasema hatuwezi kuwa na teknolojia mfano wa hizo, mara ooh sisi masikini hatuwezi kubuni au kufanya kama wa ng'ambo na maneno kedekede.

Mbona kila mtaa au eneo karibu yako kuna fundi wa hivyo vitu.

Kweli watu wana macho hawaoni na wana masikio hawasikii.

Bwashee twende tukanywe miti shamba hospitali mijini ni miradi ya walee bwashee
wewe unadhani kuunda vitu ni kama kukaanga maandazi eh??
 
Tatizo hatuzingatii "Research and Development".

Huwezi kutengeneza gari kama BMW bila world class R&D.

Ila, unaweza kuleta ubishi ukalielewa na kulirekebisha likiharibika.
Brother!

Hata kutengeneza au kuunda kitu kwa soko la ndani mpaka hiyo R&D?

Mbona wameweza kuunda mashine za kienyeji za kupukuchulia mahindi huko vijijini sijui tunakwama wapi bwashee!

Inauma sana kuona tunashindwa kujiundia teknolojia yetu wenyewe tukaujenga uchumi wetu na tukaweza kuokoa fedha za kuagiza bidhaa nje ya nchi.

Dah sijui lini tutaona na kujua kuna umuhimu wa kufanya kitu sehemu
 
Brother!

Hata kutengeneza au kuunda kitu kwa soko la ndani mpaka hiyo R&D?

Mbona wameweza kuunda mashine za kienyeji za kupukuchulia mahindi huko vijijini sijui tunakwama wapi bwashee!

Inauma sana kuona tunashindwa kujiundia teknolojia yetu wenyewe tukaujenga uchumi wetu na tukaweza kuokoa fedha za kuagiza bidhaa nje ya nchi.

Dah sijui lini tutaona na kujua kuna umuhimu wa kufanya kitu sehemu
Nimeongelea gari la BMW, sijaongelea mashine za kienyeji.

Inawezekana unataka kufananisha BMW X5 na baiskeli ya mbao.
 
Brother!

Hata kutengeneza au kuunda kitu kwa soko la ndani mpaka hiyo R&D?

Mbona wameweza kuunda mashine za kienyeji za kupukuchulia mahindi huko vijijini sijui tunakwama wapi bwashee!

Inauma sana kuona tunashindwa kujiundia teknolojia yetu wenyewe tukaujenga uchumi wetu na tukaweza kuokoa fedha za kuagiza bidhaa nje ya nchi.

Dah sijui lini tutaona na kujua kuna umuhimu wa kufanya kitu sehemu
Haya mambo ya kuunda vitu kienyeji ndio yamepelekea watu waunde vyombo vya kupikia kwa material ambayo yanapata kutu....
 
Back
Top Bottom