Kama hataki nipe mie. Kasusa? Nipe mie

Habari za mwanzo wa wiki, habari za Jumatatu na habari za mwisho wa mwezi...

Mie sijambo niko njema tuu sema nilikula kungu leo asubuhi bila kujua, sasa narembuajeee! Yaani macho yanafunguka robo muamala tuu daaaah!!! Halafu ndo kwanza subuhi sijui ikifika saa kumi jioni itakuwaje...!!!

Na sina mpango wa kunywa redbull hata, ukijumlisha na nilivyotupia leo (mavazi) basi tuu ila ilitakiwa niwe na extra Sunday leo.

Well turejee kwenye kichwa taja cha uzi huu, jana nilikuwa mahali kwenye eneo lenye umati wa watu wengi. Sasa nikawa nakula ubuyu wangu taratiibuu utasema sina ulimi kumbeee... (alamba alambaa aaaammmhh aaaaammmmmhhh....)

Sasa pembeni yangu upande wa kushoto alikuwa amekaa mtanashati ambaye sketi ikipita itajikuta tuu inatabasamu bila kujielewa. Tulikuwa tunakula wote huo ubuyu tangu mwanzo baadae akasema asante imetosha, nikawambia mie sijatosheka sasa ntaendeleaje kula huu ubuyu peke yangu?

Pumbeni yangu upande wa kulia alikuwa amekaa baba tuu wa makamo sio mzee sio kijana yuko katikati, huyu sikuwa nafahamiana nae hata. Yaonekana alikuwa anafatilia mazungumzo yetu ya mimi na mtanashati. Wakati nambembeleza mtanashati aendelee kula ubuyu ili tule wote huku tukizungumza ndo yule baba akaniambia ''Kama Hataki Nipe Mie....''

Usiniulize nini kiliendelea na kutokea baada ya hapo.....

View attachment 1219512

Kaka mtanashati ni mfano wa huyo aliyevaa tshirt ya kijivu amevaa miwani ya jua mukono amekunja ngumi na amevaa headphones, na Kasinde ni mfano wa huyo dada aliyevaa maua kichwani.

Mtanashati hoooyeeeeeeeee........

Codes: Lemon Grass, Lemon, Chauro and Ubuyu.

View attachment 1219553

Another Code: Juice ya Miwa, Juice ya Ukwaju....

Mahaba Matata ya Kasinde.


Nimekupata ila mlitumia kondomu lakini?
 
Ahaa kumbe wewe ni naturalist yaani mpaka hujuwi kondomu ni nini? Hongera sana na nakutakia ufaidi mwema

Mi sipendagi kuongezea mavitu vitu, shurti alisikie joto la pale sawiaaaa.... asilia ndo mpango mzima na ina utamu wake adimu..
 
Habari za mwanzo wa wiki, habari za Jumatatu na habari za mwisho wa mwezi...

Mie sijambo niko njema tuu sema nilikula kungu leo asubuhi bila kujua, sasa narembuajeee! Yaani macho yanafunguka robo muamala tuu daaaah!!! Halafu ndo kwanza subuhi sijui ikifika saa kumi jioni itakuwaje...!!!

Na sina mpango wa kunywa redbull hata, ukijumlisha na nilivyotupia leo (mavazi) basi tuu ila ilitakiwa niwe na extra Sunday leo.

Well turejee kwenye kichwa taja cha uzi huu, jana nilikuwa mahali kwenye eneo lenye umati wa watu wengi. Sasa nikawa nakula ubuyu wangu taratiibuu utasema sina ulimi kumbeee... (alamba alambaa aaaammmhh aaaaammmmmhhh....)

Sasa pembeni yangu upande wa kushoto alikuwa amekaa mtanashati ambaye sketi ikipita itajikuta tuu inatabasamu bila kujielewa. Tulikuwa tunakula wote huo ubuyu tangu mwanzo baadae akasema asante imetosha, nikawambia mie sijatosheka sasa ntaendeleaje kula huu ubuyu peke yangu?

Pumbeni yangu upande wa kulia alikuwa amekaa baba tuu wa makamo sio mzee sio kijana yuko katikati, huyu sikuwa nafahamiana nae hata. Yaonekana alikuwa anafatilia mazungumzo yetu ya mimi na mtanashati. Wakati nambembeleza mtanashati aendelee kula ubuyu ili tule wote huku tukizungumza ndo yule baba akaniambia ''Kama Hataki Nipe Mie....''

Usiniulize nini kiliendelea na kutokea baada ya hapo.....

View attachment 1219512

Kaka mtanashati ni mfano wa huyo aliyevaa tshirt ya kijivu amevaa miwani ya jua mukono amekunja ngumi na amevaa headphones, na Kasinde ni mfano wa huyo dada aliyevaa maua kichwani.

Mtanashati hoooyeeeeeeeee........

Codes: Lemon Grass, Lemon, Chauro and Ubuyu.

View attachment 1219553

Another Code: Juice ya Miwa, Juice ya Ukwaju....

Mahaba Matata ya Kasinde.


Ukweli una roho ngumu, yaani ulimpa hadharani, I hope mlitumia kinga.
 

Similar Discussions

6 Reactions
Reply
Back
Top Bottom