Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,793
- 71,206
Nimeshtuka sana baada ya kuona hii na nikakumbuka mbwembwe zetu na uchokozi wa manenokwa majirani zetu wakati fulani.
Kiukweli Kenya wametuacha mbali tofauti na tunavyo aminishwa unless mtu anieleweshe tofauti, maana hapa hakuna siri ni mambo yako mtandaoni