Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Kimewakaaaaaaaaaa!!! Hadanganyiki mtu tena. Ila bado nawashangaa watu wengine. Mtu hata nyuma ya mabati huna unaishi kijijini. Hlserikali haijawahi kukuwezesha hata kidogo JK anakuja na kundi lake la kina michuzi wapo kwenye mahelikopta wewe unapanua limdomo lako unaimba NAMBAR WAI +Eeeeeeeeeee nambARI 1 ..PUMBAFU KABISA WEWE.HAINA AKILI WEWE KABISA , WW NI SAWA NA MFU...
Read my status please!!
Read my status please!!