Erickford4
JF-Expert Member
- May 22, 2017
- 1,133
- 1,094
Kumbe nifananishe na nini?Acha kufananisha chungwa na dunia
Kumbe nifananishe na nini?Acha kufananisha chungwa na dunia
Mwelekeo wa mlango na dirisha....Kwani unapo geuza KITANDA chako, ni kitu gani UNAPOTEZA..!!?
Dunia ina umbo la tufe...kwenye suala la dunia ni duara au lah. nimeamua kutokuamini chochote mpaka sasa maana bado sijathibitisha mimi mwenyewe huku majibu ya maswali niliyonayo yakikosa majibu yenye ushahidi halisi zaidi ya nadharia,
sawa but silioni hilo tufe sasa ndio maana nasema nimeamua kuwa sijui chochote mpaka nitakapopata majibu ya maswali yangu. kwa mfano nikiifikiria ikweta na hali ya hewa inayopatikana katika ukanda huo, je nchi zote zilizomo ktk ikweta zinafanana tabia ya hali ya hewa?Dunia ina umbo la tufe...
Ushawahi kuona Ngoma ya mduara inavyochezwa??Apo chacha!
No suala la makubaliano ya kisayansi tu. Wataalam wametransform mduara huo kuwa kwenye plain surface. Kuna njia nyingi tu za transformation. Kama umesoma geography utaelewa.
Transformation hiyo ndiyo ilipelekea kuweka imaginary lines za latitude na longitude. Na kuweka hali iliyopelekea kupata 2D location na hatimaye 3D kwa kuweka degrees (location).
Hii yote imefanyika ili tuweze kuji-locate tulipo. Anyway hili ni somo kubwa kwenye mambo ya land survey. Nakushairi umtafute mtaalam wa land survey, Geomatic Engineer, GIS expert, Geographer, Astronant na wengine wanaofanana na hao, wakupe somo hilo na mahesabu ya Azimuthal.
Sisi ni wadogo sana ukilinganisha na uso wa tufe tunaona kama tambarare...unahitaji safari ya mbali kidogo na tufe ili uweze kuliona kama unavyotaka, wenzetu walishafanya hivyo.sawa but silioni hilo tufe sasa ndio maana nasema nimeamua kuwa sijui chochote mpaka nitakapopata majibu ya maswali yangu. kwa mfano nikiifikiria ikweta na hali ya hewa inayopatikana katika ukanda huo, je nchi zote zilizomo ktk ikweta zinafanana tabia ya hali ya hewa?
aahhaahhaa! Kituko kinafurahisha sana!Thank you sir. Kwa kiswahili rahisi wameamua tu wapi waite magharibi na wapi waite mashariki.
Mimi nataka wabadilishe sisi tuitwe magharibi wao waitwe mashariki.
Nakumbuka tulipoingia form three kuna darasa la mazoba lilikataa kuitwa form three D. Ikabadilishwa wao wakaitwa form three A sisi tukaitwa form three D.
Ni rahisi sana mkuu.Apo chacha!
We zoba tuThank you sir. Kwa kiswahili rahisi wameamua tu wapi waite magharibi na wapi waite mashariki.
Mimi nataka wabadilishe sisi tuitwe magharibi wao waitwe mashariki.
Nakumbuka tulipoingia form three kuna darasa la mazoba lilikataa kuitwa form three D. Ikabadilishwa wao wakaitwa form three A sisi tukaitwa form three D.
Sio la kibashite ndugu..... Jibu.Swali la kibashite kabisa, we CCM nini?
Wewe unaonekana hata kitu kinachoitwa earth electromagnetic field hukielewi
Ni rahisi sana mkuu.
Kama ilivyo Latitude ya nyuzi sifuri (au Equator) ndiyo inayotenganisha kusini na kaskazini hivyo hivyo
Longitude ya nyuzi sifuri inayopitia mji wa Greenwich, Uingereza (Greenwich Meridian) ndiyo inayotenganisha mashariki na magharibi katika ramani.
I hope hii imesaidia.
je nchi zote zilizomo ktk ikweta zinafanana tabia ya hali ya hewa?
kwenye suala la dunia ni duara au lah. nimeamua kutokuamini chochote mpaka sasa maana bado sijathibitisha mimi mwenyewe huku majibu ya maswali niliyonayo yakikosa majibu yenye ushahidi halisi zaidi ya nadharia,
Usingizi mkuuKwani unapo geuza KITANDA chako, ni kitu gani UNAPOTEZA..!!?
Kama Tanzania ingekuwa superpower kama ilivyokuwa Uingereza enzi hizo basi hii meridian ya nyuzi sifuri (Greenwich) ingepitia Dar es Salaa au Dodoma.Poa ni suala uamuzi wa kinadharia kwa jinsi walivyoigawa dunia. Ina maana ingewezekana hiyo mistari ya kufikirika Longitude kuanzia bahari ya hindi na bongo tungekuwa magharibi badala ya mashariki.