Kama dunia duara na inazunguka tunapataje mashariki na magharibi kwenye ramani?

Zeni2017

JF-Expert Member
Apr 27, 2017
1,247
532
Apo chacha!
a79ce2604f68d8f861bc134efc399c2c.jpg
 
Kwani kwa mfano ukichukua chungwa halafu ukaliandika namba 1 hadi 10 kuzunguka chungwa halafu ukilizungusha hilo chungwa na namba zitabadilika badala ya kuwa 1, 2, 3 zikawa 3, 5, 1???
Jibu lake namba zitabaki vile vile basi na dunia hata ikizunguka bado kutakuwa na kaskazini, kusini, mashariki na magharibi.
 
Mtaalamu kaona kama ni swali gumu sanaaa, kujizungusha kwa dunia hakuondoi chochote maana inajizungusha nzimanzima na hizo pande ila ukisoma zaidi utakutanza na vitu kama earths magnetic field/ Magnetic North hivyo North ipo kitaalam then East na West zipo arbitrary.
 
Refer North Pole! The earth spines itself on the north pole & at the same time revolving the sun!
 
Mtaalamu kaona kama ni swali gumu sanaaa, kujizungusha kwa dunia hakuondoi chochote maana inajizungusha nzimanzima na hizo pande ila ukisoma zaidi utakutanza na vitu kama earths magnetic field/ Magnetic North hivyo North ipo kitaalam then East na West zipo arbitrary.

Mizinguo hii. Unapataje pande katika duara kabla hata halijazunguka.
Wameamua tu wazungu kujiita magharibi na warugaruga kuwaita mashariki.
 
Hivi unajua mashariki ni upande jua linapotoka na magharibi ni upande jua linapozama.

west
west/
noun
1.
the direction toward the point of the horizon where the sun sets at the equinoxes, on the left-hand side of a person facing north, or the part of the horizon lying in this direction.
"the evening sun glowed from the west"

east
ēst/
noun
1.
the direction toward the point of the horizon where the sun rises at the equinoxes, on the right-hand side of a person facing north, or the point on the horizon itself.
"a gale was blowing from the east"

Kwa kiswahili ni machweo sijui na kitu gani tena.

Sasa Japan na Carlifonia si kote jua linatoka asubuhi na kuzama jioni?
 
Swala la magharibi, kusini, kaskazini na mashariki linategemea na mahali ulipo (reference point) ni kama kusema mkono wa kushoto na kulia ukitoa maelekezo ambapo nalo linategemea kushoto au kulia mtu akiwa anaelekea wapi.
 
hautajibiwa kitaalam maana ni elimu yakukaririshwa

Mfumo wa elimu wa kizungu ni kujua kile wao wanataka sisi tujue, huruhusiwi kutaka jua zaidi, au kudadisi kwanini jambo fulani likawa kama lilivyo, utapewa majibu yaleyale yalokwenye kitabu, hatupewi fursa ya kuangalia nje ya boksi. Na yeyote atakaye taka kujua tofauti na wazungu wanavyosema ataoneka yeye ni mshamba au hana elimu.
 
Mfumo wa elimu wa kizungu ni kujua kile wao wanataka sisi tujue, huruhusiwi kutaka jua zaidi, au kudadisi kwanini jambo fulani likawa kama lilivyo, utapewa majibu yaleyale yalokwenye kitabu, hatupewi fursa ya kuangalia nje ya boksi. Na yeyote atakaye taka kujua tofauti na wazungu wanavyosema ataoneka yeye ni mshamba au hana elimu.
kwenye suala la dunia ni duara au lah. nimeamua kutokuamini chochote mpaka sasa maana bado sijathibitisha mimi mwenyewe huku majibu ya maswali niliyonayo yakikosa majibu yenye ushahidi halisi zaidi ya nadharia,
 
Kwani kwa mfano ukichukua chungwa halafu ukaliandika namba 1 hadi 10 kuzunguka chungwa halafu ukilizungusha hilo chungwa na namba zitabadilika badala ya kuwa 1, 2, 3 zikawa 3, 5, 1???
Jibu lake namba zitabaki vile vile basi na dunia hata ikizunguka bado kutakuwa na kaskazini, kusini, mashariki na magharibi.
Acha kufananisha chungwa na dunia
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom