Hivi karibuni usalama wa Taifa, Rostam na Lowassa waliongea na vyombo vya habari na kukanusha kuwa hawakuhusika na uchakachuaji wa kura wakati wa uchaguzi. Rostam na Lowassa wakatoa vithibitisho vinavyoonyesha walikuwa maeneo mengine katika tarehe husika.
Sasa najiuliza ni kwanini wasimshtaki mahakamani kama kweli wana ushahidi na vielelezo kuwa Dr Slaa anawasingizia?
Kama kweli hawatamshtaki mimi nitaamini kuwa ni kweli walihusika na uchakachuaji wa kura wao pamoja na watu wengine waliohusishwa na uchakachuaji huo ambao Dr Slaa na CHADEMA wameishawataja.
Na ni aibu kubwa sana kwa chombo kikubwa kama usalama wa Taifa kuhusishwa na kashfa kubwa kama hiyo na kutompeleka mahakamani mhusika. Hivyo kwa kutompeleka mahakamani ntaendelea kuamini kuwa kashfa hizo ni za ukweli na chombo hicho hakina maana kwetu wananchi, until proven otherwise!
Kina Rostam na Lowassa ni bora mngekaa kimya kwani nyie ni mafisadi papa wakubwa mliozoeleka! Moto wa milele unawasubiri!
Sasa najiuliza ni kwanini wasimshtaki mahakamani kama kweli wana ushahidi na vielelezo kuwa Dr Slaa anawasingizia?
Kama kweli hawatamshtaki mimi nitaamini kuwa ni kweli walihusika na uchakachuaji wa kura wao pamoja na watu wengine waliohusishwa na uchakachuaji huo ambao Dr Slaa na CHADEMA wameishawataja.
Na ni aibu kubwa sana kwa chombo kikubwa kama usalama wa Taifa kuhusishwa na kashfa kubwa kama hiyo na kutompeleka mahakamani mhusika. Hivyo kwa kutompeleka mahakamani ntaendelea kuamini kuwa kashfa hizo ni za ukweli na chombo hicho hakina maana kwetu wananchi, until proven otherwise!
Kina Rostam na Lowassa ni bora mngekaa kimya kwani nyie ni mafisadi papa wakubwa mliozoeleka! Moto wa milele unawasubiri!