Kama DPP haondolewi ofisini mpaka afanye makosa au awe na tatizo la kiafya, Rais kamuondoa katika mazingira gani?

Mama hajapoteza mvuto, tunamoenda, ikiwa utalipiza ubaya kwa kila ubaya uliopita tutatengeneza visasi visivyoisha.Ni muhimu kusamehe kama sala ya Baba yetu uliyembinguni...... Inavyotuelekeza
 
Kama watumishi wa umma wenyew ni akina Ndugai na Mganga basi ni hovyo sn
Sasa ndiyo anatakiwa awatumbuwe! Mama apunguze upole na huruma,ajuwe kuwa yeye siyo Mama,yeye ni Rais na Amiri Jeshi Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!! Urais hauna jinsia! Jinsia yoyote ile inaweza kua Rais!! Urais siyo Kama ndoa kua eti Mume lazima awe Mwanaume na Mke lazima awe Mwanamke!!
 
Biswalo is there to stay.

Wanafiki mtakesha sana kupiga umbea na uzandiki. Yuko pale na utashangaa anakua jaji mkuu.
 
Kama inajulikana si Msafi kwanini ampeleke kua Jaji? Huoni kama huyu anaeteua na kutengua nae ana shida?
Hata kwenye Ujaji kuna namna ya kumuondoa Jaji kwa kukiuka Maadili. Imewahi kufanyika kwa Jaji Mwakibete (RIP) aliyekuwa Mfawidhi wa Kanda ya Arusha mwaka 1991. Rais Ali Hassan Mwinyi aliiunda, ikafanya kazi na ikamkuta na hatia. Kisha ikatoa mapendekezo kwa Rais na Rais akamuondoa kwenye UJAJI.

Ila Biswalo anapaswa kushughukikiwa kwa Sheria hiyo ya National Prosecution Services.

Unapoua mende unatumia vile vidonge vyeupe, lakini vile vidonge haviui panya. Panya lazima auawe kwa sumu ya panya
 
Nimesoma mtandaoni (twitter kwenye account ya Kigogo) kuhusu taratibu za kisheria zinazotakiwa kufuata ili kumuondoa DPP ofisini, ambapo sheria imetamka wazi kuwa DPP hapaswi kuondolewa ofisini isipokuwa tu kama ana tatizo la kiafya(illness) au amekwenda kinyume na maadili ya kazi.

Hata katika hili la kwenda kinyume na maadili ya kazi/ professional yake, Rais atapaswa kuunda tribunal kumchunguza kabla ya kumuondoa.

Sasa kama haya yana ukweli, Rais Samia amemuondoa DPP ofisini kwa kigezo gani?

Kama ana makosa, kwanini asichunguzwe kama sheria inavyotaka na badala yake anapewa ujaji?

Wanasheria tusaidieni kuhusu jambo hili.

Najaribu kuweka hicho kipande chenye hizo sheria kinachozunguka mitandaoni ila bado sijafanikiwa.
Yaani makosa yake ni wazi mno haitakiwi kupoteza pesa ya kulipa tume. Nimemsifu sana Mh. Rais maana hataki kupoteza pesa ya walipa kodi kwa ukweli ulio wazi.
 
Waanze kuziondoa kinga za kushtakiwa kwa Mawziri Mkuu, Speaker na Naibu Speaker.

Huo ujunga wa kuwapa kinga ya kutoku shtakiwa ndio unawafanya wawe viburi na washenzi.

Isingekuwa kinga ya kushtakiwa aliopewa Job Ndugai na marehemu, angekua ameshaburuzwa mahakamani muda mrefu sana kwa kuvunja katiba ya nchi.
kinga ya kutoshtakiwa iondolewe kwa viongozi wote sababu hata marais ndo wanaongoza kwa madudu kuliko hata wa chini yao.

kinga hii ikiondolewa marais hawata-act kama miungu watu bt watatimiza wajibu wao wakijua sheria mi msumeno hata dhidi yao.
 
Nimesoma mtandaoni kuhusu taratibu za kisheria zinazotakiwa kufuata ili kumuondoa DPP ofisini, ambapo sheria imetamka wazi kuwa DPP hapaswi kuondolewa ofisini isipokuwa tu kama ana tatizo la kiafya(illness) au amekwenda kinyume na maadili ya kazi.

Hata katika hili la kwenda kinyume na maadili ya kazi/ professional yake, Rais atapaswa kuunda tribunal kumchunguza kabla ya kumuondoa.

Sasa kama haya yana ukweli, Rais Samia amemuondoa DPP ofisini kwa kigezo gani?

Kama ana makosa, kwanini asichunguzwe kama sheria inavyotaka na badala yake anapewa ujaji?

Wanasheria tusaidieni kuhusu jambo hili.

Najaribu kuweka hicho kipande chenye hizo sheria kinachozunguka mitandaoni ila bado sijafanikiwa.
Tuanze na kuwepo kwake ktk nafasi hiyo, alikidhi vigezo?
Jibu!
 
Nimesoma mtandaoni kuhusu taratibu za kisheria zinazotakiwa kufuata ili kumuondoa DPP ofisini, ambapo sheria imetamka wazi kuwa DPP hapaswi kuondolewa ofisini isipokuwa tu kama ana tatizo la kiafya(illness) au amekwenda kinyume na maadili ya kazi.

Hata katika hili la kwenda kinyume na maadili ya kazi/ professional yake, Rais atapaswa kuunda tribunal kumchunguza kabla ya kumuondoa.

Sasa kama haya yana ukweli, Rais Samia amemuondoa DPP ofisini kwa kigezo gani?

Kama ana makosa, kwanini asichunguzwe kama sheria inavyotaka na badala yake anapewa ujaji?

Wanasheria tusaidieni kuhusu jambo hili.

Najaribu kuweka hicho kipande chenye hizo sheria kinachozunguka mitandaoni ila bado sijafanikiwa.
Hata DPP Feleshi alipewa ujaji haikuwa maneno.
Nyie mnamsongasonga mama.
Mna lenu jambo
 
Back
Top Bottom