Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,203
- 12,904
Habari watani wetu wa jadi..!
Ndugu zangu w upinzani naomba niwakumbushe matokeo ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2010, kipindi ambacho Chadema ilikubalika chini ya Dr. slaa n ndio kipindi ambacho CCM ilichokwa.
1. KUGA PETER MZIRAY APPT - MAENDELEO: 96, 933 (1.12%)
2. KIKWETE JAKAYA MRISHO/CCM: 5,276,827 (61.17%)
3. SLAA WILLIBROD PETER/CHADEMA: 2,271,941 (26.34%)
Kipindi hiki Chadema ya moto na Dr. Akifunga kwelikweli lakini akaambulia kura hizo milion 2 toka kwa wananchi.
Uchaguzi wa 2015 Chadema mlipata kura nyingi si sababu mlikubalika sana! la-hasha! Ila kuungana na pia Lowasa kama Lowasa alikuwa na mtaji wa watu na ndicho kiliwasaidia kufikisha kura Milion 6.
Mwaka 2020 kama kuna mtu alitegemea Lissu angepata ata nusu ya kura alizokapata Lowasa mwaka 2015 alitakiwa akapimwe mkojo.
Matokeo aliyopata Lissu ajipongeze kajitahidi mnooo.
Nchi yangu fahari yangu, ahadi yake pekee ni kuilinda.
Ndugu zangu w upinzani naomba niwakumbushe matokeo ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2010, kipindi ambacho Chadema ilikubalika chini ya Dr. slaa n ndio kipindi ambacho CCM ilichokwa.
1. KUGA PETER MZIRAY APPT - MAENDELEO: 96, 933 (1.12%)
2. KIKWETE JAKAYA MRISHO/CCM: 5,276,827 (61.17%)
3. SLAA WILLIBROD PETER/CHADEMA: 2,271,941 (26.34%)
Kipindi hiki Chadema ya moto na Dr. Akifunga kwelikweli lakini akaambulia kura hizo milion 2 toka kwa wananchi.
Uchaguzi wa 2015 Chadema mlipata kura nyingi si sababu mlikubalika sana! la-hasha! Ila kuungana na pia Lowasa kama Lowasa alikuwa na mtaji wa watu na ndicho kiliwasaidia kufikisha kura Milion 6.
Mwaka 2020 kama kuna mtu alitegemea Lissu angepata ata nusu ya kura alizokapata Lowasa mwaka 2015 alitakiwa akapimwe mkojo.
Matokeo aliyopata Lissu ajipongeze kajitahidi mnooo.
Nchi yangu fahari yangu, ahadi yake pekee ni kuilinda.