Nahonyo
JF-Expert Member
- Dec 28, 2012
- 5,374
- 5,011
Sasa kwani Yesu, ni watu gsni wanaomwamini, na hawa akina Jesca na Anna wanaoujiza manzese, sio wakristo.Hapo ndini zao hazijawasaidia
Hao ni wafuasi tu
Sasa kwani Yesu, ni watu gsni wanaomwamini, na hawa akina Jesca na Anna wanaoujiza manzese, sio wakristo.Hapo ndini zao hazijawasaidia
Hao ni wafuasi tu
Hivi hivi karibuni umesikia, kisa cha mapadri, wa kanisa Katoriki na tuhuma za Ulawiti?zitafakarini njia zenu....
Mnashinda Nyumba za ibada siku zote ila maisha yenu hayaonyeshi mabadiriko na hali zenu za maisha zimejaa balaa na mikosi
Wito wangu # Yesu bado anaokoa
Anayo nguvu ya kubadiri moyo na matendo
Kwenda kanisani ni jambo moja na kumpokea Yesu ni jambo lingineSasa kwani Yesu, ni watu gsni wanaomwamini, na hawa akina Jesca na Anna wanaoujiza manzese, sio wakristo.
Ndo hayo niliyoandikaHivi hivi karibuni umesikia, kisa cha mapadri, wa kanisa Katoriki na tuhuma za Ulawiti?
"Mabadiriko" wasauzi soon watatupita katika hii lughazitafakarini njia zenu....
Mnashinda Nyumba za ibada siku zote ila maisha yenu hayaonyeshi mabadiriko na hali zenu za maisha zimejaa balaa na mikosi
Wito wangu # Yesu bado anaokoa
Anayo nguvu ya kubadiri moyo na matendo
Hizo point 2 za mwanzo ni mfuJ'pili njema JF
Direct to the point
Kama dini yako haikusaidii
1: Kuwa mtakatifu
2: Kuwa mwenye upendo kwa watu wote
3: Kuwa mvumilivu na mwenye subira
4: Kuwa mwenye heshima na maadili
5: Kuwa mwenye hekima na busara
6: kuwa mwenye bidii katika kufanya kazi
Please .....
# Achana nayo, unajipotezea muda tu!!!
Yesu bado anaokoa
Kwa uandishi wako, Point 3, 4 na 5 zimekupitia pembeni.NAUONA UZI HUU UNAENDA VEMA KABISA
Wasiwasi wangu ni pale UAMSHO watakapotia mguu hapa.Yesu anaokoa
Hapo Suluhu Sio kubadili Dini, bali ni kuwa mcha Mungu wa kweli. Sababu kwa Imani wanamwamini Yesu, ila ni waovu kupitiliza.Ndo hayo niliyoandika
Kama imani ya dini yako haijakusaidia... Don't waste your time
Noted"Mabadiriko" wasauzi soon watatupita katika hii lugha
OkayHizo point 2 za mwanzo ni mfu
1.huwezi kuwa mtakatifu huku bado unaishi
2.Huwez kuwa na upendo kwa watu wote-Realism Theory inakaa
#Mpende anayekupenda.
Sawazitafakarini njia zenu....
Mnashinda Nyumba za ibada siku zote ila maisha yenu hayaonyeshi mabadiriko na hali zenu za maisha zimejaa balaa na mikosi
Wito wangu # Yesu bado anaokoa
Anayo nguvu ya kubadiri moyo na matendo
Uchambuzi mzuri mkuuHapo Suluhu Sio kubadili Dini, bali ni kuwa mcha Mungu wa kweli. Sababu kwa Imani wanamwamini Yesu, ila ni waovu kupitiliza.
Majambazi, Wezi, Wabaguzi, Wanunua ngono na wauza ngono ni wa imani zote.
Mbaya zaidi wapo wanafanya maovu kwa kujifichia Dini.
Chamsingi kwanza Mtu mwenyewe aamue, kuacha yote mabaya, ndipo atamfuata huyo Yesu na Wengine, ila kama mtu hajaamua, hata Yesu amjie mlangoni kwake hamna kitu.