mtongwe
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 1,572
- 4,256
Kwa Bei hii bei ya petrol ilipofikishwa naona kabisa Kuna uwezekano wa kuhamia kwenye kufunga yale mamitungi ya gesi kwenye haka kagari ninachokatumia............shida bado ipo kwenye kuchanga hizo pesa ya kufungia hayo mamitungi ukizingatia huu mtungo wa kodi na tozo ninaopigwa na awamu ya tozo in kwa kweli sioni pa kupatia ahueni