Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,619
- 154,960
- Thread starter
- #181
Wanaweza kuanzisha Kodi ya kutumia pesa, watu hatari sana hawaUmeme unaweza kupandishwa bei pia
Wanaweza kuanzisha Kodi ya kutumia pesa, watu hatari sana hawaUmeme unaweza kupandishwa bei pia
Wasenge kweli yani wanakera! Wanajua internet ndio ina watumiaji lukuki hapo pia watatia spana! Pombe sahizi wengi waliacha sababu ya uchumi mbovu huko wameona hamna ishu wamekimbilia kwenye mafuta ambako magari ni mengi zaidi 😂😂😂Hahahaaaaa Kabisa serikali haibuni vyoanzo vipya bali wanaangalia wapi kuna watumiaji wengi ndio hapo hapo wanakandamiza.
HahahahNayo itapanda tuu
Hahaha shida ni upigaji dili ukiahamia huko meneja wa LPG akianza michongo yake kwenye gas lazma ale na wana wengine ndio mabalaa yataanza😂😂😂 unashangaa zimepachikwa kodi za ajabu ajabuNa tz jinsi ilivyo, gas utashangaa itapanda kupita bei ya petrol!
Huu mtungi wa litre 30 nini? Mbona umejaza buti
Wanaacha kuendeleza rasilimali, tuzi export tupate forex, wao wameng'ang'ania Kodi tu, wacha tuendelee kuwa nchi fukara.Hahahahaha watahamishia kodi kwenye luku 😅😅😅 hamuwezi wakimbia kijanja wao ni kama kivuli chako😅
Ndio mkome, si ndio nyie mlisema kura zote kwa CCM?Wa katavi tunafanyaje sasa, sheli za hivyo hatuna
huku wese ni 2700
Kwa yale ya kichina ukiwa na 20M za kibongo unapata la Quality nzuri sana tu!Magari yanayotumia umeme yanakuja na Ni Bei poa Sana tu
Hahahah aah wapi uchumi wa kati hauwezi kuunga unga sh.100 kwenye litre ya mafuta mjombaa😅😅😅!Wanaacha kuendeleza rasilimali, tuzi export tupate forex, wao wameng'ang'ania Kodi tu, wacha tuendelee kuwa nchi fukara.
SWALI LA UZUSHI:-
Hivi bado tuko kwenye uchumi wa Kati?
Hio ni fursa kwa mafundi wa pale DIT kuanzisha Depot za gas za magari mikoani! Ina maana ni fursa nzuri sana kabla watu hawajasanuka😅Gasi tutajazia wapi sasa? Maana vituo mikoa mingi hakuna
Jana nilienda 7-7 nikaona wale jamaa wa kufunga gas kwenye magari. I think it's worth using the technology, kwa 1.8mil unafungiwa mzigo na kwa maelezo yao mtungi unajazwa kwa 20k unatembea 200km approx.Hio ni fursa kwa mafundi wa pale DIT kuanzisha Depot za gas za magari mikoani! Ina maana ni fursa nzuri sana kabla watu hawajasanuka
Hahahah yes hivi ule mtungi kama pale kwenye IST ni wa kilo ngapi ule? Yani elfu 20 ya gas unapiga misele ya full tank ya 115,000!Jana nilienda 7-7 nikaona wale jamaa wa kufunga gas kwenye magari. I think it's worth using the technology, kwa 1.8mil unafungiwa mzigo na kwa maelezo yao mtungi unajazwa kwa 20k unatembea 200km approx.
Tatizo ni kuwa boot inajaa kabla hujaweka mabegi yako
Siyo za kitoto tunapigwa kutumia pipe wrenchMbunge anatunga sheria yeye asichangie kodi ila nyie wananchi ndio wazalendo mchangie kwa ajili ya maendeleo yenu wanawapiga spana pale mjengoni😅😅😅
Wasenge kweli yani wanakera! Wanajua internet ndio ina watumiaji lukuki hapo pia watatia spana! Pombe sahizi wengi waliacha sababu ya uchumi mbovu huko wameona hamna ishu wamekimbilia kwenye mafuta ambako magari ni mengi zaidi 😂😂😂
Mfumo wa hovyo kabisa huuHahahah aah wapi uchumi wa kati hauwezi kuunga unga sh.100 kwenye litre ya mafuta mjombaa😅😅😅!
Tatizo ndio hilo yani toka enzi za mkapa kodi ni sigara, bia,bima ya gari, kodi ya biashara na hao wajinga walioanzishaga hizo kodi ndio ambao wanapambania watoto wao warithishwe madaraka ili waendelee kubunya! Imefikia mahali watu wamepunguza unywaji na uvutaji sasa hizo kodi hazitoshi wameamua kodi zije kwenye nyumba na mafuta ya kuendeshea magari,mitambo na pikipiki maana nilazima utatumia tu! Too bad wanataka na simu nazo waziwekee kodi, et uzalendo!
Poor country nchi ina maliasili kibao ila tunaendelea kuwa masikini tu! Ingekuwa kuna uwezekano tukawakodi wazungu watuendeshee nchi kwa mkataba bora tungewapa wao ili wananchi tuokoke na mabalaa ya chama cha mbogamboga
Gvmnt inazingua sana watu wakeMfumo wa hovyo kabisa huu
Gari inatumia mifumo yote gas na wese. Ni suala la switch tu. Hata mkoani unaenda gas ikikata unatumia weseShida yake ni moja tu...hiyo gari itakuwa ya Dar Es Salaam tu
Ushuru wake tu, kwa sababu yakiwa mengi yatapunguza mapato yao...Magari yanayotumia umeme yanakuja na Ni Bei poa Sana tu