Trubarg
JF-Expert Member
- Jan 8, 2020
- 4,258
- 6,899
Gari inakosa nguvu...engine inapata moto kama tanuru..coolants zinakuja kila week ujaze otherwise expect engine knock...Ni mara mbili ya distance ambayo mafuta yanapeleka gari yako, pia gesi asili Ni nzuri sana kwa maisha marefu ya injini yako kwani haina mabaki, na pia gesi asili Ni rafiki mzuri wa mazingira