Kama CUF kumejaa wasomi Wapemba wasingepata mateso haya

Ng'wanangwa

JF-Expert Member
Aug 28, 2010
10,827
4,172
nilimsikia dogo mahona akijifariji kwamba CUF imejaa wasomi. labda hakuwahi kufika Pemba:
  1. pemba hawana barabara, ni vichochoro na vichaka tu from mkoani to chake.
  2. wapemba ndo binadamu wanaoongoza kwa kupanda meli chakavu kuliko binadamu yeyote hapa duniani.
  3. wapemba waliobahatika kusoma wanajisikia fahari kuishi unguja na kuacha ndugu zao wakilia na kusaga meno huko pemba.
sasa kama wasomi wako cuf, na cuf imekuwa ikipewa ridhaa ya kuongoza pemba miaka na miaka kupitia bunge, madai haya ya mahona yana mashiko?
 
wasiasa siku zote huwa ni waropokaji,si shangai kwa kusema hivyo maana wanasiasa wakisema 100 ujue ni moja hivyo kusema kuna wasomi wengi ina maana amechukua watu 1000*
 
Hivi wasomi wa Tanzania bara wamelisaidiaje taifa letu huku bara!
Kwenye nchi 20 duniani kwa umasikini wa kutupwa Tanzania tumo, tena kuna nchi zingine zimeingia kwenye kundi la umasikini kutokana vita.
Wasomi wa Tanzania bara ni sawa sawa na punda kabeba mizigo ya vitabu. Ukiangalia mikataba yetu walioingia hawa wasome wetu tunaojitapa nao utashangaa sana hata mwanafunzi wa darasa la tatu hawezi kuwa mjinga kiasi hicho.
Ebu angalia mikataba ya Madini, labda uniambie wasomi wa Tanzania bara wanasifika kwa Ufisadi
 
Hivi wasomi wa Tanzania bara wamelisaidiaje taifa letu huku bara!
Kwenye nchi 20 duniani kwa umasikini wa kutupwa Tanzania tumo, tena kuna nchi zingine zimeingia kwenye kundi la umasikini kutokana vita.
Wasomi wa Tanzania bara ni sawa sawa na punda kabeba mizigo ya vitabu. Ukiangalia mikataba yetu walioingia hawa wasome wetu tunaojitapa nao utashangaa sana hata mwanafunzi wa darasa la tatu hawezi kuwa mjinga kiasi hicho.
Ebu angalia mikataba ya Madini, labda uniambie wasomi wa Tanzania bara wanasifika kwa Ufisadi

kumbe na wewe samtaim huwa unashirikisha ubongo kufikiri.

bravo.

hata hivyo mada yangu haihusu comparison ya wasomi wa Pemba na Bara.
 
Hivi wasomi wa Tanzania bara wamelisaidiaje taifa letu huku bara!
Kwenye nchi 20 duniani kwa umasikini wa kutupwa Tanzania tumo, tena kuna nchi zingine zimeingia kwenye kundi la umasikini kutokana vita.
Wasomi wa Tanzania bara ni sawa sawa na punda kabeba mizigo ya vitabu. Ukiangalia mikataba yetu walioingia hawa wasome wetu tunaojitapa nao utashangaa sana hata mwanafunzi wa darasa la tatu hawezi kuwa mjinga kiasi hicho.
Ebu angalia mikataba ya Madini, labda uniambie wasomi wa Tanzania bara wanasifika kwa Ufisadi

CCM hao mkuu ndo wametufikisha hapo ulipo, tuwakatae CCM kwa nguvu zote, ni mafisadi sana, tuiunge mkono CDM.
 
Hivi wasomi wa Tanzania bara wamelisaidiaje taifa letu huku bara!
Kwenye nchi 20 duniani kwa umasikini wa kutupwa Tanzania tumo, tena kuna nchi zingine zimeingia kwenye kundi la umasikini kutokana vita.
Wasomi wa Tanzania bara ni sawa sawa na punda kabeba mizigo ya vitabu. Ukiangalia mikataba yetu walioingia hawa wasome wetu tunaojitapa nao utashangaa sana hata mwanafunzi wa darasa la tatu hawezi kuwa mjinga kiasi hicho.
Ebu angalia mikataba ya Madini, labda uniambie wasomi wa Tanzania bara wanasifika kwa Ufisadi
Hivi kumbe wewe mwendawazimu unayajua haya!!!
Sasa mbona unatetea hao wasomi waliosababisha huu umaskini ambao wote wako CCM na wewe umepewa hela na Nape kuitetea hiy CCM yenu inayoelekea kaburini.
 
Ritz you right, Pemba ni semu tu ya Tanzania inayotoa sura halisi ya Taifa letu. Umasikini na hali ngumu ya maisha uko sehemu nyingi tu nchini, si CUF wala CDM wa kulaumiwa bali Chama Tawala ambacho kimekuwa na muda mrefu wa amani na utulivu lkn kimeshindwa kuwaletea WaTZ neema wanayotughilibu nayo.

Rukwa, Tabora, Kigoma na Kagera mbona nao wamekaa bila hizo barabara kwa miaka mingi tu? Kuna watu wamezaliwa miaka 40 iliyopita hapa TZ hawajawahi kuona taa ya umeme, bomba la maji wala barabara ya lami.
 
Hivi wasomi wa Tanzania bara wamelisaidiaje taifa letu huku bara!
Kwenye nchi 20 duniani kwa umasikini wa kutupwa Tanzania tumo, tena kuna nchi zingine zimeingia kwenye kundi la umasikini kutokana vita.
Wasomi wa Tanzania bara ni sawa sawa na punda kabeba mizigo ya vitabu. Ukiangalia mikataba yetu walioingia hawa wasome wetu tunaojitapa nao utashangaa sana hata mwanafunzi wa darasa la tatu hawezi kuwa mjinga kiasi hicho.
Ebu angalia mikataba ya Madini, labda uniambie wasomi wa Tanzania bara wanasifika kwa Ufisadi

mkuu ukipumzisha akili kwanza unapata hasara gani?
 
nilimsikia dogo mahona akijifariji kwamba CUF imejaa wasomi. labda hakuwahi kufika Pemba:
  1. pemba hawana barabara, ni vichochoro na vichaka tu from mkoani to chake.
  2. wapemba ndo binadamu wanaoongoza kwa kupanda meli chakavu kuliko binadamu yeyote hapa duniani.
  3. wapemba waliobahatika kusoma wanajisikia fahari kuishi unguja na kuacha ndugu zao wakilia na kusaga meno huko pemba.
sasa kama wasomi wako cuf, na cuf imekuwa ikipewa ridhaa ya kuongoza pemba miaka na miaka kupitia bunge, madai haya ya mahona yana mashiko?

ha ha haaa eti "chama ambacho mwenyekiti wake ni Proffessor, katibu wake ni Dr. tofauti na vyama vingine" kwahiyo akiondolewa mwenyekiti na katibu wanaobaki vp!!!??, mnh hivi lakini si na yule naniliii yule naniiii naniliii yule mwenyekiti wa kile chama cha jembe na nyundo yule na yeye si naskia ni doctor siku hizi!!!!! teh teh teh!!! mi naskia tu sina uhakika..
 
Kinachowaponza hawa jamaa wa pemba ni ubaguzi wa kikabila. CUF inaongoza kwa miaka 20 sasa kule pemba na haijaleta maendeleo yoyote. Wameshindwa hata kukarabati meli za kwenda pemba. Sasa meli tu zinawashinda wakati wana rami ya Mungu (BAHARI) Je wangekuwa nchi kavu kama huku kwetu lami wangeiweza???
Acheni kuwa na fikra mgando na kung'ang'ania chama hicho hicho kwa miaka 20 huku mkiendelea kufa majini na mnanyimwa hata haki ya kuambiwa ukweli kuwa wangapi wamekufa. Amkeni na chagueni vyama vingine
 
Hivi wasomi wa Tanzania bara wamelisaidiaje taifa letu huku bara!
Kwenye nchi 20 duniani kwa umasikini wa kutupwa Tanzania tumo, tena kuna nchi zingine zimeingia kwenye kundi la umasikini kutokana vita.
Wasomi wa Tanzania bara ni sawa sawa na punda kabeba mizigo ya vitabu. Ukiangalia mikataba yetu walioingia hawa wasome wetu tunaojitapa nao utashangaa sana hata mwanafunzi wa darasa la tatu hawezi kuwa mjinga kiasi hicho.
Ebu angalia mikataba ya Madini, labda uniambie wasomi wa Tanzania bara wanasifika kwa Ufisadi
Hao unaowasema ni wasomi wa chama cha Magamba, ndiyo maana CDM wanazunguka nchi nzima kuleta ukombozi kwa Watanzania ili na wewe uwe na maisha mazuri, nakushukuru umeanza kuelewa ubaya wa CCM endelea kuunga mkono People's Power.
 
Hivi wasomi wa Tanzania bara wamelisaidiaje taifa letu huku bara!
Kwenye nchi 20 duniani kwa umasikini wa kutupwa Tanzania tumo, tena kuna nchi zingine zimeingia kwenye kundi la umasikini kutokana vita.
Wasomi wa Tanzania bara ni sawa sawa na punda kabeba mizigo ya vitabu. Ukiangalia mikataba yetu walioingia hawa wasome wetu tunaojitapa nao utashangaa sana hata mwanafunzi wa darasa la tatu hawezi kuwa mjinga kiasi hicho.
Ebu angalia mikataba ya Madini, labda uniambie wasomi wa Tanzania bara wanasifika kwa Ufisadi

Hapo sawa abisa Ritz
 
Hivi wasomi wa Tanzania bara wamelisaidiaje taifa letu huku bara!
Kwenye nchi 20 duniani kwa umasikini wa kutupwa Tanzania tumo, tena kuna nchi zingine zimeingia kwenye kundi la umasikini kutokana vita.
Wasomi wa Tanzania bara ni sawa sawa na punda kabeba mizigo ya vitabu. Ukiangalia mikataba yetu walioingia hawa wasome wetu tunaojitapa nao utashangaa sana hata mwanafunzi wa darasa la tatu hawezi kuwa mjinga kiasi hicho.
Ebu angalia mikataba ya Madini, labda uniambie wasomi wa Tanzania bara wanasifika kwa Ufisadi

kwa mara ya kwanza inaonekana TAA IMEANZA KUWAKA KWAKO MCHANA!!!!! endelea na tafakuri hatua ya pili......hebu fanya TAKE HOME assignemnt two.

ASSIGNMENT 2: JE ni kwanini wasomi wa Tanzania wanashindwa kudeliver?

i. Influence au maagizo ya Chama tawala (CCM)

ii. Weakness - udhaifu wa chama tawala (CCM)

iii. Both ar correct
 
kwa mara ya kwanza inaonekana TAA IMEANZA KUWAKA KWAKO MCHANA!!!!! endelea na tafakuri hatua ya pili......hebu fanya TAKE HOME assignemnt two.

ASSIGNMENT 2: JE ni kwanini wasomi wa Tanzania wanashindwa kudeliver?

i. Influence au maagizo ya Chama tawala (CCM)

ii. Weakness - udhaifu wa chama tawala (CCM)

iii. Both ar correct

Unatakiwa ungalie pia kuwa hao wasomi wa Tanzania

Wanaofanya kazi za kitaalamu (techn/experst)

Bahati asilimia 90% ni wakristo waliotoka seminary...wameendekeza udini na kuhudumia kanisa na siyo kuhudumia wananchi
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom