Sa 7 mchana
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 4,975
- 9,718
Muhali gani waungwana.
Naomba niwapotezee muda niende moja kwa moja kwenye suala.
Dec mwaka 2020 niiitisha cheti cha ndoa kupitia uzi 👇👇👇
Vyeti vikaletwa
Mpaka vyeti kutoka nchi za mashariki
Baada yakupitia vyeti hivyo kitu ambacho sikukiona ama kukisoma ni mchongo wa mwanandoa kuchepuka. Suala hili halipo kwenye makubaliano nikajiuliza sana maana watu kadhaa washatolewa marinda, kupata vilema vya muda na kudumu wengine kutolewa uhali kwenye ambush za fumanizi.
Nimepitia sheria ya ndoa uchepukaji haujazunguzwa pia, katiba nayo hivyo hivyo(joking)
Swali kwenu wanasheria na wajuzi wa mambo hii hali ya kuchepuka kuonekana kisheria sio sawa japo suala ilo halijatamkwa kama kosa ama kitu cha kuepukwa kwenye makubaliano ya ndoa.
Naomba niwapotezee muda niende moja kwa moja kwenye suala.
Dec mwaka 2020 niiitisha cheti cha ndoa kupitia uzi 👇👇👇
Mwenye Picha ya cheti cha Ndoa naomba a-share na sisi tafadhali
Tunajua kuwa Ndoa ni mkataba, so nmeonelea ni vyema kuomba kujua mahudhui ya aina hii ya maktaba. Itapendeza zaidi kama vikipatikana tofauti tofauti yaani cha â• Kikristo â• Kiislamu â• Kiserikali Kama vitakuwa vinatofautiana. Asante.
www.jamiiforums.com
Vyeti vikaletwa
Mpaka vyeti kutoka nchi za mashariki
Baada yakupitia vyeti hivyo kitu ambacho sikukiona ama kukisoma ni mchongo wa mwanandoa kuchepuka. Suala hili halipo kwenye makubaliano nikajiuliza sana maana watu kadhaa washatolewa marinda, kupata vilema vya muda na kudumu wengine kutolewa uhali kwenye ambush za fumanizi.
Nimepitia sheria ya ndoa uchepukaji haujazunguzwa pia, katiba nayo hivyo hivyo(joking)
Swali kwenu wanasheria na wajuzi wa mambo hii hali ya kuchepuka kuonekana kisheria sio sawa japo suala ilo halijatamkwa kama kosa ama kitu cha kuepukwa kwenye makubaliano ya ndoa.