Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Chama ambacho kipo nchini na kinafanya siasa kila siku zaidi ya miaka ishirini kinaanza kuweka mawe na kuzindua mashina kina hali gani sasa!
Kinampango wa kukamata dola? Kwa staili hii watakamata dola?
Kama watakamata dola itakuwa lini? Maana kama baada ya miaka ishirini ndio wanaanza ujenzi wa ofisi na kuzindua mashia!
Kuna mwananchi anayewakubali kweli?
Kinampango wa kukamata dola? Kwa staili hii watakamata dola?
Kama watakamata dola itakuwa lini? Maana kama baada ya miaka ishirini ndio wanaanza ujenzi wa ofisi na kuzindua mashia!
Kuna mwananchi anayewakubali kweli?