Kama CHADEMA wamekataa nafasi 19 za Wabunge wa Viti Maalum na ruzuku basi watuombe radhi sisi Wapiga kura wao

Haiwezekani sisi wananchi tupange foleni kwenye vituo vya kupigia kura kumchagua Tundu Lisu na Halima Mdee kwa mfano hapa Kawe halafu leo kirahisi rahisi tu Chadema wanadai hawazitaki nafasi za ubunge wa viti maalumu wala ruzuku eti wanataka haki!!

Haki gani wanayoidai hawa Chadema?

Mbona hawaendi mahakamani?

Hivi vyama vya siasa ni mali ya wananchi siyo mali ya mtu binafsi.

Sasa kama Chadema wamekataa viti maalumu wale akina Halima Mdee wanamuwakilisha nani bungeni?

Yule mbunge wa Nkasi status yake ikoje pale bungeni?

Kiukweli Chadema mnapaswa kutuomba radhi wapiga kura wa Tanzania hakuna namna.

Peoples...........Power!
ni kama unaandika huku ukiwa unapumua kwa shida sana. kaa utulie kisha andaa hoja zako vizuri ili ueleweke.
 
Haiwezekani sisi wananchi tupange foleni kwenye vituo vya kupigia kura kumchagua Tundu Lisu na Halima Mdee kwa mfano hapa Kawe halafu leo kirahisi rahisi tu Chadema wanadai hawazitaki nafasi za ubunge wa viti maalumu wala ruzuku eti wanataka haki!!

Haki gani wanayoidai hawa Chadema?

Mbona hawaendi mahakamani?

Hivi vyama vya siasa ni mali ya wananchi siyo mali ya mtu binafsi.

Sasa kama Chadema wamekataa viti maalumu wale akina Halima Mdee wanamuwakilisha nani bungeni?

Yule mbunge wa Nkasi status yake ikoje pale bungeni?

Kiukweli Chadema mnapaswa kutuomba radhi wapiga kura wa Tanzania hakuna namna.

Peoples...........Power!
1622100204248.png
 
Haiwezekani sisi wananchi tupange foleni kwenye vituo vya kupigia kura kumchagua Tundu Lisu na Halima Mdee kwa mfano hapa Kawe halafu leo kirahisi rahisi tu Chadema wanadai hawazitaki nafasi za ubunge wa viti maalumu wala ruzuku eti wanataka haki!!

Haki gani wanayoidai hawa Chadema?

Mbona hawaendi mahakamani?

Hivi vyama vya siasa ni mali ya wananchi siyo mali ya mtu binafsi.

Sasa kama Chadema wamekataa viti maalumu wale akina Halima Mdee wanamuwakilisha nani bungeni?

Yule mbunge wa Nkasi status yake ikoje pale bungeni?

Kiukweli Chadema mnapaswa kutuomba radhi wapiga kura wa Tanzania hakuna namna.

Peoples...........Power!
Utakua na matatizo ya uelewa kama mlivyo nyie mataga, CCM ndio walio gushi barua na kuipeleka tume ya uchaguzi ikionyesha Chadema imeteua wabunge hao 19, na Tume wakayapeleka majina kwa Spika,Kwa vikao halali vya Chadema wakawafukuza hao wabunge baada ya kuona wameshirikiana na CCM katika upuuzi huo
 
Haiwezekani sisi wananchi tupange foleni kwenye vituo vya kupigia kura kumchagua Tundu Lisu na Halima Mdee kwa mfano hapa Kawe halafu leo kirahisi rahisi tu Chadema wanadai hawazitaki nafasi za ubunge wa viti maalumu wala ruzuku eti wanataka haki!!

Haki gani wanayoidai hawa Chadema?

Mbona hawaendi mahakamani?

Hivi vyama vya siasa ni mali ya wananchi siyo mali ya mtu binafsi.

Sasa kama Chadema wamekataa viti maalumu wale akina Halima Mdee wanamuwakilisha nani bungeni?

Yule mbunge wa Nkasi status yake ikoje pale bungeni?

Kiukweli Chadema mnapaswa kutuomba radhi wapiga kura wa Tanzania hakuna namna.

Peoples...........Power!
Kwanini unahoji wabunge 19 na sio wabunge zaidi ya 200 na kura za raisi? usijitoe ufahamu KAMA is real lazıma ikutafune tu.
 
Haiwezekani sisi wananchi tupange foleni kwenye vituo vya kupigia kura kumchagua Tundu Lisu na Halima Mdee kwa mfano hapa Kawe halafu leo kirahisi rahisi tu Chadema wanadai hawazitaki nafasi za ubunge wa viti maalumu wala ruzuku eti wanataka haki!!

Haki gani wanayoidai hawa Chadema?

Mbona hawaendi mahakamani?

Hivi vyama vya siasa ni mali ya wananchi siyo mali ya mtu binafsi.

Sasa kama Chadema wamekataa viti maalumu wale akina Halima Mdee wanamuwakilisha nani bungeni?

Yule mbunge wa Nkasi status yake ikoje pale bungeni?

Kiukweli Chadema mnapaswa kutuomba radhi wapiga kura wa Tanzania hakuna namna.

Peoples...........Power!
Jamaa huwa muongo weye!Hivi ulishahama kwenye lile ghetto lako chakavu?
 
Mleta hoja na kushauri punguza unywaji wa mataputapu kwani ulichoandika ni upuuzi wa ajabu na sidhani kama kuna 'ushirikiano' kati ya kichwa na vidole vyako.
 
Haiwezekani sisi wananchi tupange foleni kwenye vituo vya kupigia kura kumchagua Tundu Lisu na Halima Mdee kwa mfano hapa Kawe halafu leo kirahisi rahisi tu Chadema wanadai hawazitaki nafasi za ubunge wa viti maalumu wala ruzuku eti wanataka haki!!

Haki gani wanayoidai hawa Chadema?

Mbona hawaendi mahakamani?

Hivi vyama vya siasa ni mali ya wananchi siyo mali ya mtu binafsi.

Sasa kama Chadema wamekataa viti maalumu wale akina Halima Mdee wanamuwakilisha nani bungeni?

Yule mbunge wa Nkasi status yake ikoje pale bungeni?

Kiukweli Chadema mnapaswa kutuomba radhi wapiga kura wa Tanzania hakuna namna.

Peoples...........Power!
Awamu hii hakuna Mtaka Sifa kama Mwendazake
 
Haiwezekani sisi wananchi tupange foleni kwenye vituo vya kupigia kura kumchagua Tundu Lisu na Halima Mdee kwa mfano hapa Kawe halafu leo kirahisi rahisi tu Chadema wanadai hawazitaki nafasi za ubunge wa viti maalumu wala ruzuku eti wanataka haki!!

Haki gani wanayoidai hawa Chadema?

Mbona hawaendi mahakamani?

Hivi vyama vya siasa ni mali ya wananchi siyo mali ya mtu binafsi.

Sasa kama Chadema wamekataa viti maalumu wale akina Halima Mdee wanamuwakilisha nani bungeni?

Yule mbunge wa Nkasi status yake ikoje pale bungeni?

Kiukweli Chadema mnapaswa kutuomba radhi wapiga kura wa Tanzania hakuna namna.

Peoples...........Power!
YAANI UMEAANDIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIKAAAAAAAAAAAAAAAA...!!! Nimetafuta kama kuna pahala umeandika WAMEFUKUZWA UANACHAMA SIJAPAONA... Yaani unataka CDM iwafukuze uandachama, halafu ipokee ruzuku... HUO NI UFALA...

Halafu kwa akili yako, huoni kama mtego uliokuwa umebaki kwa CDM ni ruzuku? WAKATI MWINGINE ACHENI KUJISHUCHIA HESHIMA ZENU KIFALA HIVI
 
Sasa yule mbunge wa Nkasi alipatikanaje?
UWE UNAFIKIRI KWA KIUNGO HUSIKA... Uchaguzi ukiwa wa hovyo jimbo moja, inaweza usiwe hivyo jimbo jingine...

Halafu waende mahakamani wakashitaki kitu gani? Wao jukumu lao lilikuwa kuwatimua uanachama akina Halima na wenzie kwa kujipa u-viti maalumu nje ya chama lakini kwa jina la chama...!!!

Sasa na wao akina HALIMA walikata rufaa ya kitu gani? Kupinga nini? Ujinga mtupu
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom