Kama CHADEMA wamekataa nafasi 19 za Wabunge wa Viti Maalum na ruzuku basi watuombe radhi sisi Wapiga kura wao

Haiwezekani sisi wananchi tupange foleni kwenye vituo vya kupigia kura kumchagua Tundu Lisu na Halima Mdee kwa mfano hapa Kawe halafu leo kirahisi rahisi tu Chadema wanadai hawazitaki nafasi za ubunge wa viti maalumu wala ruzuku eti wanataka haki!!

Haki gani wanayoidai hawa Chadema?

Mbona hawaendi mahakamani?

Hivi vyama vya siasa ni mali ya wananchi siyo mali ya mtu binafsi.

Sasa kama Chadema wamekataa viti maalumu wale akina Halima Mdee wanamuwakilisha nani bungeni?

Yule mbunge wa Nkasi status yake ikoje pale bungeni?

Kiukweli Chadema mnapaswa kutuomba radhi wapiga kura wa Tanzania hakuna namna.

Peoples...........Power!
Uchaguzi wa watu waliobeba mabegi yaliyojaa kwenye vituo vya kupigia kura kwa mara ya kwanza tumeuona awamu ya 5
 
Haiwezekani sisi wananchi tupange foleni kwenye vituo vya kupigia kura kumchagua Tundu Lisu na Halima Mdee kwa mfano hapa Kawe halafu leo kirahisi rahisi tu Chadema wanadai hawazitaki nafasi za ubunge wa viti maalumu wala ruzuku eti wanataka haki!!

Haki gani wanayoidai hawa Chadema?

Mbona hawaendi mahakamani?

Hivi vyama vya siasa ni mali ya wananchi siyo mali ya mtu binafsi.

Sasa kama Chadema wamekataa viti maalumu wale akina Halima Mdee wanamuwakilisha nani bungeni?

Yule mbunge wa Nkasi status yake ikoje pale bungeni?

Kiukweli Chadema mnapaswa kutuomba radhi wapiga kura wa Tanzania hakuna namna.

Peoples...........Power!
We babu kuna mahakama au kuna matawi ya CCM?
 
Haiwezekani sisi wananchi tupange foleni kwenye vituo vya kupigia kura kumchagua Tundu Lisu na Halima Mdee kwa mfano hapa Kawe halafu leo kirahisi rahisi tu Chadema wanadai hawazitaki nafasi za ubunge wa viti maalumu wala ruzuku eti wanataka haki!!

Haki gani wanayoidai hawa Chadema?

Mbona hawaendi mahakamani?

Hivi vyama vya siasa ni mali ya wananchi siyo mali ya mtu binafsi.

Sasa kama Chadema wamekataa viti maalumu wale akina Halima Mdee wanamuwakilisha nani bungeni?

Yule mbunge wa Nkasi status yake ikoje pale bungeni?

Kiukweli Chadema mnapaswa kutuomba radhi wapiga kura wa Tanzania hakuna namna.

Peoples...........Power!
Wewe ulipiga kura ngapi
 
Yaniii wewe sikuhizi hueleweki kabisaa. Bora hata enzi za mwendazake tulijua wewe ni Mataga. Anwaya hujaeleweka maana kwa sisi ambao sio mashabiki wa vyama tunawaelewa CHADEMA ni nini wanataka.
Hoja yao kubwa ninani aliyepeleka majina ya hao viti maalumu cause Viongozi wote wajuu hawatambui.
Tume imekaa kimya badala yake anaibuka sajiri wa vyama na hoja zaifu nasema zaifu kwakuwa ni ofisi take hiyohiyo iliyofumbia macho uharamia wa Lipumba.
Lakini twende mbele turudi nyuma kwa yaliyo fanyika kwenye uchaguzi wa 2020 kuna kiumbe anaweza akasimama na kusubutu kusema kulikuwa na uchaguzi kweli?
Tuwe wazalendo wa kweli na nnchi yetu tuache ushabiki wa kimazingira kwamba unashabikia tukio au mambo yaliyopo kwa watawala kipindi wapo hata kama nimabayaa.
we siasa unaonekana huijui vizuri na wanasiasa huwajui, hivi yale majina unategemea yalijipeleka yenyewe kwa tume? bila kupelekwa na mtu? hapo ni mbowe ndiyo mhusika mkuu wa hii issue we tazama sasa ameshaanza kutafuta mbinu ya kuwasamehe yaani anye shabikia uinzani huwa ni fala wa kutupwa maana mpaka mnataka kufanya maandamano muumizewe na polisi muache kazi zenu kwaajili ya upuuzi wa mbowe na genge lake? sasa jiulize kwanini rufaa ya hao 19haisikilizwi? na kwanini hawataki kuwapeleka mahakamani ili iamuliwe kimahakama? wanajuwa watajiumbua na mdee alishawaonya waende taratibu ataharibu kila kitu kiwe wazi
 
Sasa kama hamuachiani kwanini unasema mbunge wa Nkasi aliachiwa?

Jenga hoja kwa mantiki bwashee!
hakukuwa na uchaguzi ile ni danganya toto CCM haiko mioyoni mwa watu ndo maana kafa MEKO watu wakafurahia sana mtaani ,serikali ikawa inalazimisha huzuni mara ikamate watu wakichinja ngombe mara ilazimishe mabaa kupiga nyimbo za dini ,wakati nyerere amefariki haya hayakuwepo watu walihuzunika kweli kweli ,KIPIMO: Ona alivyosahaulika haraka na kiwanja chake cha ndege chato
 
we siasa unaonekana huijui vizuri na wanasiasa huwajui, hivi yale majina unategemea yalijipeleka yenyewe kwa tume? bila kupelekwa na mtu? hapo ni mbowe ndiyo mhusika mkuu wa hii issue we tazama sasa ameshaanza kutafuta mbinu ya kuwasamehe yaani anye shabikia uinzani huwa ni fala wa kutupwa maana mpaka mnataka kufanya maandamano muumizewe na polisi muache kazi zenu kwaajili ya upuuzi wa mbowe na genge lake? sasa jiulize kwanini rufaa ya hao 19haisikilizwi? na kwanini hawataki kuwapeleka mahakamani ili iamuliwe kimahakama? wanajuwa watajiumbua na mdee alishawaonya waende taratibu ataharibu kila kitu kiwe wazi
Halima James Mdee ni mpare yule anaweza kuivunjilia mbali Chadema kwa kumwaga ugali pamoja na mboga yake na kisado cha mbege!
 
hakukuwa na uchaguzi ile ni danganya toto CCM haiko mioyoni mwa watu ndo maana kafa MEKO watu wakafurahia sana mtaani ,serikali ikawa inalazimisha huzuni mara ikamate watu wakichinja ngombe mara ilazimishe mabaa kupiga nyimbo za dini ,wakati nyerere amefariki haya hayakuwepo watu walihuzunika kweli kweli ,KIPIMO: Ona alivyosahaulika haraka na kiwanja chake cha ndege chato
Wewe ndio umemsahau wenzako wanasameheana huko Ufipa!
 
Haiwezekani sisi wananchi tupange foleni kwenye vituo vya kupigia kura kumchagua Tundu Lisu na Halima Mdee kwa mfano hapa Kawe halafu leo kirahisi rahisi tu Chadema wanadai hawazitaki nafasi za ubunge wa viti maalumu wala ruzuku eti wanataka haki!!

Haki gani wanayoidai hawa Chadema?

Mbona hawaendi mahakamani?

Hivi vyama vya siasa ni mali ya wananchi siyo mali ya mtu binafsi.

Sasa kama Chadema wamekataa viti maalumu wale akina Halima Mdee wanamuwakilisha nani bungeni?

Yule mbunge wa Nkasi status yake ikoje pale bungeni?

Kiukweli Chadema mnapaswa kutuomba radhi wapiga kura wa Tanzania hakuna namna.

Peoples...........Power!
Mimi na wewe tuliwapigia CCM bana - ya ngoswe mwachie ngoswe!!
 
Kama serikali iliweza kumtoa Nusrat Henje ni wazi hata Nyangali atatoka!
Uwezo siku zote wanao. Nia ndio hawana. Nusrat Henje alitolewa ili akaunge mkono juhudi. Na amefanya hivyo. Wanajua Nyangali hawezi kuunga juhudi ndio maana hawatamtoa.

Amandla...
 
Uwezo siku zote wanao. Nia ndio hawana. Nusrat Henje alitolewa ili akaunge mkono juhudi. Na amefanya hivyo. Wanajua Nyangali hawezi kuunga juhudi ndio maana hawatamtoa.

Amandla...
Hakuna mkate mgumu mbele ya chai.

Paliwahi kutokea kamanda mfia chama kama Halima James Mdee lakini yuko wapi leo?
 
Hakuna mkate mgumu mbele ya chai.

Paliwahi kutokea kamanda mfia chama kama Halima James Mdee lakini yuko wapi leo?
Nyinyi ndo mnaoaga wachumba wasiowapenda afu mnalalamika kugongewa ,ndani ya halima mdee inaishi chadema zile ni tamaa za kawaida hakuna asie legea kwenye bil mbili ndo maana wana cc original huwa hawawakubali watu waliohama kwa kuhongwa hela alizoiba yule mbwa wa chato kwa wananchi maskini akawanunua ,rejea kura za maoni hakuna alieshinda kwa kura alietoka chadema wanaojielewa hawafanyikazi hivyo
 
Nyinyi ndo mnaoaga wachumba wasiowapenda afu mnalalamika kugongewa ,ndani ya halima mdee inaishi chadema zile ni tamaa za kawaida hakuna asie legea kwenye bil mbili ndo maana wana cc original huwa hawawakubali watu waliohama kwa kuhongwa hela alizoiba yule mbwa wa chato kwa wananchi maskini akawanunua ,rejea kura za maoni hakuna alieshinda kwa kura alietoka chadema wanaojielewa hawafanyikazi hivyo
Hizo zote ni ngonjera kwa sasa Halima Mdee yuko CCM!
 
Back
Top Bottom