thread yako na ulicho andika sija elewa kabisa
Hauja helewa, au hutaki kuelewa kuwa umeelewa?
Jaribu kuelewa kuwaumeelewa na kutokuelewa kwako ni matokeo ya kutotaka kuelewa kuwa umeelewa bada ya kuelewa kuwa umeelewa..
Hauja helewa, au hutaki kuelewa kuwa umeelewa?
Jaribu kuelewa kuwaumeelewa na kutokuelewa kwako ni matokeo ya kutotaka kuelewa kuwa umeelewa bada ya kuelewa kuwa umeelewa..
thread yako na ulicho andika sija elewa kabisa
Kama jana uliangalia taarifa y hbr ungeona jinsi mgodi wa BUHEMBA ulvyobak magofu najiuliza kwa hiyo MIGODI mingne iliyobaki itakuaje?JE mpaka mgodi huo unafika ktk khali hy je ume2toa wap?ume2fkisha wp?ok naamini kbs chadema ilikuja ku2komboa u2mwani kwa7bu NABII hakubaliki kwao leo 2meingia kwenye balaa la 5years.2tegemee Migomo ya hapa na pale,Umasikin kwa mfumko wa bei,Kodi kupanda kwa wafanya biashara wadgwadgo na mengi zaidi ya hayo.NGOJA 2ONE KESHO ITAKUJA VIPI.ni mtazamo wangu 2 na isiwe SHERIA."Haya tunayoyaona leo yasingekuwepo" hata mimi hapo sijapaelewa.
Haya 2nayoyaona leo yasingekuwepo ona WAWEKEZAJI wame2achia mashimo huko BUHEMBA vipi kuhusu BUZWAG,KAKOLA,NZEGA
Jf raha sana...........................HahahahahaaaaaHauja helewa, au hutaki kuelewa kuwa umeelewa?
Jaribu kuelewa kuwaumeelewa na kutokuelewa kwako ni matokeo ya kutotaka kuelewa kuwa umeelewa bada ya kuelewa kuwa umeelewa..