ataondoka na mpira wake ndo mchezo utakuwa umeishia hapoSi ulisikia wito wa Kujiunga na Chama, Ukijiunga unatoa chochote. Lazima na Ukishindwa toa chochote cha mwaka, wewe sio mwanachama tena! au masikio yangu yana dongo?
Mbowe kachoka kutumia mabiloni yake?
Hayo maelezo aliyatoa wapi na lini? Una audio au video clip akieleza Hilo?????Kwa maelezo ya Mh. Mbowe ametumia mabilioni ya fedha kuijenga CHADEMA. Kwa bahati nzuri hakuna anayekanusha haya kutoka kwa wana CHADEMA wenzake. Swali langu wengine mchango wao ni upi au ni kama KUPE tu kwenye ng'ombe aliyenona?
Ndilo alilolisema? Walikopeshana? Aliseeema, '....Nimetumia mabilioni yangu....." na katikati akadai yeye katoka kwenye familia ya wenye hela....Zinakauka?Hizo pesa Mbowe alizitoa kwa mapenzi yake kwa chama, au aliwakopesha wenzake?
Kama huko kukopeshana kulifanyika chini ya vikao halali vya chama sioni tatizo, hayo ni makubaliano yao yasiingiliwe, naamini pale kwenye uongozi wa Chadema hakuna mtoto mdogo wa kuburuzwa..
Kwa maelezo ya Mh. Mbowe ametumia mabilioni ya fedha kuijenga CHADEMA. Kwa bahati nzuri hakuna anayekanusha haya kutoka kwa wana CHADEMA wenzake. Swali langu wengine mchango wao ni upi au ni kama KUPE tu kwenye ng'ombe aliyenona?
Wanajifanya wakusikia? Si shangai kwa KUPE hawawezi kujua hata ng'ombe akiuzwaNdilo alilolisema? Walikopeshana? Aliseeema, '....Nimetumia mabilioni yangu....." na katikati akadai yeye katoka kwenye familia ya wenye hela....Zinakauka?
Kwani Mbowe kuchangia chama chake kinakuuma nini wewe dada?Kwa maelezo ya Mh. Mbowe ametumia mabilioni ya fedha kuijenga CHADEMA. Kwa bahati nzuri hakuna anayekanusha haya kutoka kwa wana CHADEMA wenzake. Swali langu wengine mchango wao ni upi au ni kama KUPE tu kwenye ng'ombe aliyenona?
Sio hilo tu, Mwenyekiti wao amewatelekeza, amewakaripia, amewabeza mbele ya Kadamnasi '... kutoka Australia mpaka....' ...na hakuna kitu ambacho watamfanya(Ule ndio Udikteta kwa tafsiri yao) kwani alisema mwenyewe, kiunagaubaga asilimia kubwa ya wafuasi wake hawakubaliani na njia anayotumia kupata maridhiano, hasira zake zile Uwanjani ambazo ni wazi za kivisasi, yaani naweza sema Alionyesha ni ajenda gani ataileta kama akiwa, labda Waziri Mkuu Kivuli hapo baadae. Alikuwa anatabiri, kwa kusema miaka yake ni mingi aliyotumia kupigania Uhuru wake-na kwa ;Propaganda za kitooto anadai alikuwa anapigania uhuru wa wote! Shabash. Uhuru gani huo alionyimwa? anaoudai wakati ambao alijikusanyia 'mabilioni' au Uhuru wa kukusanya mabilioni mengine ndio analeta makasiriko yake?Wanajifanya wakusikia? Si shangai kwa KUPE hawawezi kujua hata ng'ombe akiuzwa
Ndio hoja mliyobaki nayo, hamna ajenda nyingine yeyote kama Chama.. Ndio maana akawakaripia nyie madumazi, "Childish Propaganda" tunajua alikuwa hamfokei au kumkaripia mtu mwingine yeyote kwani kwa makasiriko yake alisema 'na Nyie chadema, mna tia aibu Mitandaoni' UsipindisheUchonganishi wa kiwango cha chekechea,mtamaliza maneno yote safari hii,poleni wajane,yatima na chawa wa yule mwovu aliyeko motoni..
Ndio hoja mliyobaki nayo, hamna ajenda nyingine yeyote kama Chama.. Ndio maana akawakaripia nyie madumazi, "Childish Propaganda" tunajua alikuwa hamfokei au kumkaripia mtu mwingine yeyote kwani kwa makasiriko yake alisema 'na Nyie chadema, mna tia aibu Mitandaoni' Usipindishe
cc kwa wenzako mje na matusi yenu ya Chekechea "Childish Propaganda" full of Unsubstantiated claims! Buuul kenge
CCM daima.
CCM ndio hiyo hiyo iliyowapeleka kusambaratika kama mbegu za kibuyu kilichokauka.
Mnaja sema "Yule"! Hizo ni wivu na hasira za 'utoto wa mjini' kukutana na full force ya dola. 'Utoto wa mjini' kwa Nchi? Kwa Serikali....Sasa nini? Maridhiano eh?
cc waje huku ni wape na wao.....ndio mjue "Cha Arusha"
Umechangia nini mkuu kwenye saccos yenu😀😀🤣Mnanena kwa lugha safari hii yaani
Nileteeni Nguruwe wenu mkuuu!Hoja yako ni nini hapa, maana matusi ndio mengi. Punguza hasira na matusi, wasilisha hoja zako kwa njia nzuri tu, na utapewa majibu. Hili game mbona halihitaji hasira? Au umeshalewa nini boss?
Mshangao huo ni kwa Dunia nzima 'Kutoka uwanjani Furahisha, Australia na ....." kwingineko na 'Cha Arusha'Ungekuwa huvuti bangi ningeshangaa sana. Maana unaongea kwa kupanick mpaka tunashangaa nini shida.