Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,107
- 6,077
Kama ni kweli msimamo wa chama kuwa hamtambui Rais, JK basi lazima mfuate yafuatayo:
1. Wabunge wenu wasipige kura ya kuridhia jina la waziri mkuu leo hii, watoke nje ya ukumbi wa Bunge (kuinuka kwa pamoja na kutoka nje, sio kuonekana kama hamkuingia ukumbini);
2. JK atakapo hutubia Bunge hapo kesho na siku zijazo basi, wabunge wote wa Chadema watoke nje ya ukumbi wa Bunge (kuinuka kwa pamoja na kutoka nje, sio kuonekana kama hamkuingia ukumbini);
3. Msiunde baraza la mawaziri kivuli; mkiunda tu baraza la mawaziri kivuli basi mjue kuwa mnashirikiana na JK;
4. Wabunge na viongozi wa Chadema wasihudhurie sherehe zozote ambazo JK au Nuclear Scientist au Waziri Mkuu atakuwa mgeni rasmi au kuhudhuria - kama ni sherehe ya kimataifa au kitaifa;
Otherwise mtakuwa mnatudanganya tu na kauli yenu haitakuwa na uzito!
1. Wabunge wenu wasipige kura ya kuridhia jina la waziri mkuu leo hii, watoke nje ya ukumbi wa Bunge (kuinuka kwa pamoja na kutoka nje, sio kuonekana kama hamkuingia ukumbini);
2. JK atakapo hutubia Bunge hapo kesho na siku zijazo basi, wabunge wote wa Chadema watoke nje ya ukumbi wa Bunge (kuinuka kwa pamoja na kutoka nje, sio kuonekana kama hamkuingia ukumbini);
3. Msiunde baraza la mawaziri kivuli; mkiunda tu baraza la mawaziri kivuli basi mjue kuwa mnashirikiana na JK;
4. Wabunge na viongozi wa Chadema wasihudhurie sherehe zozote ambazo JK au Nuclear Scientist au Waziri Mkuu atakuwa mgeni rasmi au kuhudhuria - kama ni sherehe ya kimataifa au kitaifa;
Otherwise mtakuwa mnatudanganya tu na kauli yenu haitakuwa na uzito!