Bila kupepesa macho mtu anaeweza kuleta siasa za ushindani kwa chama tawala mwaka huu na hata lolote kutokea kwenye sanduku la kura ni TL.
Nawashauri CHADEMA wisifanye kosa la 2015 la kubadili gia angani kumuacha Dr.Slaa aliekuwa kajipanga sawasawa na wakamteua Lowassa kuwa mgombea wao. Matokeo yake baadae kila mtu ameyaona wote wamerejea walikotoka.
Japo Lazaro ni kama anaonekana kuwa presidential material pia, ila bado naona kwa mazingira ya sasa TL anafaa zaidi.
Ivyo CHADEMA Msifanye kosa kumtosa TL
Nawashauri CHADEMA wisifanye kosa la 2015 la kubadili gia angani kumuacha Dr.Slaa aliekuwa kajipanga sawasawa na wakamteua Lowassa kuwa mgombea wao. Matokeo yake baadae kila mtu ameyaona wote wamerejea walikotoka.
Japo Lazaro ni kama anaonekana kuwa presidential material pia, ila bado naona kwa mazingira ya sasa TL anafaa zaidi.
Ivyo CHADEMA Msifanye kosa kumtosa TL