Ni kitu cha ajabu kwa serikali ya CCM kushindwa kuiteketeza chadema inayoelekea kuchukua nchi 2015 mbali kuwa na taasisi zote za mashambulizi. kitu ninachokiona watumishi wa serikali na wanachama wengi wa CCM wameasi chama chao na kungojea tu kushuhudia kudodonga na kufa kwake 2015.
Kwa mwendo huu wa CCM ni vema wakaanzisha kitengo cha kuwafariji wazee wa toka enzi za TANU na ASP hili muda wa kuanguka utapofika wasife kwa presha au kufadhaika sana na tukio hilo kama vile wazee wa URUSI walivyofadhaika kuona sovieti ikivunjika na kusambaratika.
Hakuna kilichobaki ndani ya CCM zaidi ya kuanzisha kitengo cha kufariji makada na wanachama watiifu kwa chama pindi watapotangaziwa matokeo ya Uchaguzi 2015, la sivyo mapambano kama ya kujitoa muhanga yatajitokeza kwa makada wa zamani wenye uchungu cha chama chao.
Kwa mwendo huu wa CCM ni vema wakaanzisha kitengo cha kuwafariji wazee wa toka enzi za TANU na ASP hili muda wa kuanguka utapofika wasife kwa presha au kufadhaika sana na tukio hilo kama vile wazee wa URUSI walivyofadhaika kuona sovieti ikivunjika na kusambaratika.
Hakuna kilichobaki ndani ya CCM zaidi ya kuanzisha kitengo cha kufariji makada na wanachama watiifu kwa chama pindi watapotangaziwa matokeo ya Uchaguzi 2015, la sivyo mapambano kama ya kujitoa muhanga yatajitokeza kwa makada wa zamani wenye uchungu cha chama chao.