fige
JF-Expert Member
- Jul 4, 2010
- 376
- 61
Kuna wakati najiuliza hivi chama chetu kinachoongoza kimechanganyikiwa ?
Wajibu wa kukamata na kuwashitaki watu wote wanaovunja sheria ni wa serikali,inatia huzuni pale ambapo anayetakiwa kukamata mkwepa kodi,mwizi,fisadi anapokuja kututangazia kwamba fulani ni mwizi kama mimi(ccm).
Hakika kwa kufanya hivyo ni kukiri kushindwa kutimiza wajibu wake .
Mwaka huu nimeona maajabu ya siasa hapa Nchini kwa kauli tata za viongozi wa juu wa serikali na chama tawala,leo anasema hivi kesho anageuka anasema kinyume.hivi huko nikuchanganyikiwa au ndio uwezo mdogo wa kufikiri ?
Kama kuna fisadi ndani au nje ya chama chenu wajibu wa kuwashitaki ni wenu na serikali yenu,kututangazia bila kuchukua ni udhaifu mkubwa kuliko kuwajua na kutowatangaza bila hatua.
Wajibu wa kukamata na kuwashitaki watu wote wanaovunja sheria ni wa serikali,inatia huzuni pale ambapo anayetakiwa kukamata mkwepa kodi,mwizi,fisadi anapokuja kututangazia kwamba fulani ni mwizi kama mimi(ccm).
Hakika kwa kufanya hivyo ni kukiri kushindwa kutimiza wajibu wake .
Mwaka huu nimeona maajabu ya siasa hapa Nchini kwa kauli tata za viongozi wa juu wa serikali na chama tawala,leo anasema hivi kesho anageuka anasema kinyume.hivi huko nikuchanganyikiwa au ndio uwezo mdogo wa kufikiri ?
Kama kuna fisadi ndani au nje ya chama chenu wajibu wa kuwashitaki ni wenu na serikali yenu,kututangazia bila kuchukua ni udhaifu mkubwa kuliko kuwajua na kutowatangaza bila hatua.