Japhari Shabani (RIP)
R I P
- Jan 16, 2007
- 721
- 176
Kama ccm itamsimamisha jk basi wabunge wa ccm wachaguliwe kutoka hospital ya vichaa milembe watanzania tuamke mungu ibariki tanzania
Mkubwa maneno makali sana hayo.Kama ccm itamsimamisha jk basi wabunge wa ccm wachaguliwe kutoka hospital ya vichaa milembe watanzania tuamke mungu ibariki tanzania
Advocate Jasha, CCM kumsimamisha JK sio suiala la kama, ni uhakika bila shaka na Watanzania kwa umoja wetu tutawachagua tena na kutoka na ushindi wa kishindo!. Naomba usibishe. Subiiri November utashuhudia kwa macho na masikio yako.Kama ccm itamsimamisha jk basi wabunge wa ccm wachaguliwe kutoka hospital ya vichaa milembe watanzania tuamke mungu ibariki tanzania
Advocate Jasha, CCM kumsimamisha JK sio suiala la kama, ni uhakika bila shaka na Watanzania kwa umoja wetu tutawachagua tena na kutoka na ushindi wa kishindo!. Naomba usibishe. Subiiri November utashuhudia kwa macho na masikio yako.
MkuuMkubwa maneno makali sana hayo.
Ila kimsingi ameboa hivyo hukumu ya haki ni hapo october, vinginevyo watanzania tutakuwa na ujuha wa namna fulani hivi!!
Kama ccm itamsimamisha jk basi wabunge wa ccm wachaguliwe kutoka hospital ya vichaa milembe watanzania tuamke mungu ibariki tanzania
Mzee wa Lukwangule, hawa ndiyo type ya vijana wetu wa kisasa hapa JF, daily na weekly top posters, ndio hawa wako kileleni. Faraja moja ni kuwa 'ivumayo haidumu' na ngoma ikilia sana, mwishowe hupasuka, baathi yetu humu JF ni ngoma ivumayo sana!, usijisumbue trying to put sense into an empty bin!, sio debe tupu, debe tupu angalau hupiga kelele, hili ni debe wazi liko open both sides hivyo upepo una go thrugh na halipigi kelele.Please do not insult inteligensi ya watu, ni dalili ya kuwa na upungufu wa akili kama unakimbilia mitusi na kushutumu watu. Vyama vina misimamo yao na ni hiyo misimamo ama inawavua madaraka au inawaingiza kutokana na jinsi hali inavyoruhusu na mahitaji ya watu wakati huo. Kama muda bado CCM itarejea madarakani; kama muda tayari CCM italazimika kuungana na vyama vingine kutengeneza serikali lakini si kutukana watu; ni upuuzi kushabikia matusi badala ya kuwavutia watu wakakuelewa nini unahitaji ,wapo watu wanachukizwa sana na matusi na kukufanya uwakimbize soma siasa ili ujuwe utaratibu wa siasa na kutambua mantiki ya watu kutaka kutawala wengine na wengine kuishia kunawa kula wasile na kama mimi ninayetaka mtawala awe mkweli si mbabaishaji wa matusi na kuniongea hasira.:target:
Nitashangazwa sana kama hakutakuwa na mabadiliko,kuna baadhi ya mikoa wananchi wengi ni wajinga!Wakirudia makosa tujitenge wataingiza akili,kwasababu utaratibu wa sasa wa kupeleka mapato yote makao makuu na huku tukiambiwa ni masikini uishe,hao wanaokubalina na viongozi kuwa sisi ni masikini na wakati si wananchi wote wametokea maeneo enye umasikini ni ujinga inaotakiwa kwisha,wananci wanaotoka maeneo yasiyokuwa na uzalishaji ama mchango kwa taifa wawasikilize wale wasioitaka ccm na wenye rasilimali,la sivyo wabaki na ccm na maeneno yao,mfano huko Tabora na Singida wanatia hasira sana,masikini lakini wao na ccm tu kwasababu ya chuki,pambafu sana!
Mungu ibariki AfricaKama ccm itamsimamisha jk basi wabunge wa ccm wachaguliwe kutoka hospital ya vichaa milembe watanzania tuamke mungu ibariki tanzania
kijana umenena, but watch your tongue! Ningefurahi sana mkoa wa pwani hasa chalinze na bagamoyo wakianza. Maana it haina mchango wo wote according to your analysis japo unaonekana kuwa na chuki na tabora. Au ni issue za tucta nini mkuu. Maana waziri wa kazi antoka huko. Tehe tehe teheheheh