Gagurito
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 5,600
- 803
umetumwa kuja kumtetea kikwete?
Wunaogopa kura ikibadilishwa na kuwa ya raisi badala ya waziri mkuu?
mkuu uwe unasoma thread za watu mwanzo mpaka mwisho na ujaribu kuzielewa!
umetumwa kuja kumtetea kikwete?
Wunaogopa kura ikibadilishwa na kuwa ya raisi badala ya waziri mkuu?
Mleta mada umechanganya ndimu na machungwa. Kazi ya CAG ni kuorodhesha tu lapses za kihasibu. Kwamba utaratibu ulikuwa hivi hawa wamefanya hivi.kazi ya DPP ni completelly tofauti yeye lazima aandae kesi atafute ushahidi wa kutosha. Takukuru halikadhalika kumshitaki mtu nao lazima wajipange sana kwakuwa ukimtuhumu mtu kimakosa inashusha reputation ya mtu.
TAKUKURU NA DPP wanashindwa sababu Rais anaweza kuamka asubuhi akawatimua au kuwastaafisha Ila kwa CAG ni tofauti.Akishateuliwa C AG hata Rais hana mamlaka ya kumchomoa kirahisi. Tafuta maelezo ya termination process ya CAG ujue siri
Hiyo tu inaweza kuwa moja ya sababu ya utedajii tofauti wa hivyo vyeo . Huyo Uttoh akiwa "Hosea" wa TAKUKURU hizo mbwembwe hawezi kuwa nazo.
Nashauri vyeo kama hivi kwenye katiba mpya viwe vinathibitishwa na bunge maana kumpa Rais kila kitu bila kuwa na jicho lingine linaloweza kusema anafaa au la haitoshi na mpaka sasa imeshaigharimu sana Tanzania maana watu wengine wamekuwa mzigo usiobebeka. Hawana msaada wowote zaidi ya kupiga hela za umma
Nashauri vyeo kama hivi kwenye katiba mpya viwe vinathibitishwa na bunge maana kumpa Rais kila kitu bila kuwa na jicho lingine linaloweza kusema anafaa au la haitoshi na mpaka sasa imeshaigharimu sana Tanzania maana watu wengine wamekuwa mzigo usiobebeka. Hawana msaada wowote zaidi ya kupiga hela za umma
Ni kweli mkuu, ila nazani ndani ya nchi hii panahitajika kitu kingine zaidi ya kuthibitishwa na bunge! Leo hii, huyu Pinda ambae analalamikiwa amethibitishwa na Bunge lakini tayari ame-prove failure. Labda tusema kwamba zile nafasi nyeti ambazo zina uhusiano wa moja kwa moja katika kupambana na ufisadi nchini, nafasi hizo ziwe zinalindwa kikatiba dhidi ya watendaji wake kutimuliwa kiholela.
Hivi ni kwanini watumishi wa umma wanaonekana kama hawana nguvu tena ya kutekeleza kazi za umma? Maana hili tatizo sio la ofisi hizo mbili tu. Ni karibu ofisi zote
Mleta mada umechanganya ndimu na machungwa. Kazi ya CAG ni kuorodhesha tu lapses za kihasibu. Kwamba utaratibu ulikuwa hivi hawa wamefanya hivi.kazi ya DPP ni completelly tofauti yeye lazima aandae kesi atafute ushahidi wa kutosha. Takukuru halikadhalika kumshitaki mtu nao lazima wajipange sana kwakuwa ukimtuhumu mtu kimakosa inashusha reputation ya mtu.
Mleta mada umechanganya ndimu na machungwa. Kazi ya CAG ni kuorodhesha tu lapses za kihasibu. Kwamba utaratibu ulikuwa hivi hawa wamefanya hivi.kazi ya DPP ni completelly tofauti yeye lazima aandae kesi atafute ushahidi wa kutosha. Takukuru halikadhalika kumshitaki mtu nao lazima wajipange sana kwakuwa ukimtuhumu mtu kimakosa inashusha reputation ya mtu.