johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,821
- 141,732
Jana alisikika meneja wa fedha wa Clouds media akidai kuwa taasisi yake iliwasilisha kwa CAG risiti zote za kielectronic kama alivyoagiza na siyo kweli kwamba kuna utata katika malipo waliyolipwa na wizara ya maliasili na utalii.
Ndiposa natafakari kama meneja huyo wa fedha bwana Masoud anasema ukweli basi kuna tatizo kubwa kwenye hiyo taarifa ya CAG ihusuyo ukaguzi.
Ni vema CAG mheshimiwa Kichere akalitolea ufafanuzi hili jambo.
Ukinizingua Nitakuzingua!
Ndiposa natafakari kama meneja huyo wa fedha bwana Masoud anasema ukweli basi kuna tatizo kubwa kwenye hiyo taarifa ya CAG ihusuyo ukaguzi.
Ni vema CAG mheshimiwa Kichere akalitolea ufafanuzi hili jambo.
Ukinizingua Nitakuzingua!