Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,898
Kama ni kweli mhimili wa mahakama uko huru?, ni kwa nini majaji hawakuwa huru kumuona Lissu ?
Kama bunge liko huru, kwa nini uongozi wa bunge umeshindwa kumtembelea Mbowe na Matiko Segerea? Hadhi ya Mbowe Bungeni ni sawa na ya naibu spika, pia ni Mjumbe wa tume!
Kama bunge liko huru, kwa nini uongozi wa bunge umeshindwa kumtembelea Mbowe na Matiko Segerea? Hadhi ya Mbowe Bungeni ni sawa na ya naibu spika, pia ni Mjumbe wa tume!