Kama bring back beni alive mlisahau basi hili nalo linapita

gimmy's

JF-Expert Member
Sep 22, 2011
3,283
3,271
Kwa kasi ya sakata ben ilivyo kuwa na ukimya wa sasa unaweza fikiri huenda alipatikana kumbe sivyo na badala yake watu walihamia kwa kitwanga kisha Bashite na sasa kuvamiwa kwa Clouds TV.

Yani ni matukio tu ndio yanaendesha nchi badala ya sera.
Na ndio maana raisi leo kasema watu wanapenda sana kuhangaika na udaku kuliko hoja za msingi.

Mnasubiri 2019 wakati muda umeshaisha ndio muanze kuhangaika na mambo muhimu kama habari ya tume huru ya uchaguzi ila kwa sasa mpo busy na habari za Bashite.

Kwakweli tunasafari ndefu sana kama nchi na mtaendelea kuwa wasindikizaji kwenye serikali mpaka mwisho wa hii dunia.
 
Walianza Tumbua Majipu sasa hivi mchezo umebadilika , Yaliyoiva Hayatumbuliwi tena . Mara faru john, akaje yule mpenzi wake Faru John ..... . WaFanyakazi hewa," Likaja la Mama Yetu .. akatumbuliwa huyohuyo akawa tena mbunge" amekuwa Safi"..
"Usafi jmosii. " panda miti... Madawa, vilainishi...miili saba ...Nauli Bure kwa Walimu ... mashoga .Vyote hivyo yumeshau , Darasa/Muziki. ...

Tuahasahu Vyote Hivyo .. Na sasa tunacheza mziki Mwingine .
 
Mpaka 2020 nahisi tutakuwa tumerudi nyuma miaka 30.
Mbaya zaidi wengi watapotea.
 
Manunuzi ya simu za smartphone yameongezeka sana na kila mmoja sasa anajitahidi kuwa na bandle.

Makapuni ya simu wanafanya biashara nzuri sana upande wa internet service.

Kila MTU kijiweni,ofisini n.k Hataki kupitwa na taarifa zinazoendelea kwa sasa.

Na Kanisa la ufufuo na uzima sasa ndiyo gumzo la mjini hatujui next episode jpili ijayo!

Nilichopenda ni mashambulizi ya watu wa kijiji kimoja DINI moja.Maana nilikuwa natafakari wangekuwa DINI tofauti ingetokea nini???
 
Walianza Tumbua Majipu sasa hivi mchezo umebadilika , Yaliyoiva Hayatumbuliwi tena . Mara faru john, akaje yule mpenzi wake Faru John ..... . WaFanyakazi hewa," Likaja la Mama Yetu .. akatumbuliwa huyohuyo akawa tena mbunge" amekuwa Safi"..
"Usafi jmosii. " panda miti... Madawa, vilainishi...miili saba ...Nauli Bure kwa Walimu ... mashoga .Vyote hivyo yumeshau , Darasa/Muziki. ...

Tuahasahu Vyote Hivyo .. Na sasa tunacheza mziki Mwingine .
KAJIPANGE TENA UELWEKI
 
da0864d848d6f2d34207bf82fb746e3b.jpg
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom