Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,625
- 218,056
Zipo taarifa zinazosambaa kwa kasi kuhusiana na mchambuzi wa kimataifa Bollen Ngeti kutokuwepo kwenye kituo cha polisi alichodaiwa kupelekwa cha Sitaki shari kilichopo Ukonga jijini DSM , baada ya kukamatwa na watu wenye silaha za kivita , hili limefahamika baada ya timu ya wanasheria kufika kituoni hapo kwa ajili ya kumtetea na kuambiwa kwamba hakuwahi kufikishwa kwenye kituo hicho.
Kwa kadri ya ufahamu wa wana JF mnadhani Bollen atakuwa kapelekwa wapi ?
Pazeni sauti zenu ili habari hii isambae dunia nzima .
UPDATE :
.....ASANTENI SANA WANA JF NA WATU WOTE WA MITANDAONI KWA KUPAZA SAUTI ZENU , HAKIKA UMOJA NI NGUVU , hatimaye polisi wageuka watetezi wa ndoa
Kwa kadri ya ufahamu wa wana JF mnadhani Bollen atakuwa kapelekwa wapi ?
Pazeni sauti zenu ili habari hii isambae dunia nzima .
UPDATE :
.....ASANTENI SANA WANA JF NA WATU WOTE WA MITANDAONI KWA KUPAZA SAUTI ZENU , HAKIKA UMOJA NI NGUVU , hatimaye polisi wageuka watetezi wa ndoa