Kama Biblia na Quran zingeletwa Mahakamani zithibitishe yaliyomo ndani yake, Quran ingeangukia pua

QUR'AN ILIKOPI SEHEMU ALIPOFIKA PAULO KWENYE BAHARI MBILI ZIZILOKUTANA [YAANI BAHARI CHUMVI NA BAHARI ISIYO NA CHUMVI ]



SWALI LETE ANDIKO MIMI ALLAH NIMEUMBA BAHARI NDANI YA QUR-AN YENU KAMA HAMJAKOPI BIBLIA

Mwanzo 1 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
⁹ Mungu akasema, Maji yaliyo chini ya mbingu na yakusanyike mahali pamoja, ili pakavu paonekane; ikawa hivyo.

¹⁰ Mungu akapaita pale pakavu Nchi; na makusanyiko ya maji akayaita Bahari; Mungu akaona ya kuwa ni vyema.



MUNGU WETU ALIZIPA BAHARI MIPAKA YAKE USHAHIDI HUU HAPA KABLA YA MUHAMMAD KUZALIWA NA KABLA YA QUR-AN YENU KUANDIKWA

”Mithali 8:29 “Alipoipa bahari mpaka wake, Kwamba maji yake yasiasi amri yake; Alipoiagiza misingi ya nchi;

Zaburi 24 (Biblia Takatifu)

¹ Nchi na vyote viijazavyo ni mali ya Bwana, Dunia na wote wakaao ndani yake.

² Maana ameiweka misingi yake juu ya bahari, Na juu ya mito ya maji aliithibitisha.



PAUL NDIYE WA KWANZA KUFIKA HAPO KABLA YA MUHAMMAD WENU KWENYE BAHARI CHUMVI NA BAHARI TAMU USHAHIDI HUU HAPA KASOMA MATENDO 27:1-44

Matendo ya Mitume 27:41 “Lakini wakafikia mahali palipokutana bahari mbili, wakaiegesha merikebu, omo ikakwama ikakaa isitikiswe, bali tezi ilikuwa imefumuliwa kwa nguvu za mawimbi.



QURAN IMEKOPI BIBLIA NA IMEKOPI ALIPOFIKA PAULO KWENYE BAHARI MBILI ZIZILOKUTANA YAANI BAHARI CHUMVI NA BAHARI ISIYO NA CHUMVI USHAHIDI HUU HAPA

SWALI AYA IPI MIMI ALLAH NIMEUMBA BAHARI NDANI YA QUR-AN YENU KAMA SI KOPI YA KUTOKA KWA PAULO MATENDO 27:41

Quran 55:18-20

18. Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?

19. Anaziendesha bahari mbili zikutane;

20. Baina yao kipo kizuizi, zisiingiliane

Quran 25:53. Naye ndiye aliye zipeleka bahari mbili, hii tamu mno, na hii ya chumvi chungu. Na akaweka baina yao kinga na kizuizi kizuiacho

ASALAAM ALEIKUMView attachment 2403236
Kitu kuwa sawa baina ya Quran na Biblia ni kawaida kumbuka Quran imekuja ku update hivyo vitabu baada ya kuwa corrupted.

Hivyo si jambo la ajabu kitu ambacho kipo corrupted kuwa na mambo mengine sahihi na mengine sio sahihi.

Nitakupa mfano kwenye Quran Aya zote zinazomhusu Yusuf zinamtambulisha kiongozi wa Egpty kama Mfalme, na Aya zote zinazomhusu Musa zinamtambulisha kiongozi wa Egpty kama pharaoh. Ila kwenye Bible kipindi cha Yusuf ama Musa kote anaitwa pharaoh.

Gunduzi za karibuni baada ya watu ku decipher ancient Egpty language zinaonesha Pharaoh ni cheo cha kidini, kipindi cha Yusuf mfalme alitoka Syria na alikuwa na miungu yake tofauti na Ya Egpty na aliikataa miungu ya Egpty hivyo hakuwa Pharaoh.

So kihistoria Quran ipo sahihi mfalme wa Egpty kipindi cha Yusuf hakuwa Pharaoh, pharaoh alikuwa kipindi cha Musa, hivyo unaona hapa Quran ime correct kosa la Bible.

Si hii tu kuna Story nyingi sana za Nyuma ambazo tech ya sasa ime prove Quran ipo sahihi na Bible haijaelezea, ukipata Muda pia pitia Story ya Ibrahim na miungu ya watu wake kama Moon, sun na Venus, Quran ipo specific kabisa waliabudi Venus, kitu ambacho Tafiti za sasa zinakubali.
 
Quran na uisilamu ni mfumo wa maisha na ni katiba na sheria unapoipeleka mahakamani unatumia Quran kuijudge ama man made laws?

kuna Nchi kibao zinafuata mfumo wa Quran japo si 100% ila zina mafanikio makubwa sana. Kuanzia Nchi za Gulf mpaka Asia ya mashariki kama Kina Brunei na Malyasia, ila sijaona Nchi ama hata wakristo wanaofuata Bible, kwa Wengi Bible ni Spiritual book na sio way Of life, Hakuna uchumi wa Biblia, Mahakama za Biblia, mabenki ya Biblia etc ila utakuta Mahakama za Uisilamu, mabenki ya Uisilamu, Mabucha, uchumi kwa ujumla etc vyote hivi vinabase na Quran.

So Quran imeprove practically inachosema, na sio kuongelea kwenye makaratasi tu.
 
Mume Muhammad alikuwa ni mtu mwerevu sana .

mwenye kumbukumbu nzuri na uwezo wa kusimulia hadithi alizozijua kutokana na kusafiri safiri kwake miji tofauti kibiashara.

Akiwa safarini Alisikia hadithi nyingi za dini zilizokuwepo kipindi hiko kutoka kwa Mayahudi (walioishi Arabuni wakati huo) na za Kikristo (kutoka kwa safari zake za kwenda Syria ki biashara) na akaunganisha hadithi alizozisikia kutoka kwenye dini tofauti hadi kwenye dini mpya aliyoianzisha ya kiislamu yenye hoja ya Mungu mmoja na yeye mwenyewe kama Mtume. ( ni kama story za utani za kumsema nyerere enzi zile akiona kitu kwenye tv anakuja kusema ameoteshwa kwamba marekani kimetokea hiki.. sababu watu wengine hawana tv wanaamini kaoteshwa kweli)

Alifanikiwa kuitumia dini hii mpya kufikia malengo mawili, moja la muda mfupi na moja la muda mrefu.

Malengo yake ya muda mfupi yalikuwa ni ya kumfanya yeye kuwa Chief Man in Arabia jambo ambalo alifanikiwa kulipata hadi wakati wa kifo chake na, baada ya kifo chake, warithi wake walifanikiwa kufikia
lengo lake la muda mrefu la kuwafanya waarabu waitawale dunia kwa kutumia advantage waliyonayo ya uislam na lugha ya kiarabu isambae dunia nzima na waarabu wawe watu muhimu kwenye jukwaa la kimataifa

Ukisoma vizuri quran story zilizopo kwenye quran zinazungumzia mazingira ambayo mohammad aliyajua tu ( kwa kufika ama kusikia story zake). Mazingira ya mbali hayapo kwenye quran Maana alikuwa hajawai kufika na hakuwai sikia story zake.. maana ni mbali na uarabuni

Mfano matunda yaliyotajwa , wanyama waliotajwa kwenye quran, ndege waliotajwa kwenye quran, vyakula na mengineyo ni vya mazingira midle east tu ambayo mohammad aliyaona ama aliyasikia kwa watu jiran zake

The Qur’an really speaks only of the animals found in the Arabian lands (midle east) , and only the plants and fruits that grow in that geography.”

Also Foods known in the ( midle east) Arabian lands such as figs, grapes, pomegranates, dates, olives, honey, onions, garlic, gherkin, etc. have also been used in various Qur’anic verses and examples for various topics…

Jiulize Why do animal, and fruit names not belonging to the arab land doesn’t indicated in the Qur’an?

Utapata jibu Prophet wrote these names which he saw in places he went and he heard story from other merchants .

Inshort prophet Mohammad had a dream

Nothing was going to stop him from making that dream come true…

He came up with Islam to gain political power and to unite his people under the rule of one goverment
Haya anasema nani!?..wewe uliyeshiba mihogo na kachumbari!!?
 
Biblia ipi unaizungumzia? Kuna ya wakatoliki, waorthodox, waprotestant n.k.

Humo pia kuna matoleo tofauti kuna King James Version, New King James Version, New International Version.
Kila siku wanafanya 'updated'.

Pia kuna New Revised Standard Version cha 2021. Kwa mtu mwenye akili ndogo atasema zipo sawa, ila kuna baadhi aya zimefutwa na nyingine zimebadilishwa kabisa.
 
QURAN 10: 37-44

37. "Na haiwezekani Qur'ani hii kuwa imetungwa na haitoki kwa Mwenyezi Mungu. Lakini hii inathibitisha (vitabu) vilivyotangulia; na ni mfafanuo wa Kitabu kisicho na shaka ndani yake, kutoka kwa Mola Mlezi wa viumbe vyote.

38. Je! Ndiyo wanasema ameizua? Sema: Hebu leteni na nyie japo sura moja mfano wake na muwaite (kukusaidieni) muwawezao, asiye kuwa Mwenyezi Mungu, ikiwa nyinyi mnasema kweli(kwamba Muhammad kaizua hii Quran).

39. Bali wameyakanusha wasio yaelewa elimu yake kabla hayajawajia maelezo yake. Kadhalika walio kabla yao walikanusha vile vile. Basi angalia jinsi ulivyo kuwa mwisho wa madhaalimu hao.

40. Na miongoni mwao wapo wanao iamini, na miongoni mwao wapo wasio iamini. Na Mola wako Mlezi anawajua vyema mafisadi.

41. Na wakikukanusha wewe, sema: Mimi nina matendo yangu, na nyinyi mna matendo yenu. Nyinyi hamna jukumu kwa niyatendayo, wala mimi sina jukumu kwa myatendayo.

42. Na wapo miongoni mwao wanao kusikiliza. Je, wewe unaweza kuwafanya viziwi wasikie ijapo kuwa hawafahamu?

43. Na wapo miongoni mwao wanao kutazama. Je, wewe utawaongoa vipofu ingawa hawaoni?

44. Hakika Mwenyezi Mungu hawadhulumu watu kitu chochote; lakini watu wenyewe wanajidhulumu nafsi zao.”
 
Kwema Wakuu!

Kutokana na mjadala Fulani uliokuwa unaendelea katika jukwaa la intelligence nimeona nianzishe Uzi huu Kwa lengo la kujifunza na kuweka mjadala huru. Pia Kupima katika mizania ya kimahakama/ kuthibitisha ukweli wa masimulizi yaliyomo kwenye Biblia na kwenye Quran.

Nani Mkweli na Nani muongo Kati ya Biblia na Quran?

Sipo hapa kumfanya yeyote awe sijui Mkristo au Muislam au myahudi Bali nipo kujadili Nani mkweli Kati ya Biblia na Quran katika mizani ya kimahakama.
Majaji mtakuwa ninyi wasomaji;

Mahakamani sio kila kesi inayopelekwa mahakamani ni kesi ya uvunjifu wa Sheria, Hasha! Bali yapo mambo huweza kupelekwa mahakamani Kama kutaka uthibitisho, ukweli, mbali na haki.
Hivyo hata Biblia na Quran vinaweza pelekwa mahakamani na ukweli ukajulikana tuu. Sema Kwa vile mambo haya yanagusa Imani za watu Jambo hilo linaweza kuwa gumu.

Zifuatazo ni hoja Kwa nini Biblia ni kitabu cha kweli na kinapaswa kuwa Rejea kuu zaidi ya Quran. Kwa sababu;

1. Biblia Kwa sehemu kubwa haina maneno ya Hearsay wakati Quran Kwa 90% maneno yake ni Hearsay.
Kimahakama maneno ya hearsay hayasikilizwi na hayawezi kuchukuliwa Kama ushahidi mzito, au kama rejea muhimu.
Hoja hii ndio hoja nzito kuliko zote zinazoifanya Biblia kiwe kitabu kikuu chakweli kinachoiacha Quran Kwa mbali Sana.
i. Waandishi wengi wa Biblia wanaandika matukio yaliyokuwa yanawatokea wao wenyewe. Mfano Musa anasimulia jinsi anavyowatoa Waisrael Misri kwenda Kanaani, Daudi anasimulia hekaheka zake, Suleiman, Daniel, yona n.k.

Wakati Msimuliaji wa Quran yeye anasimulia habari ambazo yeye hakuwepo.
Mfano Muhammad, anasimulia habari za Musa ambaye hayupo na ni miaka zaidi ya elfu iliyopita.
Muhammad hajawahi kumuona Musa wala Daudi, wala Suleiman wala Yesu.

Kisa cha Yesu ndani ya Biblia tunaweza kukikubali Kwa sababu kiliandikwa na baadhi ya wanafunzi wake akiwepo Marko, mathayo na yohana. Hivyo hata mahakamani tunaweza watumia watu walioshuhudia matukio ya Yesu aliyoyafanya
Ila tunaweza kukitoa kitabu cha Luka Kwa sababu yeye alisimuliwa. Hata hivyo ulikuwa ni wakati uleule hivyo naye anaweza akasimulia kitu kikaeleweka.

Tofauti na Quran ya Muhammad ambayo inasimulia tukio ambalo ni miaka zaidi ya 500 tangu litokee na anayeandika hajawahi mshuhudia huyo Yesu/Issa.


2. Waandishi WA Biblia walikuwepo Maeneo tajwa kwenye Biblia.
Lakini Quran aliyeandika hajawahi kufika Maeneo anayoyasimulia.
Yaani Muhammad anasimulia habari za Israel na waisrael ambapo hajawahi kupafika, hajui pakoje, hajui watu wake wakoje.
Muhammad anasimulia habari za Jerusalem ya Suleiman alafu hajawahi kufika Jerusalem na hajawahi kumuona Suleiman.
Wakati suleima mwenyewe kaandika habari zake mwenyewe. Kumbuka kutoka Suleiman mpaka Muhammad ni zaidi ya miaka 1000.
Quran kisheria hakiwezi kutumika kama rejea Kwa maana msimuliaji anasimulia habari za eneo ambalo hajawahi kufika wala kushuhudia.
Wala wakati matukio yanatokea hakuwepo.


3. Biblia ni muunganiko wa vitabu vingi vilivyoshushwa Kwa manabii tofauti tofauti Kwa nyakati tofauti tofauti wakati Quran licha ya kuwa na vitabu vingi lakini vitabu vyote ameshishiwa Muhammad.
Embu shangaa, kisa cha Adamu kashushiwa Muhammad, kisa cha Nuhu, kashushiwa Muhammad, kisa cha Ibrahimu kashushiwa Muhammad, kisa cha yakobo na yusufu kashushiwa Muhammad, kisa cha waisrael kashushiwa Muhammad, mpaka kisa cha Yesu.
Na visa vyote hakuwepo😀😀.

Upande wa Biblia
Ila wenzake Kisa cha Musa aliandika mwenyewe Musa, kisa cha Ayubu aliandika mwenyewe Ayubu, kisa cha Daudi aliandika Daudi mwenyewe, Kisa cha yona kaandika Yoña mwenyewe, Kisa cha Yesu waliandika watu wake wakaribu(wanafunzi waliomshuhudia)
Kisa cha Daniel kaandika Daniel mwenyewe.
Vitabu hivi ni ushahidi wa wazi Kwa sababu wanaosimulia ni wahusika wenyewe. Ni Kama vile kitabu cha Mzee wetu mwinyi au Mzee wetu MENGI.

Muhammad kashushiwa vitabu ambavyo anasimulia hadithi za kusimuliwa (Hearsay) kitu pekee ambacho Quran inaweza kuwa Fact na ikachukuliwa Kama ukweli ni masimulizi ya kile alichokifanya Muhammad kwani alikuwepo na anasimulia tukio linaloendelea au alilolifanya.

4. Biblia imeandikwa na Wayahudi Kwa kiasi kikubwa na wanasimulia habari zao wenyewe. Lakini Quran imeandikwa na Waarabu Kwa lugha ya kiarabu lakini inasimulia habari za wasiowaarabu. Inasimulia habari za watu wengine ambao hawakuwaona.
Yaani Mimi Mpare wa zama hizi nisimulie mambo ya Wasukuma ya kale ambayo sikuwepo.
Hivi ninyi mtanisikiliza Mimi mpare ninayesimulia habari za kale za wasukuma au mtasikiliza wasukuma wenyewe?

Muhammad muarabu aliyezaliwa Makka na akafia Madina hajawahi kufika Jerusalem, hajui hata Rama, Bethlehemu alipozaliwa Kristo alafu yeye anakuambia alizaliwa kwenye mtende alafu kuna mtu myahudi aliyekuwa rafiki wa Yesu anakuambia Yesu rafiki yake kazaliwa kwenye Hori la ng'ombe. Huyo Rafiki wa Yesu Yohana, ni myahudi mwenzake Yesu, anapajua Bethlehem, anapajua Jerusalem ndani nje. Je utamsikiliza Nani?

Haya Quran na hadithi za kiyahudi Kama anavyosimulia Mtume na maswahaba wake wanakuambia Suleiman alikuwa anafuga Majini. Kumbuka huyo Muhammad anasimulia habari za watu wa taifa jingine ambao wanatofautiana lugha na tamaduni, hajawahi kufika Jerusalem mji WA Daudi na mwanaye Suleiman, hajui kiyahudi, haabudu dini ya Wayahudi anayoabudu Suleiman.
Anakuambia Suleiman alikuwa anafuga majini.
Lakini Suleiman mwenyewe katika hadithi zake au hadithi za mwanaye Yerobohamu hajawahi kusema kitu Kama hicho. Pia utamaduni wao hauruhusu kufuga madudu hayo Majini.
Wewe utamuamini huyo Muhammad au utamuamini Suleiman mwenyewe aliyeandika katika Vitabu vyake vilivyopo katika Biblia?
Jibu utabaki nalo.


5 Mungu wa kwenye Biblia ni Jehova/Yahwe ambaye ni Mungu wa waisrael wanaosimuliwa ndani ya kitabu hicho. Lakini Quran mungu wake ni Allah mungu wa waarabu wa kabila la wakurdi wa zamani lakini chaajabu huyo Allah ati huyo Allah kunasehemu anamuagiza kina Musa (myahudi na Dini yake uyahudi) wakati kimsingi Musa Mungu wake ni Yahweh mpaka anakufa.
Hata hivi leo Mungu WA Wayahudi hajabadilika ni Yahwe na mpaka hivi Mungu WA waarabu hajabadilika ni yuleyule Allah.
Lakini Quran inapotosha kuwa Mungu anayewaagiza Wayahudi ni Allah hii ni kutokana muandishi wa Quran alikuwa muarabu

Wahusika kuanzia Kwa Yakobo mpaka Kwa Yesu ni Wayahudi na Dini Yao ni uyahudi na Mungu wao ni Yahweh.
Lakini Quran imepuyanga katika eneo Hilo.

6. Biblia imetangulia miaka mingi kabla ya Quran. Hivyo Kwa kuwahi imeshuhudia na inaweza kusimulia matukio yaliyotokea zamani zaidi kuliko Quran sio ajabu Quran yenyewe ndio ime-copy baadhi ya visa ingawaje inajimilikisha.
Biblia inaweza kujitegemea bila ya uwepo wa Quran kwani yenyewe ndio Baba/chanzo cha Quran. Lakini Quran kama ukitoa visa ilivyovi-copy kutoka kwenye Biblia na maandiko yote ya kiyahudi basi Quran inabaki bila ya nguvu yoyote Ile. Quran ambacho ingefanya ni Kutoa Nondo kuanzia wakati wa Muhammad kuja mbele na sio kurudia hadithi zilizokwisha kuwepo.

Mbona Injili haujarudia visa,

Quran haiwezi kuchukuliwa Kama rejea kuu kuzidi Biblia Kwa sababu nilizozitaja hapo juu.

Majaji mjadili Kwa hoja.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Mhhh

Ila kama ungefahamu kuwa Quran haikuja kuipinga torati wala Injili ila kuzikamilisha nadhani 98% ya andiko hili lisingekuwepo yangebaki maneno
“ Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam”
 
SASA BASI, kama kweli Injili ilitiwa MKONO, naomba mnijibu maswali yafuatayo.

1. Nileteeni Injili ambayo haijatiwa mkono iliyo teremshwa kabla ya Quran.

2. Nileteeni Taurat ambayo haijatiwa mkono iliyo teremshwa kabla ya Quran. Kumbuka mimi sina muda na aya za Quran kwasababu Quran sio BIBLIA - Mkusanyiko wa vitabu. Ipo wapi Taurat iliyo teremshwa kabla ya Quran na inayo thibitishwa na Injili?

3. Nileteeni Zaburi ambayo haijatiwa mkono iliyo teremshwa kabla ya Quran. Kumbuka mimi sina muda na aya za Quran kwasababu Quran sio BIBLIA - Mkusanyiko wa vitabu. Ipo wapi Zaburi iliyo teremshwa kabla ya Quran na inayo thibitishwa na Injili?
😂😂😂Defensive mechanism cha kwanza we hujui chochote upo tu..ukienda kweny forex utakuta kitabu kinaitwa candle bible...turejee kweny maana ya biblia na je biblia ilishushwa au aliandika na Paulo na watu wa Italy.


Bible ni mkusanyiko means vitabu vilikusanywa na sio sehemu ya kitabu cha mungu ila walikusanya vitabu kwa kubadilisha kwa maana iyo hata mimi naweza kukusanya vitabu vya chemistry ,physics na biology kikawa kitabu kimoja nikaita "science bible

Hatubishani wala hatueleti maongezi mengi maana Aya za qur an huzitaki basi tutumie common sense na upeo wa akili.

Mimi nakuambia bible sio kitabu cha mungu kwa asilimia 100 kabisa ..

Ntakuonyesha series ya vitabu kama vitabu kama torat ,zabur ,injili na qur an .hivyo ni vitabu vya mwenyewe mungu.

Ndo maana qur an imekuja kusadifu yaliyopita ..je izo habari za huko nyuma walijuaje kupitia bible kama mtoa mada anavyosema kwamba walikuwepo wakati yanatendeka 😂😂😂hao mitume zama zao zilipita kwa kipind fulani ambacho ni ngumu kwa mtu kuona mitume yote katika zama zote tangu Adam.


Vitabu vimeshushwa kuleta muendeleo ndo maana Kuna mitume mingi walishushwa kutokana na zama ...

Ntakupa baadhi ya hints biblia imeandikwa kupotosha sio kitabu cha mungu ..ndani ya biblia hakuna neno ukristo ni dini, hakuna sehemu kwamba yesu ni mungu ,Kuna sehemu mungu kaitwa mpumbavu
 
QURAN 10: 37-44

37. "Na haiwezekani Qur'ani hii kuwa imetungwa na haitoki kwa Mwenyezi Mungu. Lakini hii inathibitisha (vitabu) vilivyotangulia; na ni mfafanuo wa Kitabu kisicho na shaka ndani yake, kutoka kwa Mola Mlezi wa viumbe vyote.

38. Je! Ndiyo wanasema ameizua? Sema: Hebu leteni na nyie japo sura moja mfano wake na muwaite (kukusaidieni) muwawezao, asiye kuwa Mwenyezi Mungu, ikiwa nyinyi mnasema kweli(kwamba Muhammad kaizua hii Quran).

39. Bali wameyakanusha wasio yaelewa elimu yake kabla hayajawajia maelezo yake. Kadhalika walio kabla yao walikanusha vile vile. Basi angalia jinsi ulivyo kuwa mwisho wa madhaalimu hao.

40. Na miongoni mwao wapo wanao iamini, na miongoni mwao wapo wasio iamini. Na Mola wako Mlezi anawajua vyema mafisadi.

41. Na wakikukanusha wewe, sema: Mimi nina matendo yangu, na nyinyi mna matendo yenu. Nyinyi hamna jukumu kwa niyatendayo, wala mimi sina jukumu kwa myatendayo.

42. Na wapo miongoni mwao wanao kusikiliza. Je, wewe unaweza kuwafanya viziwi wasikie ijapo kuwa hawafahamu?

43. Na wapo miongoni mwao wanao kutazama. Je, wewe utawaongoa vipofu ingawa hawaoni?
44. Hakika Mwenyezi Mungu hawadhulumu watu kitu chochote; lakini watu wenyewe wanajidhulumu nafsi zao."
Mleta mada ndugu Robert angekutana na maandiko haya kabla 98% ya maandiko yake hapa yasingekuwa na maana.
 
QURAN 10: 37-44

37. "Na haiwezekani Qur'ani hii kuwa imetungwa na haitoki kwa Mwenyezi Mungu. Lakini hii inathibitisha (vitabu) vilivyotangulia; na ni mfafanuo wa Kitabu kisicho na shaka ndani yake, kutoka kwa Mola Mlezi wa viumbe vyote.

38. Je! Ndiyo wanasema ameizua? Sema: Hebu leteni na nyie japo sura moja mfano wake na muwaite (kukusaidieni) muwawezao, asiye kuwa Mwenyezi Mungu, ikiwa nyinyi mnasema kweli(kwamba Muhammad kaizua hii Quran).

39. Bali wameyakanusha wasio yaelewa elimu yake kabla hayajawajia maelezo yake. Kadhalika walio kabla yao walikanusha vile vile. Basi angalia jinsi ulivyo kuwa mwisho wa madhaalimu hao.

40. Na miongoni mwao wapo wanao iamini, na miongoni mwao wapo wasio iamini. Na Mola wako Mlezi anawajua vyema mafisadi.

41. Na wakikukanusha wewe, sema: Mimi nina matendo yangu, na nyinyi mna matendo yenu. Nyinyi hamna jukumu kwa niyatendayo, wala mimi sina jukumu kwa myatendayo.

42. Na wapo miongoni mwao wanao kusikiliza. Je, wewe unaweza kuwafanya viziwi wasikie ijapo kuwa hawafahamu?

43. Na wapo miongoni mwao wanao kutazama. Je, wewe utawaongoa vipofu ingawa hawaoni?
44. Hakika Mwenyezi Mungu hawadhulumu watu kitu chochote; lakini watu wenyewe wanajidhulumu nafsi zao."
Swadaqta!!
 
Mume Muhammad alikuwa ni mtu mwerevu sana .

mwenye kumbukumbu nzuri na uwezo wa kusimulia hadithi alizozijua kutokana na kusafiri safiri kwake miji tofauti kibiashara.

Akiwa safarini Alisikia hadithi nyingi za dini zilizokuwepo kipindi hiko kutoka kwa Mayahudi (walioishi Arabuni wakati huo) na za Kikristo (kutoka kwa safari zake za kwenda Syria ki biashara) na akaunganisha hadithi alizozisikia kutoka kwenye dini tofauti hadi kwenye dini mpya aliyoianzisha ya kiislamu yenye hoja ya Mungu mmoja na yeye mwenyewe kama Mtume. ( ni kama story za utani za kumsema nyerere enzi zile akiona kitu kwenye tv anakuja kusema ameoteshwa kwamba marekani kimetokea hiki.. sababu watu wengine hawana tv wanaamini kaoteshwa kweli)

Alifanikiwa kuitumia dini hii mpya kufikia malengo mawili, moja la muda mfupi na moja la muda mrefu.

Malengo yake ya muda mfupi yalikuwa ni ya kumfanya yeye kuwa Chief Man in Arabia jambo ambalo alifanikiwa kulipata hadi wakati wa kifo chake na, baada ya kifo chake, warithi wake walifanikiwa kufikia
lengo lake la muda mrefu la kuwafanya waarabu waitawale dunia kwa kutumia advantage waliyonayo ya uislam na lugha ya kiarabu isambae dunia nzima na waarabu wawe watu muhimu kwenye jukwaa la kimataifa

Ukisoma vizuri quran story zilizopo kwenye quran zinazungumzia mazingira ambayo mohammad aliyajua tu ( kwa kufika ama kusikia story zake). Mazingira ya mbali hayapo kwenye quran Maana alikuwa hajawai kufika na hakuwai sikia story zake.. maana ni mbali na uarabuni

Mfano matunda yaliyotajwa , wanyama waliotajwa kwenye quran, ndege waliotajwa kwenye quran, vyakula na mengineyo ni vya mazingira midle east tu ambayo mohammad aliyaona ama aliyasikia kwa watu jiran zake

The Qur’an really speaks only of the animals found in the Arabian lands (midle east) , and only the plants and fruits that grow in that geography.”

Also Foods known in the ( midle east) Arabian lands such as figs, grapes, pomegranates, dates, olives, honey, onions, garlic, gherkin, etc. have also been used in various Qur’anic verses and examples for various topics…

Jiulize Why do animal, and fruit names not belonging to the arab land doesn’t indicated in the Qur’an?

Utapata jibu Prophet wrote these names which he saw in places he went and he heard story from other merchants .

Inshort prophet Mohammad had a dream

Nothing was going to stop him from making that dream come true…

He came up with Islam to gain political power and to unite his people under the rule of one goverment
Dohh msiba huu Qurani tukufu ni kitabu kisichokuwa na shaka ndani yake ..kabla sijaenda mbali nitafutie mstari ndani ya biblia version zote zinazosema kuwa ukristo ni dini?
 
Biblia ipi unaizungumzia? Kuna ya wakatoliki, waorthodox, waprotestant n.k.
Humo pia kuna matoleo tofauti kuna King James Version, New King James Version, New International Version.
Kila siku wanafanya 'updated'. Pia kuna New Revised Standard Version cha 2021.
Kwa mtu mwenye akili ndogo atasema zipo sawa, ila kuna baadhi aya zimefutwa na nyingine zimebadilishwa kabisa.

Biblia haijaandikwa na mtu mmoja ama jamii moja.. ni collection of books kutoka kwa watu tofauti tofauti.

Biblia imeunganishwa vitabu vya waandishi wengi kwa zaidi ya miaka 1600
 
Unaandika meengii halafu ni uharo tu,hata Musa kaandika kitabu kwa mkono wake(kwa mujibu wako,sababu kwenye bible haionekani hivyo)..yesu kaandika kitabu gani kwa mkono wake!?

Zaidi ya vitabu vingi vya Imani ya kikristo kuandika na Paulo ambaye hakuwa na time na yesu alipokua hai!?

Hujui chochote kuhusu Qur'an...unasema vitabu vyote kwenye Qur'an kashushiwa Muhammad peka yake, Qur'an ni kitabu kimoja hivyo vingi umevitoa wapi!?

Ibrahim alikua dini gani!?..maana najua alikua muhamiaji pale yerusalem, alikua mwarabu wa iraq!?

Neno eloi Kama mtamkavyo kwa lugha ya yesu ni ilahi Ina maana ya mungu wangu ambapo kwa kiarabu ni illahiy
Wapi kasema yesu kaandika kitabu kwa makini wake?
 
Back
Top Bottom