Kama bado unafanya acha kuanzia leo........na uache kwel.

erickmalz

Senior Member
May 27, 2011
145
11
khabari za sasa wana jamii wa jukwaa hili. Kuna swala nmelifkiria kwa muda sana inabidi niwashilikishe tu. Ilianze kipindi kile cha xtream ya tigo(unlimited msgs),ikifika tym ya kulala msg ztaanza, mara 'umevaaje leo','mimi nmelala hv','ningekuwa hapo ningefanya hv'.......mara wanaanza fanya mapnz kwa kuimagn(via sms), mwsho wa siku...masterbratn 4 boyz(hp na galz mnaishia huko huko).............. KAMA UPO KWENYE KUNDI LA HAWA JAMAA,ACHA KUANZIA LEO COZ NI ZAIDI YA UJINGA.
 
khabari za sasa wana jamii wa jukwaa hili. Kuna swala nmelifkiria kwa muda sana inabidi niwashilikishe tu. Ilianze kipindi kile cha xtream ya tigo(unlimited msgs),ikifika tym ya kulala msg ztaanza, mara 'umevaaje leo','mimi nmelala hv','ningekuwa hapo ningefanya hv'.......mara wanaanza fanya mapnz kwa kuimagn(via sms), mwsho wa siku...masterbratn 4 boyz(hp na galz mnaishia huko huko).............. KAMA UPO KWENYE KUNDI LA HAWA JAMAA,ACHA KUANZIA LEO COZ NI ZAIDI YA UJINGA.
<br />
<br />
maisha ya umiseta hayo
 
Jamani kama kuna wahanga wakubwa wa hii kitu, basi ni wanafunzi! Nawaonea huruma, hii kitu haifai aisee!
 
khabari za sasa wana jamii wa jukwaa hili. Kuna swala nmelifkiria kwa muda sana inabidi niwashilikishe tu. Ilianze kipindi kile cha xtream ya tigo(unlimited msgs),ikifika tym ya kulala msg ztaanza, mara 'umevaaje leo','mimi nmelala hv','ningekuwa hapo ningefanya hv'.......mara wanaanza fanya mapnz kwa kuimagn(via sms), mwsho wa siku...masterbratn 4 boyz(hp na galz mnaishia huko huko).............. KAMA UPO KWENYE KUNDI LA HAWA JAMAA,ACHA KUANZIA LEO COZ NI ZAIDI YA UJINGA.
Kwa jinsi ulivyoelezea inaonesha nawe ni mmoja wao au umeacha hivi karibuni,welcome to the real world.
 
khabari za sasa wana jamii wa jukwaa hili. Kuna swala nmelifkiria kwa muda sana inabidi niwashilikishe tu. Ilianze kipindi kile cha xtream ya tigo(unlimited msgs),ikifika tym ya kulala msg ztaanza, mara 'umevaaje leo','mimi nmelala hv','ningekuwa hapo ningefanya hv'.......mara wanaanza fanya mapnz kwa kuimagn(via sms), mwsho wa siku...masterbratn 4 boyz(hp na galz mnaishia huko huko).............. KAMA UPO KWENYE KUNDI LA HAWA JAMAA,ACHA KUANZIA LEO COZ NI ZAIDI YA UJINGA.
N'takushtaki kwa FF!!
 
Kwa jinsi ulivyoelezea inaonesha nawe ni mmoja wao au umeacha hivi karibuni,welcome to the real world.
<br />
<br />
Ukitaka kumshuri mlivi aache pombe jifanye na wewe ni mlevi. Wanasema ushaur hufana sana pale mshaur anapofaa uusika wa mshauliwa.
 
Back
Top Bottom