Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,013
- 144,371
Kwanza nitamke wazi kuwa hii kauli huwa siipendi kabisa na hata pale inapotolewa na wapinzani ambao sometimes huingia katika mtego wa kutumia hii kauli hasa wanapochangia mijadala pale mjengoni.
Sasa kwa haya yanayoendelea hasa hili la kutoka mjengoni muda huu kumuhusu kamanda,endeleeni kuamini kuwa anashauriwa vibaya ila mjue tu ni akili zenu ndio zinawashauri vibaya.
Sasa kwa haya yanayoendelea hasa hili la kutoka mjengoni muda huu kumuhusu kamanda,endeleeni kuamini kuwa anashauriwa vibaya ila mjue tu ni akili zenu ndio zinawashauri vibaya.