TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,534
Habari wadau..!
Huu ni ukweli mtupu wengi watabisha najua.Epuka kuishi maeneo tajwa hapo.
Facts
1.Michongo mingi ipo Ilala,Kino kidogo sana Ubungo.
2.Hizi wilaya kuna uswahili sana mambo ya ajabu ajabu ,mixer ushirikina kulogana ili mtoto wa fulani asitoboe
3.Wizi wa kurudishana nyuma kimaendeleo n.k.
4.Temeke na Kigamboni mzunguko wa biashara upo chini sana nz wanao ishi wengi ni low income.
Ila km unataka kuja Dar na hauna pakufikia nenda kafikie Temeke- Mbagala utanikumbuka
Tujadili.
😂😂😂😂
Huu ni ukweli mtupu wengi watabisha najua.Epuka kuishi maeneo tajwa hapo.
Facts
1.Michongo mingi ipo Ilala,Kino kidogo sana Ubungo.
2.Hizi wilaya kuna uswahili sana mambo ya ajabu ajabu ,mixer ushirikina kulogana ili mtoto wa fulani asitoboe
3.Wizi wa kurudishana nyuma kimaendeleo n.k.
4.Temeke na Kigamboni mzunguko wa biashara upo chini sana nz wanao ishi wengi ni low income.
Ila km unataka kuja Dar na hauna pakufikia nenda kafikie Temeke- Mbagala utanikumbuka
Tujadili.
😂😂😂😂