jailos mrisho
JF-Expert Member
- Aug 22, 2012
- 647
- 1,360
Acha ulevi bwana mdogo! Mbona akili iko finyu ! Kwan kupata chakula ndo kipimo cha uvivu! Huelewi nilichoandika endelea kula magimbi tu mana huna bongowe kuna mtu unamlisha, unazungumziaje uvivu wa watu usiowafahamu, we una kt gani cha maana. Magufuli alikuwa mbaguzi hata dunia inafahamu. Amegawa nchi labda km haujui TUNU za taifa hili. Waasisi wa Taifa hili walipata kazi ngumu sana kuiunganisha hii nchi, leo atokee mlevi flani kuigawa? Acheni Mungu aitwe Mungu