kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 8,839
- 17,437
Ndugu zangu hebu tuache ushabiki wa kivyama kidogo, tuweke siasa pembeni. Kiukweli nchi ilikua inakwenda kuzama
Awamu ya tano ilikua inaenda kulipeleka hili taifa kwenye ukabila na ubaguzi na giza nene.
Hebu imagine mtu mmoja tu anateua watu wake wa kijijini tu.
Imagine Kila project inaenda kijijini Chato.
Imagine kila kizuri ni chato.
Keki yote ya taifa ilienda Chato huku mikoa mingine ikikodoa macho keki wakifaidi wachache tu.
Lile genge likawa na nguvu magenge ya kikabila yalianza kuinuka na slogan ya kuanzisha kikundi cha genge lile kikabila vikipamba moto.
Hii nchi miaka mitano ingekua na wasabaya wengi nchi ingegeuka Jehanam yaani nchi ingekua ni ya kinazi.
Kiliibuka walojiona wao ndo bora huku wakitaka wengine wapone,,,,,Genge la mwendazake walijiona miungu watu....ilikua kumkosoa mwendazake tu unatishiwa hadi na wanakijiji au watu wa jamii ya bwana yule wanakujia inbox na vitisho kibao nchi ilikua inaelekea pabaya sana.
Baada ya miaka 5 mingine kungekua na ubaguzi mbaya sana, udikteta wa kutisha na kiza kinene lakini mungu ni fundi aisee.
Nakumbuka jinsi hali ilivyokua inaenda nikikumbukaga zama za bwana yule still napataga mshtuko na kujikuta naongea mwenyewe kwamba mungu aepushie mbali.
Yote yanayoendelea sasa hivi hata haya matozo na kunyanyasa kina mbowe ni matunda aliyopanda mwendazake ameacha mbegu ambayo imeshamea mama anajaribu kukata lakini bado ndo maana kuna wakati simlaumu Samia nalaumu mbegu alopanda mwendazake, na itachukua hata miaka 10 kuondoa masalia na effect za huyo mtu,
Ndo maana kuna wakati huwa simlaumu Samia kabisa mfano hii ishu ya mbowe yote haya alituletea yule mwendazake
Kuna wakati hadi huwa nashtuka kiasi kwamba hadi watu walio karibu nami huniuliza kulikoni mbona nashtuka shtuka kila saa aisee mungu apishe mbali,Doooh siwezi kumsamehe yule jamaa hapana kwakweli, ile awamu big No!
Awamu ya tano ilikua inaenda kulipeleka hili taifa kwenye ukabila na ubaguzi na giza nene.
Hebu imagine mtu mmoja tu anateua watu wake wa kijijini tu.
Imagine Kila project inaenda kijijini Chato.
Imagine kila kizuri ni chato.
Keki yote ya taifa ilienda Chato huku mikoa mingine ikikodoa macho keki wakifaidi wachache tu.
Lile genge likawa na nguvu magenge ya kikabila yalianza kuinuka na slogan ya kuanzisha kikundi cha genge lile kikabila vikipamba moto.
Hii nchi miaka mitano ingekua na wasabaya wengi nchi ingegeuka Jehanam yaani nchi ingekua ni ya kinazi.
Kiliibuka walojiona wao ndo bora huku wakitaka wengine wapone,,,,,Genge la mwendazake walijiona miungu watu....ilikua kumkosoa mwendazake tu unatishiwa hadi na wanakijiji au watu wa jamii ya bwana yule wanakujia inbox na vitisho kibao nchi ilikua inaelekea pabaya sana.
Baada ya miaka 5 mingine kungekua na ubaguzi mbaya sana, udikteta wa kutisha na kiza kinene lakini mungu ni fundi aisee.
Nakumbuka jinsi hali ilivyokua inaenda nikikumbukaga zama za bwana yule still napataga mshtuko na kujikuta naongea mwenyewe kwamba mungu aepushie mbali.
Yote yanayoendelea sasa hivi hata haya matozo na kunyanyasa kina mbowe ni matunda aliyopanda mwendazake ameacha mbegu ambayo imeshamea mama anajaribu kukata lakini bado ndo maana kuna wakati simlaumu Samia nalaumu mbegu alopanda mwendazake, na itachukua hata miaka 10 kuondoa masalia na effect za huyo mtu,
Ndo maana kuna wakati huwa simlaumu Samia kabisa mfano hii ishu ya mbowe yote haya alituletea yule mwendazake
Kuna wakati hadi huwa nashtuka kiasi kwamba hadi watu walio karibu nami huniuliza kulikoni mbona nashtuka shtuka kila saa aisee mungu apishe mbali,Doooh siwezi kumsamehe yule jamaa hapana kwakweli, ile awamu big No!