Noel wa ruben
JF-Expert Member
- Oct 11, 2020
- 364
- 509
Siafini t3 kwa mwaka huo ni uhujumu uchumuMabeberu yanazingatia mambo makubwa matatu,
1. Utawala wa Sheria jambo ambalo Rais Samia kaliweka vizuri,
2.Political Stability hili dunia inajua Tanzania ni nchi ya kidemokrasia ndio maana kule Konde ACT ikashinda mabeberu wanataka hayo,
3. Wanataka kuweko na Sera tabirika za Uchumi Rais Samia amefanya hili,
4. Wanataka Usalama wakutosha kwa wao na mali zao hili halina Shaka Tanzania,
#Awamu hii mama anamaliza mchezo,