Kama atafanikiwa kwenye hili basi atakuwa ndio Rais bora katika historia ya Tanzania na huenda akakumbukwa kwa vizazi hata vizazi

Mabeberu yanazingatia mambo makubwa matatu,

1. Utawala wa Sheria jambo ambalo Rais Samia kaliweka vizuri,

2.Political Stability hili dunia inajua Tanzania ni nchi ya kidemokrasia ndio maana kule Konde ACT ikashinda mabeberu wanataka hayo,

3. Wanataka kuweko na Sera tabirika za Uchumi Rais Samia amefanya hili,

4. Wanataka Usalama wakutosha kwa wao na mali zao hili halina Shaka Tanzania,

#Awamu hii mama anamaliza mchezo,
Siafini t3 kwa mwaka huo ni uhujumu uchumu
 
-Wafanye Marekebisho ya katiba kama hawataki katiba mpya kwa kufanya yafuatayo:-
Kwanza Mimi nataka Kinga ya viongozi wakuu iondolewe ndani yakatiba ili wakiburunga kwa makusudi waweze kushitakiwa katika mahakama zetu kwa kuikose nchi au wizi au kuikosesha nchi mapato kwa makusudi , nk

-Pili Mahakama iwe huru.

-Tatu Tume za Uchaguzi ziwe huru.

-Zanzibar Iwe na Uchumi wake peke yake kama Nchi nyingine, Muungano ubakie kwenye Siasa na Ulinzi tuu.

-Maisha yaendelee.

-Magereza yaondolewe mjini ,yapelekwe kwenye maeneo ya kilimo na Migodi ,ili wafungwa watumike kuzalisha mali na ujenzi wa nchi, badala ya kuwaweka ndani na kula kulala tuu na Kufirana.Aidha Wafungwa waruhusiwe kutembelewa na wake zao na wapewe Faragha kwa kila mwezi mara moja, ili kuondoa Uchafu wa Sodomy magerezani.

-Magereza yageuzwe kuwa Viwanda na Vituo vya elimu a ufundi, na sehemu za ubunifu badala ya kuwa maeneo ya adhabu. na mateso.
Umeandika ndio
 
Tanzania na Samia,

1.Uchumi Juu,

2. Uwekezaji juu

3. Diplomasia juu

4. Amani & Upendo juu

5. Maendeleo juu

6. Demokrasia juu
 
-Wafanye Marekebisho ya katiba kama hawataki katiba mpya kwa kufanya yafuatayo:-
Kwanza Mimi nataka Kinga ya viongozi wakuu iondolewe ndani yakatiba ili wakiburunga kwa makusudi waweze kushitakiwa katika mahakama zetu kwa kuikose nchi au wizi au kuikosesha nchi mapato kwa makusudi , nk

-Pili Mahakama iwe huru.

-Tatu Tume za Uchaguzi ziwe huru.

-Zanzibar Iwe na Uchumi wake peke yake kama Nchi nyingine, Muungano ubakie kwenye Siasa na Ulinzi tuu.

-Maisha yaendelee.

-Magereza yaondolewe mjini ,yapelekwe kwenye maeneo ya kilimo na Migodi ,ili wafungwa watumike kuzalisha mali na ujenzi wa nchi, badala ya kuwaweka ndani na kula kulala tuu na Kufirana.Aidha Wafungwa waruhusiwe kutembelewa na wake zao na wapewe Faragha kwa kila mwezi mara moja, ili kuondoa Uchafu wa Sodomy magerezani.

-Magereza yageuzwe kuwa Viwanda na Vituo vya elimu a ufundi, na sehemu za ubunifu badala ya kuwa maeneo ya adhabu. na mateso.
Kazii Inafanyika na Mama
 
Mabeberu yanazingatia mambo makubwa matatu,

1. Utawala wa Sheria jambo ambalo Rais Samia kaliweka vizuri,

2.Political Stability hili dunia inajua Tanzania ni nchi ya kidemokrasia ndio maana kule Konde ACT ikashinda mabeberu wanataka hayo,

3. Wanataka kuweko na Sera tabirika za Uchumi Rais Samia amefanya hili,

4. Wanataka Usalama wakutosha kwa wao na mali zao hili halina Shaka Tanzania,

#Awamu hii mama anamaliza mchezo,
Daaah u. umeongea kizalendo sana aise
 
Still hii nchi itabski kuwa maskini

Kuna watu wamejihakikishia 10% zao hadi vizazi vyao vya 7 hapo kwenye rasilimali muhimu ya Taifa
 
UTANGULIZI:

Nimiaka zaidi ya arobaini (40) sasa tangu kugunduliwa kwa uwepo wa gesi Asilia huko Likong'o-Mchinga Lindi Pembezoni mwa bahari ya Hindi yenye futi za ujazo trilioni 57.7,Gesi hii baada ya kuchimbwa na kupoozwa kwa nyuzi Joto -260`F au -162'C nakuwa gasi miminika ndio inaitwa kitaalamu Liquefied Natural Gas (LNG) au inaweza kugandamizwa kwa Pressure kali ya 3'600 na kuitwa compressed Natural Gas (CNG) na hii ni baada ya kuondoa H20,CO2,SO2 na O2 hivyo kubaki gesi Safi ambayo inatumika kutoa Joto,kupoza vyakula,kuendesha magari, et El,

Tangu mwishoni mwa awamu ya nne Makampuni makubwa ya BG (Shell)
ya Uingereza na Uholanzi, ExxonMobil ya Marekani,Ophir ya Uingereza, Pavilion ya Singapore,Medco Energi ya Indonesia; na StatOil (Equinox) ya Norway yanaendelea na sitaki nataka ili kuwekeza karibu Tshs 70trilioni au $30bl huko Likong'o Mchinga -Lindi, Mradi huu utatoa ajira za moja kwa moja zaidi ya elfu 15 na ajira ya muda elfu 5 na kuzalisha jumla ya tani 10M za LNG kwa mwaka, utaifanya Tanzania kuwa mzalishaji wa nne Africa wa Gesi asilia na kuingizia nchi fedha za kigeni zaidi ya $5.5BL au Tshs 13trilion kwa mwaka kwa kuuza hiyo tani 10 kwa bei ya $11 kwa mmbtu, Pesa hii ni sawa na 100% ya bajeti nzima ya "Maendeleo" ya nchi kwa mwaka mmoja wa Fedha.

Kwa msiofahamu,Mradi huu wa Likong'o-Mchinga Lindi ni miongoni mwamiradi mikubwa mitano Africa ikiwemo ule wa Rovuma-Mozambique wa $30BL wenye 85tct utakaomalizika 2025,Mozambique LNG wa $20BL wenye 75tct utakaomalizika 2024,Ogidigiben wa $20BL wa Serikali ya Nigeria wenye 18tct na Zabazaba wenye 93.8tct mali ya Shell Nigeria, Hapa unaweza kuona ushindani ulivyomkubwa na wenzetu wanazo deposit kubwa kuliko sisi na baadhi yao wamekubali kuwa na Visima ndani ya maji (floating plant) ambavyo vinapunguza gharama kwa 35% ndio maana Mozambique LNG inajengwa kwa $20BL japo mfumo huu kuibiwa ni lazima,Sisi tutajenga mashine km 120 toka baharini ili kuilinda hii mali tuliyopewa na Mungu Serikali yenu ni makini sana "Kawia ufike "

Kama Rais Samia Suluhu Hassan atafanikiwa kuwashawishi hawa matajiri na kwa hulka yake tunaamini atafanikiwa na tunamwombea,Lakini pia bei ya LNG imepanda duniani na inatarajiwa kupanda zaidi na kufikia $40/mmbtu hapo baadae toka $2/mmbtu (Nchi kama Marekani peke yake inahitaji 3.6tct kwa mwaka) lakini pia kwa kuzingatia Amani na Umoja uliopo Tanzania, Viwango vidogo vya kodi pamoja na Sera zinazotabirika za Fedha na Uchumi awamu hii lazima HGA ifikie mwisho ili tuendelee na Pre-FEED ili ifikapo mwaka 2028 kabla Rais Samia hajaondoka Madarakani atukabidhi zawadi hii ya kihistoria tangu nchi hii kuumbwa huku Watangulizi wake wote wakiambulia patupu,

Uzoefu unaonesha maeneo mengi PSAs zilipitishwa kwa Serikali kupewa 20% ya shares zote kama hili litafanyika kwetu pia basi Tanzania itapokea wastani wa Tshs 3T kama mrabaha kwa kila mwaka kwa miaka yote ya mradi,Pesa hii inaweza kujenga SGR toka Isaka -Mwanza Km 341,Lakini pia kama 10% tu ya gasi yote ikibakishwa nchi kwaajili ya matumizi ya ndani kama maombi ya Serikali yalivyo hapa tutakuwa na ziada ya karibu tani 800K za gesi kwa mwaka kwani mahitaji yetu ya gesi bado ni chini ya Tani 200K hapa tujiandae kununua Kg 30 za gesi kwa buku ten tu na ndio maana nasema hapa Rais Samia atakumbukwa vizazi na vizazi tuendeleze dua na maombi ili kumtia nguvu,"mwenye masikio na asikie sasa ule mfupa uliowashinda wengine unatafunwa kama muhogo "
View attachment 1989249VIVA SAMIA VIVA || VIVA MAKAMBA VIVA
Anaitwa mama, rais wa JMT, amir jeshi mkuu, kipenzi cha watu, Tanzanite lady, mkombozi wa watanzania
 
Tanzania kwa miaka yake yote 60 haijawahi kupata Rais Mwanamke ,

1.Mchapakazi

2. Mchamungu,

3. Mpole

4. Mwadilifu,

5. Mpendahaki,

#HAKIKA HAKUNA KAMA SAMIA
 
Mabeberu yanazingatia mambo makubwa matatu,

1. Utawala wa Sheria jambo ambalo Rais Samia kaliweka vizuri,

2.Political Stability hili dunia inajua Tanzania ni nchi ya kidemokrasia ndio maana kule Konde ACT ikashinda mabeberu wanataka hayo,

3. Wanataka kuweko na Sera tabirika za Uchumi Rais Samia amefanya hili,

4. Wanataka Usalama wakutosha kwa wao na mali zao hili halina Shaka Tanzania,

#Awamu hii mama anamaliza mchezo,
expand...
#nakupenda Tanzania

Quote Reply
Report Edit Delete
 
Hii story angepewa mtu kama Pascal Mayalla ingenoga sana, wewe haujui kuandika.
 
Mabeberu yanazingatia mambo makubwa matatu,

1. Utawala wa Sheria jambo ambalo Rais Samia kaliweka vizuri,

2.Political Stability hili dunia inajua Tanzania ni nchi ya kidemokrasia ndio maana kule Konde ACT ikashinda mabeberu wanataka hayo,

3. Wanataka kuweko na Sera tabirika za Uchumi Rais Samia amefanya hili,

4. Wanataka Usalama wakutosha kwa wao na mali zao hili halina Shaka Tanzania,

#Awamu hii mama anamaliza mchezo,
 
UTANGULIZI:

Nimiaka zaidi ya arobaini (40) sasa tangu kugunduliwa kwa uwepo wa gesi Asilia huko Likong'o-Mchinga Lindi Pembezoni mwa bahari ya Hindi yenye futi za ujazo trilioni 57.7,

Gesi hii baada ya kuchimbwa na kupoozwa kwa nyuzi Joto -260`F au -162'C nakuwa gasi miminika ndio inaitwa kitaalamu Liquefied Natural Gas (LNG) au inaweza kugandamizwa kwa Pressure kali ya 3'600 na kuitwa compressed Natural Gas (CNG) na hii ni baada ya kuondoa H20,CO2,SO2 na O2 hivyo kubaki gesi Safi ambayo inatumika kutoa Joto,kupoza vyakula,kuendesha magari, et El,

Tangu mwishoni mwa awamu ya nne Makampuni makubwa ya BG (Shell)ya Uingereza na Uholanzi, ExxonMobil ya Marekani,Ophir ya Uingereza, Pavilion ya Singapore,Medco Energi ya Indonesia; na StatOil (Equinox) ya Norway wanaendelea sitaki nataka ili kuwekeza karibu Tshs 70trilioni au $30bl huko Likong'o Mchinga -Lindi,

Mradi huu utatoa ajira za moja kwa moja zaidi ya elfu 15 na ajira ya muda elfu 5 na kuzalisha jumla ya tani 10M za LNG kwa mwaka, utaifanya Tanzania kuwa mzalishaji wa nne Africa wa Gesi asilia na kuingizia nchi fedha za kigeni zaidi ya $5.5BL au Tshs 13trilion kwa mwaka kwa kuuza hiyo tani 10 kwa bei ya $11 kwa mmbtu, Pesa hii ni sawa na 100% ya bajeti nzima ya "Maendeleo" ya nchi kwa mwaka mmoja wa Fedha.

Kwa msiofahamu,Mradi huu wa Likong'o-Mchinga Lindi ni miongoni mwamiradi mikubwa mitano Africa ikiwemo ule wa Rovuma-Mozambique wa $30BL wenye 85tct utakaomalizika 2025,Mozambique LNG wa $20BL wenye 75tct utakaomalizika 2024,Ogidigiben wa $20BL wa Serikali ya Nigeria wenye 18tct na Zabazaba wenye 93.8tct mali ya Shell Nigeria,

Hapa unaweza kuona ushindani ulivyomkubwa na wenzetu wanazo deposit kubwa kuliko sisi na baadhi yao wamekubali kuwa na Visima ndani ya maji (floating plant) ambavyo vinapunguza gharama kwa 35% ndio maana Mozambique LNG inajengwa kwa $20BL,

Pamoja na kwamba mfumo huu kuibiwa ni lazima,Sisi tutajenga mashine km 120 toka baharini ili kuilinda hii mali tuliyopewa na Mungu Serikali yenu ni makini sana "Kawia ufike "

Kama Rais Samia Suluhu Hassan atafanikiwa kuwashawishi hawa matajiri na kwa hulka yake tunaamini atafanikiwa na tunamwombea,Lakini pia bei ya LNG imepanda duniani na inatarajiwa kupanda zaidi na kufikia $40/mmbtu hapo baadae toka $2/mmbtu (Nchi kama Marekani peke yake inahitaji 3.6tct kwa mwaka) lakini pia kwa kuzingatia Amani na Umoja uliopo Tanzania,

Kwaviwango vidogo vya kodi pamoja na Sera zinazotabirika za Fedha na Uchumi awamu hii lazima HGA ifikie mwisho ili tuendelee na Pre-FEED ili ifikapo mwaka 2028 kabla Rais Samia hajaondoka Madarakani atukabidhi zawadi hii ya kihistoria tangu nchi hii kuumbwa huku Watangulizi wake wote wakiambulia patupu,

Uzoefu unaonesha maeneo mengi PSAs zilipitishwa kwa Serikali kupewa 20% ya shares zote kama hili litafanyika kwetu pia basi Tanzania itapokea wastani wa Tshs 3T kama mrabaha kwa kila mwaka kwa miaka yote ya mradi,Pesa hii inaweza kujenga SGR toka Isaka -Mwanza Km 341,

Lakini pia kama 10% tu ya gasi yote ikibakishwa nchi kwaajili ya matumizi ya ndani kama maombi ya Serikali yalivyo hapa tutakuwa na ziada ya karibu tani 800K za gesi kwa mwaka kwani mahitaji yetu ya gesi bado ni chini ya Tani 200K hapa tujiandae kununua Kg 30 za gesi kwa buku ten tu na ndio maana nasema hapa Rais Samia atakumbukwa vizazi na vizazi tuendeleze dua na maombi ili kumtia nguvu,"mwenye masikio na asikie sasa ule mfupa uliowashinda wengine unatafunwa kama muhogo "
View attachment 1989249VIVA SAMIA VIVA || VIVA MAKAMBA VIVA
 
Back
Top Bottom