pumbaUjinga wa siasa na watega masikio kusikia kile wanasiasa, hutegemea kusikia uwongouwongo huku wanasiasa wengi nao wakipenda kusema uwongo
Ikitokea mwanasiasa mkweli hubashiliwa vitu vingi visivyotokana na ukweli wa moyo wake, Kwa hiyo yeyote mkweli ndani ya CCM hastahili kuwa CCM?
Mbona kina apostle Msigwa ni waongo wakubwa wale walimsingizia Katibu mkuu Kinana?
Kina Mbowe, badala ya kusema alikunywa gongo akaanguka na kuvunjika mguu, badala yake akasema katekwa😛, Kwa mtazamo huo, Mbowe na Msigwa hawastahili kuwa Chadema ila CCM??
Jinga kabisa