Nadhani sasa Profesa, itaijua vizuri CCM- hawa wamiliki ndio watoa michango kwa CCM. Huyu mama afahamu kuwa viwanja vya wazi vyote ni vya mafisadi. Je, ana ubavu na kushidana na CCM - ya mafisadi. Je, mashamba, rachi - atasema nini. Nchi imekwisha.
mmh yaani ukiangalia mkwala ambao umepigwa hapo unabaki unafikiri ubavu kama huo anautoa wapi......nakumbuka enzi zile za baba wa taifa ambapo kuna mzungu alisema kuwa serikali yote ya TZ ameiweka mfukoni, hamna haja ya kukumbusha kilichomtokea.....natumaini huyu jamaa pia ataonyeshwa nani yupo juu......