Wakuu leo nimekuja na kibwagizo kipya. Kwanza tunaweza kukiri kuwa katika mambo ambayo ni makosa na ambayo hayawezi kuvumilika hata mbele za mwenyewezi Mungu ni kitendo cha mwanadamu kutoa uhai wa mwanadamu mwingine kwa sababu yoyote ile.
Kisa cha Kaini kumuua Abel ni mfano tosha kwa sisi Wakristo kujifunza jinsi ilivyo laana kubwa kama utafanya kitendo hicho. Kwa mujibu wa Neno la Mungu mwenyewe mtu aliyeua mwanadamu mwenzake hulaaniwa pia yeye na uzao wake hadi kizazi cha nne, pili hata ardhi humlaani na kila anapotia mguu muuaji ardhi inamkimbia. Mtu muuaji hubaki kuishi kama hayawani, digidigi.
Rais Magufuli ndiye alikuwa Amir Jeshi Mkuu wa Tanzania kuanzia 2015 hadi 2020. Ktk kipindi hiki nchi ineingia hofu kutokana na vikosi vinayoonekana kuratibu na kutekeleza mauwaji ya wananchi mbali mbali kwa mtindo unaoonekana ni wa kiufundi na utaalam wa hali ya juu.
Kwa mamlaka aliyo nayo Rais kama mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa Taifa yeye Dr John Pombe Magufuli anawajibu wa kutwambia hiki Kikundi kilichoshindikana ni watu gani? Na je, kama kimemshinda kwa muda woote wa miaka mitano kukiteketeza je bado anasifa ya kuwa rais wetu?
Mtu aliyepewa kwa mamlaka ya kikatiba nyenzo zote za vyombo vya ulinzi kwa uchache tu JWTZ, Polisi, TISS n.k na bado ameshindwa ku-organize na kuleta tija kwenye usalama huyu mtu ni mdhaifu sana.
Na kama atatwambia ni akina nani basi tutampa kura. Huu ndio mtihani wetu kwake na sasa ni kipindi cha kampeni ambapo anakutana na raia moja kwa moja. Tunaomba atwambie.
Wapambe wake msaidieni kutufu ulia nani huyu Mtu/ Watu wasiojulikana?
Kisa cha Kaini kumuua Abel ni mfano tosha kwa sisi Wakristo kujifunza jinsi ilivyo laana kubwa kama utafanya kitendo hicho. Kwa mujibu wa Neno la Mungu mwenyewe mtu aliyeua mwanadamu mwenzake hulaaniwa pia yeye na uzao wake hadi kizazi cha nne, pili hata ardhi humlaani na kila anapotia mguu muuaji ardhi inamkimbia. Mtu muuaji hubaki kuishi kama hayawani, digidigi.
Rais Magufuli ndiye alikuwa Amir Jeshi Mkuu wa Tanzania kuanzia 2015 hadi 2020. Ktk kipindi hiki nchi ineingia hofu kutokana na vikosi vinayoonekana kuratibu na kutekeleza mauwaji ya wananchi mbali mbali kwa mtindo unaoonekana ni wa kiufundi na utaalam wa hali ya juu.
Kwa mamlaka aliyo nayo Rais kama mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa Taifa yeye Dr John Pombe Magufuli anawajibu wa kutwambia hiki Kikundi kilichoshindikana ni watu gani? Na je, kama kimemshinda kwa muda woote wa miaka mitano kukiteketeza je bado anasifa ya kuwa rais wetu?
Mtu aliyepewa kwa mamlaka ya kikatiba nyenzo zote za vyombo vya ulinzi kwa uchache tu JWTZ, Polisi, TISS n.k na bado ameshindwa ku-organize na kuleta tija kwenye usalama huyu mtu ni mdhaifu sana.
Na kama atatwambia ni akina nani basi tutampa kura. Huu ndio mtihani wetu kwake na sasa ni kipindi cha kampeni ambapo anakutana na raia moja kwa moja. Tunaomba atwambie.
Wapambe wake msaidieni kutufu ulia nani huyu Mtu/ Watu wasiojulikana?