GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,871
Spika wa Bunge, Job Ndugai akizungumza bungeni alipokuwa akiwaonya wabunge kutoleta taarifa za kutambulishwa bungeni waume au wake za watu wakidai ni waume au wake zao, alipokuwa akiongoza kikao cha bunge la bajeti, jijini Dodoma leo. Ndugai amesema amepokea malalamiko kutoka kwa wananchi wakidai waume zao wametambulishwa bungeni kuwa ni waume wa wabunge.
Chanzo: mwananchi_official
Na Wabunge hawa ( wa Kike na wa Kiume ) hawaishii tu Kutenda ( Kufanya ) dhambi hii bali kwa sasa wanalicheza vizuri mno Gitaa la Solo la ' Dally Kimoko ' na hao hao Wake / Waume za Watu ambalo Wanafunzi wa UDOM na CBE walishalizoea tokea Siku nyingi tu.
Chanzo: mwananchi_official
Na Wabunge hawa ( wa Kike na wa Kiume ) hawaishii tu Kutenda ( Kufanya ) dhambi hii bali kwa sasa wanalicheza vizuri mno Gitaa la Solo la ' Dally Kimoko ' na hao hao Wake / Waume za Watu ambalo Wanafunzi wa UDOM na CBE walishalizoea tokea Siku nyingi tu.