Kama Aliens wapo kwenye Galaxy nyingine, wanachokiona duniani ni Dinosaurs

Actually ni ujinga na upunguani kudhani eti sisi ni intelligent race pekee kwenye universe..! Kama solar system yetu pekee ni sawa na punje ya mchanga ivunjwe zaidi ya mara 1000, kwann kusiwezekane kukawa na ET kwenye kona nyengine ya galaxy yetu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nazan kuna Race flan inatuchukulia kama sisi tunavyowachukulia sisimizi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Trust me there is nothing called Aliens is fabricated Agenda to cover up spiritual darkness, do not buy this kind of lie.....
 
Kwamba kama wanaweza kutuona basi wanaona prehistoric times!. Sasa kama wanatuona kwanini usiassume they are more advanced kuweza tumia Warp techonology!?..Hii post yako iko na problem ujue!.
 
Kwamba kama wanaweza kutuona basi wanaona prehistoric times!. Sasa kama wanatuona kwanini usiassume they are more advanced kuweza tumia Warp techonology!?..Hii post yako iko na problem ujue!.
Ndio maana nimesema watakuwa na technology iliyo beyond human comprehension

Au umenisoma juu juu tu
 
Ndio maana nimesema watakuwa na technology iliyo beyond human comprehension

Au umenisoma juu juu tu
Hujanielewa!..
Beyond human comprehension yet you perceive its use around human perceptions!.
Kama wameweza kuvuka 65 light years kuiona dunia basi inakubidi uamini wameweza kutuona sisi na sio Dinos!..
Rudia kusoma Warp Drive Technology!.
 
Why we should trust you?
Spiritually kuna twosides dark side na light side....the dark side works on deception the light side works on Truth.....Na agenda kubwa ambayo Dark side imeeneza duniani ni iyo ya Aliens.....ni fallen angels trying to cover alot of Satanic agendas duniani and it works sababu wanadamu hupenda kusikia wanavyopenda kusikia.....
 
1 light year(distance) = 1 year time

Kama umbali kutoka Galaxy moja hadi nyingine ni 65 light years, kwahyo Aliens waliopo kule wakiangalia duniani bado wanaona Dinosaurs walioishi miaka million 65 iliyopita
Ili Aliens waweze kuona Dunia ilivyo kwa wakati huu inabidi technology yao iwe juu zaidi kuzidi upeo wa kibinadamu
View attachment 840212

Sent using Jamii Forums mobile app
Kufikiri kuzuri kunaanza hivi;

Mwanga wa mshumaa utafanana na wa Tubelight.!?

Baada ya hapo nataka ufafanuzi wa kikamili juu ya usahihi wa kipimo cha Mwangaza?

Ili nijue kama kuna ulazima wa wao kuona dinosur

Utanisaheme vingi vilinipiga chenga kwenye physics



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na ni ujinga second class kuamini kwamba aliens hawapo.unatakiwa ujue kwamba .kwenye ulimwengu huu wanaishi viumbe vinavyo onekana na visivyo onekana.

Siamini upuuuzi wowote wa viumbe visivyoonekana kuanzia majini, mashetani, wachawi to aliens.
 
Ila walikuambia siku fulani solar Eclipse inatokea kweli

Solar eclipse na ujinga wa uwepo wa aliens ni vitu viwili tofauti. SE hata wewe uliona kwa macho yako mwenyewe ila story za kusadikika za aliens ni kama story za uchawi/majini utaishia kujazwa matango pori tu cause hawapo.
 
Actually ni ujinga na upunguani kudhani eti sisi ni intelligent race pekee kwenye universe..! Kama solar system yetu pekee ni sawa na punje ya mchanga ivunjwe zaidi ya mara 1000, kwann kusiwezekane kukawa na ET kwenye kona nyengine ya galaxy yetu?

Sent using Jamii Forums mobile app

Ukubwa wa universe sio sababu ya uwepo wa aliens, universe inaweza kuwa kubwa na bado tukawa peke yetu tu. Sijui kwanini mnatumia nguvu kuamini lazima kuna viumbe wengine na uinga zaidi ni pale mnapoamini hao viumbe wana akili kuliko sisi. Hizi story kama story za majini mtaishia kusikia hear say tu bila uthibitisho wowote abadan.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom