herzegovina
JF-Expert Member
- Oct 28, 2015
- 3,129
- 4,712
KWA UFUPI
Hapa anasikika John Heche akisema kuwa, kwa mujibu wa Profesa Palamagamba Kabudi, serikali iliingia mkataba na Kampuni hewa toka Kenya (iliingizwa mkenge) wa ununuzi wa korosho kwa kuwa wawekezaji hao kutoka Kenya walionekana kuwa "Serious" kwa kuwa walikuja na Ndege.
Hivi ni Kweli waziri mzima ambaye ni Profesa (Tena fani ya sheria) anaridhika kabisa na mwekezaji kisa tu huyo mwekezaji amekuja na Ndege??? Kweli??? Ndio maana kazi ya Barrick ilikuwa nyepesi Sana kwa akili za namna hii...
Zaidi fungua link hii
Hapa anasikika John Heche akisema kuwa, kwa mujibu wa Profesa Palamagamba Kabudi, serikali iliingia mkataba na Kampuni hewa toka Kenya (iliingizwa mkenge) wa ununuzi wa korosho kwa kuwa wawekezaji hao kutoka Kenya walionekana kuwa "Serious" kwa kuwa walikuja na Ndege.
Hivi ni Kweli waziri mzima ambaye ni Profesa (Tena fani ya sheria) anaridhika kabisa na mwekezaji kisa tu huyo mwekezaji amekuja na Ndege??? Kweli??? Ndio maana kazi ya Barrick ilikuwa nyepesi Sana kwa akili za namna hii...
Zaidi fungua link hii