Kama 7% ya kukua uchumi ni kweli kwanini nguvu kubwa inatumika? Uchumi uliokua sio siri

Chakaza

JF-Expert Member
Mar 10, 2007
39,679
70,979
Kwa nini serikali ya awamu hii inatumia nguvu kubwa na propaganda inapotaka kuaminisha uongo kuwa ukweli?
Kama uchumi unakuwa kwa 7% tofauti na IMF isemayo 4% shida ya nini matangazo huku na kule wakati uchumi unaokuwa ungeweza onekana bila propaganda?
Haya mambo ya kulazimisha uongo mwisho itakuwa kama yale ya kampuni ya Indo power ya kununua korosho tuliyoaminishwa inaweza nunua korosho kumbe fix tuu
globalpublishers___BxkBFyXDdxf___.jpeg
 
Mimi nimeshangaa Hilo sana kama inakuwa why tu Natumia nguvu nyingi kutafuta watu wa kusema tunavyotaka. Time will tell sidhani kama hii itachukua muda Hali halisi kijulikana
 
SGR, Stieglers Gorge, elimu bure, mikopo elimu ya juu, ujenzi wa barabara nk vyote viko wazi kuthibitisha kwa macho kwamba kasi ya ukuaji uchumi ni ya kustaajabisha!
Serikali yenu ni bubu ndiyo ikae kimya siyo? Hivi kwa nini mnataka mabwana zenu tu ndiyo waongee enyi mashoga, maneno kidogo tu, eti nguvu kubwa?
 
SGR, Stieglers Gorge, elimu bure, mikopo elimu ya juu, ujenzi wa barabara nk vyote viko wazi kuthibitisha kwa macho kwamba kasi ya ukuaji uchumi ni ya kustaajabisha!
Serikali yenu ni bubu ndiyo ikae kimya siyo? Hivi kwa nini mnataka mabwana zenu tu ndiyo waongee enyi mashoga, maneno kidogo tu, eti nguvu kubwa?
Hivi ukijenga nyumba kwa fedha za mkopo kisha unashindwa kuwapa wanao milo mitatu, matibabu na elimu kwa vile unalipa deni LA ujenzi wa nyumba utasema uchumi wako umekuwa kwa vile unajenga nyumba inayoonekana?
 
SGR, Stieglers Gorge, elimu bure, mikopo elimu ya juu, ujenzi wa barabara nk vyote viko wazi kuthibitisha kwa macho kwamba kasi ya ukuaji uchumi ni ya kustaajabisha!
Serikali yenu ni bubu ndiyo ikae kimya siyo? Hivi kwa nini mnataka mabwana zenu tu ndiyo waongee enyi mashoga, maneno kidogo tu, eti nguvu kubwa?
anyway mm binafsi aisee sijaona uchumi ulivokuwa yani, anyway labda sijajua kuwa nchi I kijenga reli na elimu bure ndo uchumi umekua....labda tuseme serikali imejenga SGR,na daraja la juu tena mkoa mmoja wa dar es salaam na elimu bure ila namzunguko wa hela umedolala mkisema hivo nitawaelewa
 
Na uzidi kukua tu huku GPD ikiwa chini kusoma atusomi ata picha hatuoni jamani
At least u're talking about economic growth!
Wengine watakwambia sijui fedha za mkopo mara mzunguko wa hela, kilipanda kikashuka.
Zaidi, kuhusu uchumi kukua hilo siyo mjadala maana hata hao mnaowaamini wamethibitisha. Kinachojadiliwa ni kiwango cha ukuaji
 
Kwa nini serikali ya awamu hii inatumia nguvu kubwa na propaganda inapotaka kuaminisha uongo kuwa ukweli?
Kama uchumi unakuwa kwa 7% tofauti na IMF isemayo 4% shida ya nini matangazo huku na kule wakati uchumi unaokuwa ungeweza onekana bila propaganda?
Haya mambo ya kulazimisha uongo mwisho itakuwa kama yale ya kampuni ya Indo power ya kununua korosho tuliyoaminishwa inaweza nunua korosho kumbe fix tuuView attachment 1100975
Jamani ee,
Hapa kuna tofauti kubwa sana kati ya economic growth rate na Human development index. Wchumi huwa wanatunambia nini tunataka kusikia na kuna baadhi ya watu huwa wanapokeaga taarifa bila kujua dodoso lilihoji wapi na linapima nini.
Mathalani, uchumi wa South Africa mwaka jana umekua kati ya 1.3% to 2.2%.

Uchumi wa Kenya ulikua kwa asilimia 5.7 (Approx. 6). (GDP ikiwa 74.9 taarifa ya 2017)
Uchumi wa Tanzania ulikua kwa 6.6 (Approx 7). (GDP ikiwa USD 56 taarifa ya 2017
Uchumi wa Marekani ulikua kwa 1%. GDP ikiwa 9.39 trillion USD taarifa ya 2017)
Ethiopia Uchumi ulikua kwa 7.7% (approx 8) (GDP ikiwa USD 80 Bil taarifa ya 2017

Pamoja na taarifa hizo hapo juu, Tanzania watu bado wana hali nzuri ya maisha kuliko Kenya, Ethiopia na South Africa. Hata Marekani kuna baadhi ya watu wamechoka na hali ni ngumu kuliko Tanzania

Norway ukuaji wa uchumi ulikuwa 0.5% (GDP 398.8 billion USD taarifa ya 2017) Ila Norway maisha yao wanakula bata na hali nzuri, maana wanaishi mfumo wa kisoshalist ambapo human development index iko juu. Huduma za afya, elimu, maji, usafiri watu karibia wote wanaweza ku-afford.

Hapa kwetu, hela imepotea kitaa watu tunadhania uchumi ni mbaya. Kuna wakati wa mzee Mwinyi hela ilikuwa ya kumwaga kitaa na uchumi ulikuwa mbaya.

Suala ambalo baadhi yetu tumekuwa tuki-advocate ni kuiomba serikali iweze ku-balance the 2 kwa kutengeneza mfumo mbadala wa kutoa guarantee kwa miradi ambayo inaweza ku-cut down imports na ambayo inaweza kuongeza thamani kwa kuongeza exports.

Kuna miradi ya madini serikali inaweka gurantee kupitia BOT, yet haifanyi vyema sana.

Kwenye miradi ya afya tuna-import 97% ya dawa na vifaa tiba. Kama Serikali ingetoa guarantee ili mimi na wewe tuzalishe chochote kinachokuwa consumed kwenye vifaa tiba/madawa, maana yake hiyo hela ingezunguka humu ndani.

Au kwenye korosho, mara kwa mara toka mwaka jana tushatoa ushauri wa kutosha how we can do it better ili tuuze finished product kwenye ubora wa kuuzika ndani na nje ya nchi kama inavyonekana hapa chini.

Amazon product ASIN B00KO2ARRA
Ngoma nzito huwa ni kuwapata fursa ya kuwapata decision makers ambao wako credible. Maana kuna wadau wengine kwenye gov. circles ukiwapa proposal on how to do it, wanaiba kuwapa ndugu zao au wao kufungua kampuni na wachina huko nje then wanaileta kwa mlango wa nyuma.

Prezdaa yuko very reliable kutaka kuona mambo yanaenda, ugumu ni how to get him on table based on his busy schedule and red tapes around him. Maana kuna issues zingine unaweza kuwapata right ppl kwenye ministerial level, wengi sasa hivi baadhi wanaogopa hata kufanya initiative.

Otherwise kuna hali nyingine ngumu tutalia, serikali inapotenza fursa ya kuongeza ajira kupitia kukua kwa private sector ambayo itagusa ukuaji wa tax base, ongezeko la watu kwenye mifuko ya NHIF, NSSF na kununua huduma na kulipia mahali kama TANESCO, Maji, TFDA, TBS na NEMC...

Na mbaya zaidi kwa kuwa mambo mengi yaanzia serikalini, wenzetu wanaosaidia mambo yaende wana uhakika wa mshahara kila tar 23 ya kila mwezi. Whether kuna mambo yamefanyika au hayajafanyika, hakatwi hata 100 mwisho wa mwezi. Ila ukiwa-facilitate kwa bahasha za kaki, speed inakuwa kubwa.

Tanzania, Tanzania...nakupenda kwa moyo wote
 
Jamani ee,
Hapa kuna tofauti kubwa sana kati ya economic growth rate na Human development index. Wchumi huwa wanatunambia nini tunataka kusikia na kuna baadhi ya watu huwa wanapokeaga taarifa bila kujua dodoso lilihoji wapi na linapima nini.
Mathalani, uchumi wa South Africa mwaka jana umekua kati ya 1.3% to 2.2%.

Uchumi wa Kenya ulikua kwa asilimia 5.7 (Approx. 6). (GDP ikiwa 74.9 taarifa ya 2017)
Uchumi wa Tanzania ulikua kwa 6.6 (Approx 7). (GDP ikiwa USD 56 taarifa ya 2017
Uchumi wa Marekani ulikua kwa 1%. GDP ikiwa 9.39 trillion USD taarifa ya 2017)
Ethiopia Uchumi ulikua kwa 7.7% (approx 8) (GDP ikiwa USD 80 Bil taarifa ya 2017

Pamoja na taarifa hizo hapo juu, Tanzania watu bado wana hali nzuri ya maisha kuliko Kenya, Ethiopia na South Africa. Hata Marekani kuna baadhi ya watu wamechoka na hali ni ngumu kuliko Tanzania

Norway ukuaji wa uchumi ulikuwa 0.5% (GDP 398.8 billion USD taarifa ya 2017) Ila Norway maisha yao wanakula bata na hali nzuri, maana wanaishi mfumo wa kisoshalist ambapo human development index iko juu. Huduma za afya, elimu, maji, usafiri watu karibia wote wanaweza ku-afford.

Hapa kwetu, hela imepotea kitaa watu tunadhania uchumi ni mbaya. Kuna wakati wa mzee Mwinyi hela ilikuwa ya kumwaga kitaa na uchumi ulikuwa mbaya.

Suala ambalo baadhi yetu tumekuwa tuki-advocate ni kuiomba serikali iweze ku-balance the 2 kwa kutengeneza mfumo mbadala wa kutoa guarantee kwa miradi ambayo inaweza ku-cut down imports na ambayo inaweza kuongeza thamani kwa kuongeza exports.

Kuna miradi ya madini serikali inaweka gurantee kupitia BOT, yet haifanyi vyema sana.

Kwenye miradi ya afya tuna-import 97% ya dawa na vifaa tiba. Kama Serikali ingetoa guarantee ili mimi na wewe tuzalishe chochote kinachokuwa consumed kwenye vifaa tiba/madawa, maana yake hiyo hela ingezunguka humu ndani.

Au kwenye korosho, mara kwa mara toka mwaka jana tushatoa ushauri wa kutosha how we can do it better ili tuuze finished product kwenye ubora wa kuuzika ndani na nje ya nchi kama inavyonekana hapa chini.

Amazon product ASIN B00KO2ARRA
Ngoma nzito huwa ni kuwapata fursa ya kuwapata decision makers ambao wako credible. Maana kuna wadau wengine kwenye gov. circles ukiwapa proposal on how to do it, wanaiba kuwapa ndugu zao au wao kufungua kampuni na wachina huko nje then wanaileta kwa mlango wa nyuma.

Prezdaa yuko very reliable kutaka kuona mambo yanaenda, ugumu ni how to get him on table based on his busy schedule and red tapes around him. Maana kuna issues zingine unaweza kuwapata right ppl kwenye ministerial level, wengi sasa hivi baadhi wanaogopa hata kufanya initiative.

Otherwise kuna hali nyingine ngumu tutalia, serikali inapotenza fursa ya kuongeza ajira kupitia kukua kwa private sector ambayo itagusa ukuaji wa tax base, ongezeko la watu kwenye mifuko ya NHIF, NSSF na kununua huduma na kulipia mahali kama TANESCO, Maji, TFDA, TBS na NEMC...

Na mbaya zaidi kwa kuwa mambo mengi yaanzia serikalini, wenzetu wanaosaidia mambo yaende wana uhakika wa mshahara kila tar 23 ya kila mwezi. Whether kuna mambo yamefanyika au hayajafanyika, hakatwi hata 100 mwisho wa mwezi. Ila ukiwa-facilitate kwa bahasha za kaki, speed inakuwa kubwa.

Tanzania, Tanzania...nakupenda kwa moyo wote
Mie nadhani Tanzania kuipenda kwako au kutoipenda hakubadili maana ya ukuaji wa uchumi. IMF wanasema 4% na ADB ili watengeneze mianya ya kutukopesha wanasema unakuwa kwa 7%.
Swali kwanini kauli ya ADB inapigiwa chapuo sana?
 
Kwa nini serikali ya awamu hii inatumia nguvu kubwa na propaganda inapotaka kuaminisha uongo kuwa ukweli?
Kama uchumi unakuwa kwa 7% tofauti na IMF isemayo 4% shida ya nini matangazo huku na kule wakati uchumi unaokuwa ungeweza onekana bila propaganda?
Haya mambo ya kulazimisha uongo mwisho itakuwa kama yale ya kampuni ya Indo power ya kununua korosho tuliyoaminishwa inaweza nunua korosho kumbe fix tuuView attachment 1100975
UONGO UKISEMWA KWA MUDA MREFU BILA KUKANUSHWA HUDHANIWA NI KWELI BY. MWL NYERERE.

NGOJA TUWAJIBU WALE WAPUMBAVU NA MALOFA WALIOZOEA KUPIGA MADILI. WANATUMIWA NA MABEBERU NA NI MAKUWADI WA MABEBERU KWANI WALIZOEA KUCHUMA TANZANIA.

AWAMU HII LINI ULIONA SERIKALI INAKOPA MISHAHARA BAKHRESA AU HOME SHOPPING CENTRE??? MIRADI MINGAPI TUNAFANYA KWA PESA ZA NDANI???

AU MNATAKA WATU WAFUNGUKE???? MWACHENI RAIS MAGUFULI AJENGE MISINGI IMARA KWA KUENDELEA KUKUA KWA UCHUMI WA TANZANIA.

HAYA YALITAKIWA YAFANYIKE AWAMU ZILIZOTANGULIA. HATA HIVYO MUNGU HAKUTUACHA NA YEYE NI WA MAJIRA NA NYAKATI.

Queen Esther
 
Kwa nini serikali ya awamu hii inatumia nguvu kubwa na propaganda inapotaka kuaminisha uongo kuwa ukweli?
Kama uchumi unakuwa kwa 7% tofauti na IMF isemayo 4% shida ya nini matangazo huku na kule wakati uchumi unaokuwa ungeweza onekana bila propaganda?
Haya mambo ya kulazimisha uongo mwisho itakuwa kama yale ya kampuni ya Indo power ya kununua korosho tuliyoaminishwa inaweza nunua korosho kumbe fix tuuView attachment 1100975
Jk na mkapa walizidi hii ℅ ila hakukua na huu ujinga dingilai bana
 
Haha waweke 12 kabisa ili tufurahishane zaidi. Ila mifuko yetu itasema na kupiga kelele
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom