Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,469
- 46,000
Kwani Rusumo na Rufiji hakufanani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani Rusumo na Rufiji kunafanana?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani Rusumo na Rufiji kunafanana?
Hizo $400m dollar ni mchango wa nchi tatu si Tanzanian wanayoa zote na ni mkopo toka world Bank... Kila nchi itapata MG kutokana na % ya mkopo waliochukua WB.....taarifa zaidi nenda website ya wizara ya ujenzi za Rwanda,Burundi na tz na website ya WB hizi information zipo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umeme WA maji huzalishwa kutegemea na height ya hilo dam, sasa Rusumo height tayari ipo yaani ni maporomoko wakati Rufiji maporomoko yatatengenezwa
Kwa wale tuliobobea kwenye miundo mbinu - megawatt (MW) moja inagharimu takriban dola milioni moja (USD 1,000,000).
Hichi ndio kikisio tunachotumia cha juu juu.
Megawatt 2,100 ingegharimu around USD 2.1 billion lakini inawezekana kuna gharama nyingine kubwa zaidi specific kwa hiyo sehemu ya mradi.
Hahahaa....... Makamanda mmeishiwa pumzi!
SwineHahahaa....... Makamanda mmeishiwa pumzi!
Usiogope!Swine
Ni bonde la mto rufiji.bado unaota ndoto za kuzuia ujenzi wa mto rufiji.umechelewa sana
Pathetic clownUsiogope!
Mbwiga unatweta!Pathetic clown
Life span ya hiyo miradi ikoje?Kama bonde la Rusumo litazalisha Megawat 80 kwa gharama ya ujenzi ys dolla 400,000,000 je Megawati 2100 zitazalishwa kwa uwekezaji kiasi gani? Kwa hesabu za mlinganisho ni kuwa Rufiji inabidi ijengwe kwa dolla 10,500,000,000. Kwanini Serikali inajenga mradi wa rufiji kwa dolla 2.9 Billion au2,900,000,000 ambazo ni cahache sane lakini ikakubali kujenga kwa pesa nying nyingi sana kwa mradi wa Rusumo?
IdiotMbwiga unatweta!
Bwashee mbwiga!Idiot
Jibu swali Kama lilivyo, kwani Rufiji ni nchi nyingine?Kwani Rusumo na Rufiji kunafanana?
We umeshafika hapo Rusumo au unaongela tuMkuu umeme WA maji huzalishwa kutegemea na height ya hilo dam, sasa Rusumo height tayari ipo yaani ni maporomoko wakati Rufiji maporomoko yatatengenezwa